Muonja asali haonji kwa mara moja

Muonja asali haonji kwa mara moja

Astaghafirulahi!.....! mambo gani tena hayo jamani hadharani ati? Hii miziki haikuwepo enzi zetu, ukimkuta mkeo anacheza hivyo disco utasemaje?
 
Astaghafirulahi!.....! mambo gani tena hayo jamani hadharani ati? Hii miziki haikuwepo enzi zetu, ukimkuta mkeo anacheza hivyo disco utasemaje?

Ntasema kapagawa na pepo wa Disco Ngono!
 
mhh!!!!! yuko kazini!, kijana anona rahaaaaa
 
Astaghafirulahi!.....! mambo gani tena hayo jamani hadharani ati? Hii miziki haikuwepo enzi zetu, ukimkuta mkeo anacheza hivyo disco utasemaje?

ntamchapa talaka mpaka za bibi yake...huo ujinga siwei kuuvumilia kabisa..
 
Ni burudani tuu tena mie napenda kucheza hivii:teeth::teeth::teeth:
 
hapo wa mbele aende nyuma na wanyuma aende mbele, kitu na box vinakutana kati hapo si mchezo
 
Back
Top Bottom