Muosha huoshwa

Muosha huoshwa

Habari muda wadau bila shaka mko salama na wenye udhaifu Mungu awape wepesi
Leo nawaletea mkasa ambao uliniumiza Sana Moyo .
Miaka kadhaa iliopita nilikuepo mkoani Mbeya
Shughuli zangu zilikua ufugaji samaki na kilimo cha strawberry
Nikakutana na mdau mmoja hapa jamii forum akahitaji mbegu za samaki

Tukakubaliana gharama nikaandaa mzigo nikapanda Costa mpk Uyole hapo nakea kiwira
Na hapo uyole ndo sehem tuopatana kuonana
Badda ya kufika na kumpa Taarifa akasema sawa nakuja
Nilikaa kwa masaa manne hakupokea tena simu zangu wala kujibu ujumbe nika mcheki WhatsApp yupo online namtumia ujumbe unatia bluetick lkn hajibu. Kwa kifupi alinipotezea nilipata hasara ya laki moja lkn nikasema sawa
Nilipanga kulipa kisasi japo kwa kuchelewa lkn niliendelea kumtafuta hakunijibu
Baada ya miezi sita nikampigia kwa namba nyengine nikamuuliza kama naweza kupata mbegu za samaki akasema zipo
Nilimuuliza kwasababu ktk kipindi alichonitia hasara niligundua naye ni mtu anaefanya shughuli kama ya kwangu kwahio aliamua kunikomoa hakua na nia ya kuhitaji mbegu hizo

Kwahio baada ya kumuuliza akajibu ndio nikaweka oda ya vifaranga vya samaki 3000 . Sawa na laki tisa(900,000)
Nikamwambia nipo kyela nikamtumia 15,000 hii kwaajili ya mifuko ya kubebea hao viumbe. Hapo ndo akazidi kuingia laini
Nkamwambia akodishe Noah ntalipa Mimi ili mbegu hizo na chakula cha kuanzia vikae vzr akasema sawa
Siku inayofuata saa saa tisa mchana akanipa Taarifa kua washaanza Safari
Na gharama za gari nilishazikubali kwa maelewano wakifika ntalipa pesa yao
Sasa ili kuthibitisha kuwa ni kweli anakuja nikamuambia ukifika kiwira Kuna bahasha yangu utaichukua uje nayo akasema sawa
Nikaandaa karatasi iliosemeka hivi

MIMI ni yule jamaa ulieniambia unataka mbegu za samaki nkaja uyole halafu ukanipotezea nawewe onja machungu .

Nikaweka ndani ya bahasha nikampa kijana akaenda nayo mpk kwenye soko la kiwira maarufu Tandale nikampa namba ya simu wakawasiliana
Walivyofika akamkabidhi na gari ikaondoka kulekekea kyela

Walivyofika kyela nikamwambia nendeni pale kwenye mtaa ambao Kuna mashine za kukoboa mpunga Kuna dogo anakuja kiwachukua
Na hapo muda ulikua ushaenda Sana.

Nikazima simu kwanza baada ya dk 5 wakampigia yule kulijana aliewapa bahasha hakupokea
Nikawasha simu yangu nikawapigia jamaa alivyopokea tu nkamwambia bro ile bahasha unayo? Akajibu ndio nikamwambia fungua uisome inamaelekezo
Baada ya dk 2 jamaa ananipigia simu analia
Hapo roho yangu ikawa nyeupeee
Hicho kisasi ulikilipa kisomi sana.
Uligawa dose ya maana, maumivu yakaingia kimya kimya bila kupigizana kelele.

Kwa maelezo haya na wengine wenye tabia chafu kama hizo wajifunze na wajirekebishe.

Bado hawa wa:'tuma na ya kutolea', halafu mtu haji!

Nabuni mbinu bora ya kulipa kisasi cha mapenzi, ninajua mapenzi yanauma kuliko maumivu ya kupoteza mali, wee ngoja!
 
Kuna demu alikua anauza mashuka, mwamba kaagiza akapotea hewani mzigo ulipofika kituoni.
Demu nae ka buy time, siku jamaa kasahau, demu kajibebisha, jamaa kanaa kapanda gari, anafika stand, simu haipatikani.

