Bei naona zinafika 700 boss za hiyo generation.Hii pc ina run gta V, sema tafuta angalau i5 same generetion.
Gen ya 6 na 7 mkuu zimeshuka sana, i3 zake zinapatikana around 400k. Na i5 chini ya 600k unapata. Ingia tu online search, mfano ingia zoomTanzania search tu neno 6th zitakuja. Angalia site mbalimbali.Bei naona zinafika 700 boss za hiyo generation.
Vp kuhusu hp probook 8449?hii ina
Intel Core i3 2310M / 2.1 GHz
-kwanza ni intel i3 ambayo siombaya
-pili namba yake imeanziwa na elfu mbili yaani 2310 inamaana ipo second generation pia sio mbaya
-herufi ya mbele ni M ina maana ni mobile hivyo utapata perfomance kubwa kushinda za U na Y
-clock speed ni 2.1ghz ambayo nayo kwa laptop ni nzuri tu.
hata single core perfomance ya hio processor ni nzuri
overall ni laptop nzuri kwa matumizi ya kawaida huwezi kuwa slow
Specs zake zipoje?Vp kuhusu hp probook 8449?
Sijajua bajeti gani umeandaa ila kama unampunga mzuri unaweza chukua yenye minimum specs kama hiziwakuu nafikiria kununua laptot msimu huu ....ni vitu gan vya ndani vya kuzingatia nitakapo kwenda kununua .....nahtaji mawazo yenu
. Aaaah shukrani sana mkuuSijajua bajeti gani umeandaa ila kama unampunga mzuri unaweza chukua yenye minimum specs kama hizi
1. Processor
Intel core i3 kwenda juu (i3, i5, i7 & i9) na iwe generation kuanzia ya 7 au AMD ryzen 2000+ series
2. RAM
8GB inakuwa poa maana kuanzia windows 10 huwa inataka ram isiyopungua 4GB angalau iweze kurun vizuri.
3. Storage
Komputa yenye SSD storage hata kama ni 128gb (zipo nyingi tu zinakuwa hybrid yani SSD na Hard disk, OS unaweka kwenye kwenye SSD na data zako unaweka kwenye HDD) faida ya ssd utaona kompyuta inawaka haraka sana na ukifungua programs zinaopen instantly
4. Display
Nowdays hakikisha unachukua pc yenye resolution ya 1080p (e.g. 1920 x 1080) au zaidi hii itafanya maandishi yaonekane vizuri zaidi bila kuona vile viboksibiksi (pixels)
Note: kwa PC kama hii unaweza pata kwa 900K ikiwa mpya.
. Shukran mkuu .....but kwa upande wangu laptop itakuwa kwa masuala ya elimu....kutypeKwanza tuambie dhumuni la kununua laptop hasa ni kufanyia shughuri gani
Na pia tuambie bajeti yako umetenga tshs ngapi yaan kati ya tshs ngapi mpk tshs ngapi
Na je ulikuwa unataka bland new au used ama vyovyote vile ili mradi kuendana na bajeti yako ?
