Muosha huoshwa

Kama mtu hajali maumivu yako kwa nini wewe ujali ya kwake?

We jamaa ni mbinafsi una roho mbaya kama huyo jamaa wa kwanza.

Hujaona unyama wa Muuza vifaranga wa kwanza unamsema wa pili?
Yeah. ana maamuzi yanayoegemea upande mmoja(Biasness)
 
Nina kisa kimoja mkuu
 
SURE MKUU
 
Kama mtu hajali maumivu yako kwa nini wewe ujali ya kwake?

We jamaa ni mbinafsi una roho mbaya kama huyo jamaa wa kwanza.

Hujaona unyama wa Muuza vifaranga wa kwanza unamsema wa pili?
Mkuu kuna kusahau, ndivyo tulivyoumbwa.

Sasa mtu miezi 6 mwamba hasahau aiee
 
Mmh; Sipati picha kwamba umeenda shambani (Bishara) na ukapanda mbegu (Ulaghai na Ubabe) halafu eti unasahau kukumbuka kwamba kuna siku utaenda kuvuna(Utalipizwa kisasi).
Basi tumetofautiana mkuu, binafsi sinaga visasi vya muda mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…