Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

I3 gen ya 8 ina nguvu kuliko i5 gen ya 4 ila utofauti mdogo sana. Hutapata advantage yoyote kubwa.

Sema uzuri wa i3 gen ya 8 ina advantage ya upgrade path nzuri, unaweza huko mbele ukaweka i7 ama i9 gen ya 9.

Minimum requirements ya god of war ni
I5 2500k
Gtx 960M

Hivyo unaona hapo kwenye cpu inataka gen ya 2 tu, cpu yako imekidhi mahitaji ila gpu ndio inataka kubwa zaidi.

Sababu crypto zimecrash gpu zinashuka sana bei, Gtx 1650 na Rx 6400xt sasa hivi ndio zina nguvu zaidi kwa gpu zisizotumia waya, zinazoingia kwenye hizi machine zetu za kina dell na Hp.
ila gtx 1060 6gb si ina nguvu kushinda gtx 1650?
Huku faida ya gtx 1060 inahitaji watt 400psu na inapatikanna around laki 3.5 pamoja na sheeping.
Kibongo bongo nimeona kuna hii Hp elitedesk 800 G2 inakuja na core i3,i5&i7 gen ya 6. huku ikiwa na psu ya watt 400 (ila zipo version mbili za psu 400 na watt 280) hapo ni umakini kuangalia kabla ya kuinunua.

Screenshot_20221015-222044.png
 

Attachments

  • Screenshot_20221015-222044.png
    Screenshot_20221015-222044.png
    86.5 KB · Views: 14
ila gtx 1060 6gb si ina nguvu kushinda gtx 1650?
Huku faida ya gtx 1060 inahitaji watt 400psu na inapatikanna around laki 3.5 pamoja na sheeping.
Kibongo bongo nimeona kuna hii Hp elitedesk 800 G2 inakuja na core i3,i5&i7 gen ya 6. huku ikiwa na psu ya watt 400 (ila zipo version mbili za psu 400 na watt 280) hapo ni umakini kuangalia kabla ya kuinunua.

View attachment 2389821
Issue mkuu si wingi wa watts tu, bali psu/mobo ambayo ina waya nyingi kusuport gpu, ama standard husika ie Atx.

Motherboard ina uwezo wa kutoa watts 75 tu, hivyo gpu ikiwa inahitaji umeme zaidi inabidi utoke direct toka kwenye power supply.

Standard psu inakuja na waya 24, baadhi zinaingia kwenye motherboard nyengine ndio zinatumika kwenye vitu kama Gpu na CPU.

Hizi Psu za kina HP na Dell nyengine zina pin 6, nyengine 10 etc hukuti waya wa Gpu na mambo mengine yapo tofauti compare na standard,

So hio HP uhakika haitumii psu za HP? Kama inatumia standard itakuwa ni machine nzuri sana, ila i doubt Elitedesk ni machine za ofisini hapo ndio wanapatia ulaji hawawezi weka Psu ya kawaida.
 
Issue mkuu si wingi wa watts tu, bali psu/mobo ambayo ina waya nyingi kusuport gpu, ama standard husika ie Atx.

Motherboard ina uwezo wa kutoa watts 75 tu, hivyo gpu ikiwa inahitaji umeme zaidi inabidi utoke direct toka kwenye power supply.

Standard psu inakuja na waya 24, baadhi zinaingia kwenye motherboard nyengine ndio zinatumika kwenye vitu kama Gpu na CPU.

Hizi Psu za kina HP na Dell nyengine zina pin 6, nyengine 10 etc hukuti waya wa Gpu na mambo mengine yapo tofauti compare na standard,

So hio HP uhakika haitumii psu za HP? Kama inatumia standard itakuwa ni machine nzuri sana, ila i doubt Elitedesk ni machine za ofisini hapo ndio wanapatia ulaji hawawezi weka Psu ya kawaida.
embu wewe mtaalamu embu nawe icheki mtandaoni halafu uone kama inafaa kuupgrade. hiyo hp 800 G2.
 
embu wewe mtaalamu embu nawe icheki mtandaoni halafu uone kama inafaa kuupgrade. hiyo hp 800 G2.
Nimecheki mkuu sijaona sehemu 100% uhakika kwamba inasuport hio gpu.

Ila uhakika nimeona unaweza fanya modification ya Psu na ku convert ikasuport 1060 gpu, ila hii ni shughuli nyengine.

Ngoja hii issue niifanyie kazi model gani za desktop zinazokuja na srandard psu.
 
Nimecheki mkuu sijaona sehemu 100% uhakika kwamba inasuport hio gpu.

Ila uhakika nimeona unaweza fanya modification ya Psu na ku convert ikasuport 1060 gpu, ila hii ni shughuli nyengine.

Ngoja hii issue niifanyie kazi model gani za desktop zinazokuja na srandard psu.
yaah embu fanya hivyo mkuu. maana rx 580 ni kama laki mbili na nusu. ila psu recommend ni watt 500 so unalazimika kuongeza gharama ya kununua psu. wakati kuna gtx 1060 unanunua laki 3 then unakuwa umemaliza.
na mwisho wa siku performance zinafanana.
 
[mention]Chief-Mkwawa [/mention]
Habari kiongozi? Nina laptop yangu ina tatizo la maandishi kucheza cheza. Kuna wakati inatulia lakini kuna wakati inaendelea. Hili tatizo linatolana na nini?
 
[mention]Chief-Mkwawa [/mention]
Habari kiongozi? Nina laptop yangu ina tatizo la maandishi kucheza cheza. Kuna wakati inatulia lakini kuna wakati inaendelea. Hili tatizo linatolana na nini?
Kama una monitor ama TV jaribu ku connect uone kama kwenye tv ama monitor pia yanacheza cheza?
 
yaah embu fanya hivyo mkuu. maana rx 580 ni kama laki mbili na nusu. ila psu recommend ni watt 500 so unalazimika kuongeza gharama ya kununua psu. wakati kuna gtx 1060 unanunua laki 3 then unakuwa umemaliza.
na mwisho wa siku performance zinafanana.
Bila bila mkuu, gaming desktop pekee kama Omen, legion, Alienware, etc ndio zinakuja na standard.

Workstation zote kama Thinkcentre, Hp Z series etc zina psu kubwa nyengine hadi watts 600 ila zote zina uwalakin kwenye pin zake, wanazimix hadi uzimodify,

Hivyo mkuu hapa ni kutafuta tu ambayo ni rahisi ku modify hizo waya.
 
Angalia power supply mkuu, kama ni ndogo na haina extra pin za Gpu the best kwa Amd ni 6400xt, kwa Nvidia Gtx 1650.

Kama ni power supply kubwa inayoweza kumudu gpu nyingi angalia mfuko wako mwenyewe. Ukipata latest kama Rtx 3000 series ama hizi zinazotoka za 4000 series ni vyema zaidi.

Pia angalia minimum requirement ya software unazotumia kupata information zaidi.
PSU yangu ni ya 650W

Nataka nichukue rtx 3060 ti
 
Sijaifunga kabisa coz bado sina uhakika Sana maybe nitafute mtu mwenye uzoefu anifungie
 
Back
Top Bottom