Then tutakushauri kupata bora kulingana pesa yako na unachoenda kufanyia
Zaidi pitia hizi thread zitakupa muongozo
Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel
Computer nyingi tunazonunua huwa zinatumia processor za intel au amd, lakini ni intel ambaye ametawala sana kushinda amd kwenye computer zetu. Leo nimeamua niandike uzi huu kuhusu hizi processor za intel na namna ya kuzichagua ili kuwasaidia watu wanapotaka kununua laptop/desktop mpya wafanye...www.jamiiforums.com
Muongozo: Vitu vya kuzingatia unapotaka kununua kompyuta
Kununua kompyuta iwe laptop au desktop huwachanganya watu wengi hasa wasiokuwa na uzoefu wa vifaa hivi maana ukifika dukani utakuta za kila namna na miundo tofauti, nimeona niandike makala hii kuwasaidia wale wanunuaji wapya wapate muongozo ili angalau wanapokwenda dukani wajue wanataka nini...www.jamiiforums.com
Basi go to brand new kama upo DSM Anzia mitaa mtaa UHURU round about kujia mnazi mmoja yapo maduka ya wasomari na wahindi. Shukran mkuu .....but kwa upande wangu laptop itakuwa kwa masuala ya elimu....kutype
. Shukrani mkuu but nipo pande za mbeyaBasi go to brand new kama upo DSM Anzia mitaa mtaa UHURU round about kujia mnazi mmoja yapo maduka ya wasomari na wahindi
Utapata brand new ya PENTIUM au CELELONI latest ikiwa na 4gb na 500gb HDD au zaidi ambapo bei itakuwa ni kati ya 550000 mpk 750000/= mpya kabisa kwenye box na walanty utapata mwaka mzima
ama la go to used laptop kwa matumizi yako Core i3 inatosha ikiwa na 4gb na 500gb ama zaidi ambapo kwa maduka used mtaa MUHEZA Mkabala na CHINA PLAZA utapata kwa bei kati ya 350000/= mpk 500000/= kutegemea na aina ya laptop na muonekano wake nk
Pole sana mkuu ngoja waje wambeya watakupa muongozo. Shukrani mkuu but nipo pande za mbeya
. .....miaka mingi kwako mkuu....kuhusu display umenikumbusha ..coz Mimi pia ni mpenz wa muviPole sana mkuu ngoja waje wambeya watakupa muongozo
muhimu zingatia mahitaji yako hayahitaji procesa kubwa go tu brand new ya pentium au celelon latest utapata kwa bei nzuri na utaenjoy kubuka dusplay iwe 15.6 na full keyboad
kuna hii Optilex nimeletewa niikague TM i5 - 4570 CPU@3.20 UNAIONAJE Hiyo chief inaweza nifaa,anataka nimpe 300k bei iko fair au anataka anizabue makofi?mbona zile desktop kubwa (full tower) zinaweza hii kazi?
kwenye specs angalia 5.25 inch bay hio unaweka mlango wa cd na 3.5 ama 2.5 inch hio unaweka hdd ama mlango mdogo wa cd.
mfano hizi specs za dell optiplex 9020
View attachment 1619018
ina 5.25 inch bay 2 ina maana unaweza weka milango miwili ya cd
pia ina 3.5 inch milango miwili hapa zinakaa hdd kubwa 2 za desktop
2.5inch nazo ni mbili, kunakaa hdd mbili ndogo za laptop.
hata ukiangalia kwa mbele chini ya mlango wa cd unaona nafasi imeekwa kama unataka kuongeza mlango wa pili wa cd
Hio ni 4th Gen, bei ni OK, angalia vitu vyengine kama ram, hdd, psu etckuna hii Optilex nimeletewa niikague TM i5 - 4570 CPU@3.20 UNAIONAJE Hiyo chief inaweza nifaa,anataka nimpe 300k bei iko fair au anataka anizabue makofi?
Jaribu kufanya hio diagnosis, ama uingie bios ukAgue kama kila kitu Kinakuwa detected.mkuu chief mkwawa nina tatizo moja hapa
nina computer aina ya dell kuna kipindi niliiacha kuitumia kwa muda mrefu sana. kutokana na kuiacha ndani juzi kati nimeamua kuiwasha ili niitumie kidogo cha ajabu kila ikiwaka inaandika maneno yafuatayo.
strike the f1 key to continue,f2 to run the setup utility,f5 to run onbord diagnostics
na ukumbuke kwamba haikuwai kuniambia maneno haya hapo wali na ninaona ni ghafra tu na pindi ninapo press f1 button naona inaganda yenyewe na inashindwa kuendelea kabsa.
Ndani, mwambie awashe laptop kisha nenda my computer ama this pc halafu right click chagua properties.Asanteni sana kwa elimu nzuri.
Sasa nikienda kununua laptop used hizi specification naziona wapi? Nyuma ya laptop? Mbele? Au ndani kabisa? Naomba msaada tusiingizwe mjini. Nataka kununua lkn nikifikiria kuuziwa galasha roho inauma.
Chief-Mkwawa Mzimu wa Kolelo na wengine msaada plz.