Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #1,601
Slick deals hawauzi vitu Bali ni forum kama jf Wana ku alert deals mbalimbali za Amazon, eBay, best buy, Newegg etc.Hao slickdeals ni genuine?
Kama imebypass vyote na inakwama kwenye windows loading kuna uwezekano mkubwa ni tatizo LA software na sio bios ama hardware.Mkuu ivi computer ikiwa inawaka inafika kwenye window loading inakata display shida inaweza kuwa nin au bios au..?
Lakin mbona nikiwasha kwa safe mode nika unstail drive za graphics card inakua inawaka tu bila shida yyte ila Niki install tu inakuja black screenKama imebypass vyote na inakwama kwenye windows loading kuna uwezekano mkubwa ni tatizo LA software na sio bios ama hardware.
Sababu umewasha safe mode na imewaka ndio inazidi kuonesha ni tatizo LA software.Lakin mbona nikiwasha kwa safe mode nika unstail drive za graphics card inakua inawaka tu bila shida yyte ila Niki install tu inakuja black screen
Vipi nikipiga window tu mkuu haiwez sove?Sababu umewasha safe mode na imewaka ndio inazidi kuonesha ni tatizo LA software.
Jaribu kuweka driver version za zamani.
Windows unaweza Piga anytime jaribu version tofauti kwanzaVipi nikipiga window tu mkuu haiwez sove?
Version ni nimejalibu ikafanya ivo ivo japo haikuwa ya mda sanaWindows unaweza Piga anytime jaribu version tofauti kwanza
Model ya desktop?Pia mkuu unaweza nisaidia kupata bios update za dell lnc.a07 maana nimetafuta sana latest hakuna
Dell vostro 3902Model ya desktop?
Dell vostro 3902
Mkuu nbona hii inafungukia kwenye window direct
Hapo utaona bios, Tena wameimark kwa rangi nyekundu ni urgent
Fuata tu maelekezo mkuu itazima na kukupeleka mahala husikaMkuu nbona hii inafungukia kwenye window directView attachment 1724488
Sawa mkuuFuata tu maelekezo mkuu itazima na kukupeleka mahala husika
Ok jaribu na hitman 3 imetoka mwaka jana. Game nyingi zipo telegram ikiwemo na hizo. Ni bando lako tu. Ingia telegram then search chanel ya "Pc games"Hapa natest hiii hitman absolution...ultra iko POWa ila na shida na game za PC wazee[emoji120][emoji120]View attachment 1723936
Mkuu nimeifatilia vizuri hii card na nimeitambua kuwa ni hii apa:vram ni term moja misleading sana mkuu. mfano hd 5450 inakuja na ddr2 ram, ipo slow kushinda ram za computer yako za ddr3.
tunakuwa na vram sababu ram za computer zipo slow na zinatumika na mambo mengi, gpu yenye ram ambazo ni slow kushinda za computer haitakusaidia kitu.
pia nimecheki 5450 inakuja na 512mb vram, hebu cheki vizuri jina la hio gpu.
HD 5450 inakula watts 19 tu, hata ungekuwa na psu ya 180w inasukuma vizuri tu.Mkuu nimeifatilia vizuri hii card na nimeitambua kuwa ni hii apa:
View attachment 1724587
With
Description
MSI R5450-MD1GD3H/LP: ATI Radeon HD 5450, 1GB 64-bit DDR3, VGA, DVI, HDMI, PCI Express 2.1 X16 Low-profile Graphics Card
Jana nilijaribu kuiweka kwa PC ilionesha kuwaka vizuri bila kudisplay kitu so may be labda issue ni hiyo insufficient wattage au ni hiyo port ya HDMI haifanyi kazi!!!!
Kwenye reviews kuna jamaa anasema yeye anaitumia vizuri kwa PSU ya 320W
Hapo sikupng mkuu........haiwezekan yeye ...kila kitu anakijua [emoji23][emoji23]Sio kwamba angekuwa na duka tu pc bali hata kma angekuwa ana kiwanda cha pc kabisa, jamaaa ni nyokooooooooo mara 1000000 unaweza kuta anajua kuliko hata watengenezaji wenyewe[emoji16][emoji16][emoji16]