Baadae sana akili ikarudi akakumbuka alichofanya, akarudi home.

Ila huyo jamaa sio mimi.
Kwanini useme si wewe?
 
Mimi siwezi kumfanyia binadam mwenzangu ukatili wa aina hii, hata kama alinitenda mabaya.
Uko sahihi endapo kuipata laki mbili kwako ww ni rahisi yan sio kazi ngumu. Lakini hebu jiweke ktk nafasi ya e.g. kijana msomi hana chanzo cha kipato au ajira inayoeleweka. Anabangaiza huku na kule (Hustler) na ameweza kujinyima akadunduliza hadi imefika 2k. Atasononeka mno (anaweza hata kutoa machozi) akikumbuka sulba alizopitia kufikia kiasi hicho halafu sasa eti lijamaa fulani kwa ulaghai linazichukua kiulaini hivo. Hiyo sio sawa. Sasa roho itasuuzikaje (usinambie habari za mwachie Mungu) kama sio kwa kulipa kisasi kitu ambacho ni sahihi na ni stahili yake?? Tukemee na Tusilee uovu. Ukilipa kisasi tena kwa mafanikio 100% + utaona raha yake. We jaribu uone.
 
Mimi siwezi kumfanyia binadam mwenzangu ukatili wa aina hii, hata kama alinitenda mabaya.
Uko sahihi endapo kuipata laki mbili kwako ww ni rahisi yan sio kazi ngumu. Lakini hebu jiweke ktk nafasi ya e.g. kijana msomi hana chanzo cha kipato au ajira inayoeleweka. Anabangaiza huku na kule (Hustler) na ameweza kujinyima akadunduliza hadi imefika 2k. Atasononeka mno (anaweza hata kutoa machozi) akikumbuka sulba alizopitia kufikia kiasi hicho halafu sasa eti lijamaa fulani kwa ulaghai linazichukua kiulaini hivo. Hiyo sio sawa. Sasa roho itasuuzikaje (usinambie habari za mwachie Mungu) kama sio kwa kulipa kisasi kitu ambacho ni sahihi na ni stahili yake?? Tukemee na Tusilee uovu. Ukilipa kisasi tena kwa mafanikio 100%+ utaona raha yake.
 
Habari muda wadau bila shaka mko salama na wenye udhaifu Mungu awape wepesi
Leo nawaletea mkasa ambao uliniumiza Sana Moyo .
Miaka kadhaa iliopita nilikuepo mkoani Mbeya
Shughuli zangu zilikua ufugaji samaki na kilimo cha strawberry
Nikakutana na mdau mmoja hapa jamii forum akahitaji mbegu za samaki

Tukakubaliana gharama nikaandaa mzigo nikapanda Costa mpk Uyole hapo nakea kiwira
Na hapo uyole ndo sehem tuopatana kuonana
Badda ya kufika na kumpa Taarifa akasema sawa nakuja
Nilikaa kwa masaa manne hakupokea tena simu zangu wala kujibu ujumbe nika mcheki WhatsApp yupo online namtumia ujumbe unatia bluetick lkn hajibu. Kwa kifupi alinipotezea nilipata hasara ya laki moja lkn nikasema sawa
Nilipanga kulipa kisasi japo kwa kuchelewa lkn niliendelea kumtafuta hakunijibu
Baada ya miezi sita nikampigia kwa namba nyengine nikamuuliza kama naweza kupata mbegu za samaki akasema zipo
Nilimuuliza kwasababu ktk kipindi alichonitia hasara niligundua naye ni mtu anaefanya shughuli kama ya kwangu kwahio aliamua kunikomoa hakua na nia ya kuhitaji mbegu hizo

Kwahio baada ya kumuuliza akajibu ndio nikaweka oda ya vifaranga vya samaki 3000 . Sawa na laki tisa(900,000)
Nikamwambia nipo kyela nikamtumia 15,000 hii kwaajili ya mifuko ya kubebea hao viumbe. Hapo ndo akazidi kuingia laini
Nkamwambia akodishe Noah ntalipa Mimi ili mbegu hizo na chakula cha kuanzia vikae vzr akasema sawa
Siku inayofuata saa saa tisa mchana akanipa Taarifa kua washaanza Safari
Na gharama za gari nilishazikubali kwa maelewano wakifika ntalipa pesa yao
Sasa ili kuthibitisha kuwa ni kweli anakuja nikamuambia ukifika kiwira Kuna bahasha yangu utaichukua uje nayo akasema sawa
Nikaandaa karatasi iliosemeka hivi

MIMI ni yule jamaa ulieniambia unataka mbegu za samaki nkaja uyole halafu ukanipotezea nawewe onja machungu .

