Ila hapa nimenunua hdmi tu VGA cjajua pia kama itakubal piaKwa HDMI pia imekubali sio?
Kama ni active adapter itakubali, passive inaweza isikubali.Ila hapa nimenunua hdmi tu VGA cjajua pia kama itakubal pia
Mkuu hapa nimekwama kidogo nikichomeka direct HDMI kwenye TV inafanya kaz vzr to ila shida nikitaka kutumia converter ili nitumie kwenye monitor hai display chochote nimejaribu hiyo pia hailet pichaKama ni active adapter itakubali, passive inaweza isikubali.
Monitor yako haina kabisa dvi?Hiii pia nimejaribu dvi to VGA pia Hailey picha yoyote na ile card INA njia mbil to dvi na hdmiView attachment 1722766
Inayo mkuuMonitor yako haina kabisa dvi?
Sasa si ukanunue tu cable ya dvi to dvi basi umalize kazi.Inayo mkuu
Dah we jamaaaa umenambia kitu kizuri sana ila nilisikia dvi haitoi picha quality kama VGA au HDMI !Sasa si ukanunue tu cable ya dvi to dvi basi umalize kazi.
Au labda card ina shida upande wa hiyo port?
Mkuu hapa nimekwama kidogo nikichomeka direct HDMI kwenye TV inafanya kaz vzr to ila shida nikitaka kutumia converter ili nitumie kwenye monitor hai display chochote nimejaribu hiyo pia hailet picha View attachment 1722765
Hii ni adapter sahihi active, ilitakiwa ifanye kazi, unless ni mbovuHiii pia nimejaribu dvi to VGA pia Hailey picha yoyote na ile card INA njia mbil to dvi na hdmiView attachment 1722766
VGA ni analog, zipo dvi ambazo ni digital kama hdmi na dp.Dah we jamaaaa umenambia kitu kizuri sana ila nilisikia dvi haitoi picha quality kama VGA au HDMI !
Mfano kama hiii inaweza toa picha nzrVGA ni analog, zipo dvi ambazo ni digital kama hdmi na dp.
Hii ni Dvi D mkuu ambayo ni Digital, hii nzuri zaidi, Dvi I ni digital na Analog na Dvi A ndio AnalogMfano kama hiii inaweza toa picha nzrView attachment 1722848
Sawa mkuu shukran sana nikiwa fresh ntaenda nunua iyo japo sina uhakika kama zinapatikana kwa wing huko mjinHii ni Dvi D mkuu ambayo ni Digital, hii nzuri zaidi, Dvi I ni digital na Analog na Dvi A ndio Analog
Dvi D yenyewe inaishia
1. Refresh rate ya 60hz
2. Resolution ya wuxga 1920x1200
Kwa monitor ama TV ya kawaida ya full HD na 60hz dvi ipo fresh, ila kwa monitor kali za 120hz kupanda na resolution za kisasa kama 2k, 4k, 8k etc haitaweza kutimiza mahitaji.
Kwa rx 550 full HD Inatosha hata ukiwa na monitor ya 4k haitaweza kugame kwa hii resolution.
Sio kwamba angekuwa na duka tu pc bali hata kma angekuwa ana kiwanda cha pc kabisa, jamaaa ni nyokooooooooo mara 1000000 unaweza kuta anajua kuliko hata watengenezaji wenyewe[emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu vp ........una duka la PC au
Maake sio kwa maujuzi hayo
Dvi zipo uhuru na msimbaziSawa mkuu shukran sana nikiwa fresh ntaenda nunua iyo japo sina uhakika kama zinapatikana kwa wing huko mjin
Oooh oky sawaDvi zipo uhuru na msimbazi
1600x900 hii ni Hd+ inafaa haina Neno.Na hii monitor mkuu si itakuwa safi tu kwa maelezo hayo!View attachment 1723000
Sawa mkuu me bado na maswali kidg ivi nawezaje kuapdate bios na inakuwaje PC ukifanya update ya bios nin kinabadirika haswa1600x900 hii ni Hd+ inafaa haina Neno.