Nikaweka ndani ya bahasha nikampa kijana akaenda nayo mpk kwenye soko la kiwira maarufu Tandale nikampa namba ya simu wakawasiliana
Walivyofika akamkabidhi na gari ikaondoka kulekekea kyela

Walivyofika kyela nikamwambia nendeni pale kwenye mtaa ambao Kuna mashine za kukoboa mpunga Kuna dogo anakuja kiwachukua
Na hapo muda ulikua ushaenda Sana.

Nikazima simu kwanza baada ya dk 5 wakampigia yule kulijana aliewapa bahasha hakupokea
Nikawasha simu yangu nikawapigia jamaa alivyopokea tu nkamwambia bro ile bahasha unayo? Akajibu ndio nikamwambia fungua uisome inamaelekezo
Baada ya dk 2 jamaa ananipigia simu analia
Hapo roho yangu ikawa nyeupeee
😅😅😅kama stori hivi.

Hivi ndivyo inavyokuwa kama wewe ni Mwanaume unawadanganya wanawake kwamba utawaoa miaka inakaka yangu ana miaka 26 unamsubirisha hadi anagonga 31 then unamwambia huna mpango tena umepata mwingine. Kinachofata ni kwa watoto wako au wa dada yako au Kaka yako.

Kuna siku utakuja kujua ni Karma too late.
 
Habari muda wadau bila shaka mko salama na wenye udhaifu Mungu awape wepesi
Leo nawaletea mkasa ambao uliniumiza Sana Moyo .
Miaka kadhaa iliopita nilikuepo mkoani Mbeya
Shughuli zangu zilikua ufugaji samaki na kilimo cha strawberry
Nikakutana na mdau mmoja hapa jamii forum akahitaji mbegu za samaki

Tukakubaliana gharama nikaandaa mzigo nikapanda Costa mpk Uyole hapo nakea kiwira
Na hapo uyole ndo sehem tuopatana kuonana
Badda ya kufika na kumpa Taarifa akasema sawa nakuja
Nilikaa kwa masaa manne hakupokea tena simu zangu wala kujibu ujumbe nika mcheki WhatsApp yupo online namtumia ujumbe unatia bluetick lkn hajibu. Kwa kifupi alinipotezea nilipata hasara ya laki moja lkn nikasema sawa
Nilipanga kulipa kisasi japo kwa kuchelewa lkn niliendelea kumtafuta hakunijibu
Baada ya miezi sita nikampigia kwa namba nyengine nikamuuliza kama naweza kupata mbegu za samaki akasema zipo
Nilimuuliza kwasababu ktk kipindi alichonitia hasara niligundua naye ni mtu anaefanya shughuli kama ya kwangu kwahio aliamua kunikomoa hakua na nia ya kuhitaji mbegu hizo

Kwahio baada ya kumuuliza akajibu ndio nikaweka oda ya vifaranga vya samaki 3000 . Sawa na laki tisa(900,000)
Nikamwambia nipo kyela nikamtumia 15,000 hii kwaajili ya mifuko ya kubebea hao viumbe. Hapo ndo akazidi kuingia laini
Nkamwambia akodishe Noah ntalipa Mimi ili mbegu hizo na chakula cha kuanzia vikae vzr akasema sawa
Siku inayofuata saa saa tisa mchana akanipa Taarifa kua washaanza Safari
Na gharama za gari nilishazikubali kwa maelewano wakifika ntalipa pesa yao
Sasa ili kuthibitisha kuwa ni kweli anakuja nikamuambia ukifika kiwira Kuna bahasha yangu utaichukua uje nayo akasema sawa
Nikaandaa karatasi iliosemeka hivi

MIMI ni yule jamaa ulieniambia unataka mbegu za samaki nkaja uyole halafu ukanipotezea nawewe onja machungu .

Nikaweka ndani ya bahasha nikampa kijana akaenda nayo mpk kwenye soko la kiwira maarufu Tandale nikampa namba ya simu wakawasiliana
Walivyofika akamkabidhi na gari ikaondoka kulekekea kyela

Walivyofika kyela nikamwambia nendeni pale kwenye mtaa ambao Kuna mashine za kukoboa mpunga Kuna dogo anakuja kiwachukua
Na hapo muda ulikua ushaenda Sana.

Nikazima simu kwanza baada ya dk 5 wakampigia yule kulijana aliewapa bahasha hakupokea
Nikawasha simu yangu nikawapigia jamaa alivyopokea tu nkamwambia bro ile bahasha unayo? Akajibu ndio nikamwambia fungua uisome inamaelekezo
Baada ya dk 2 jamaa ananipigia simu analia
Hapo roho yangu ikawa nyeupeee
Nimeipenda kiongoz mpambanajii
 
Mzee baba una roho ya kinyama, watu wa jino kwa jino sio wa kukaa nao karibu.
Yaani miezi zaidi ya sita bado una hasira na mchizi kisa laki.
Kama mtu hajali maumivu yako kwa nini wewe ujali ya kwake?

We jamaa ni mbinafsi una roho mbaya kama huyo jamaa wa kwanza.

Hujaona unyama wa Muuza vifaranga wa kwanza unamsema wa pili?
 
Habari muda wadau bila shaka mko salama na wenye udhaifu Mungu awape wepesi
Leo nawaletea mkasa ambao uliniumiza Sana Moyo .
Miaka kadhaa iliopita nilikuepo mkoani Mbeya
Shughuli zangu zilikua ufugaji samaki na kilimo cha strawberry
Nikakutana na mdau mmoja hapa jamii forum akahitaji mbegu za samaki

Tukakubaliana gharama nikaandaa mzigo nikapanda Costa mpk Uyole hapo nakea kiwira
Na hapo uyole ndo sehem tuopatana kuonana
Badda ya kufika na kumpa Taarifa akasema sawa nakuja
Nilikaa kwa masaa manne hakupokea tena simu zangu wala kujibu ujumbe nika mcheki WhatsApp yupo online namtumia ujumbe unatia bluetick lkn hajibu. Kwa kifupi alinipotezea nilipata hasara ya laki moja lkn nikasema sawa
Nilipanga kulipa kisasi japo kwa kuchelewa lkn niliendelea kumtafuta hakunijibu
Baada ya miezi sita nikampigia kwa namba nyengine nikamuuliza kama naweza kupata mbegu za samaki akasema zipo
Nilimuuliza kwasababu ktk kipindi alichonitia hasara niligundua naye ni mtu anaefanya shughuli kama ya kwangu kwahio aliamua kunikomoa hakua na nia ya kuhitaji mbegu hizo

Kwahio baada ya kumuuliza akajibu ndio nikaweka oda ya vifaranga vya samaki 3000 . Sawa na laki tisa(900,000)
Nikamwambia nipo kyela nikamtumia 15,000 hii kwaajili ya mifuko ya kubebea hao viumbe. Hapo ndo akazidi kuingia laini
Nkamwambia akodishe Noah ntalipa Mimi ili mbegu hizo na chakula cha kuanzia vikae vzr akasema sawa
Siku inayofuata saa saa tisa mchana akanipa Taarifa kua washaanza Safari
Na gharama za gari nilishazikubali kwa maelewano wakifika ntalipa pesa yao
Sasa ili kuthibitisha kuwa ni kweli anakuja nikamuambia ukifika kiwira Kuna bahasha yangu utaichukua uje nayo akasema sawa
Nikaandaa karatasi iliosemeka hivi

MIMI ni yule jamaa ulieniambia unataka mbegu za samaki nkaja uyole halafu ukanipotezea nawewe onja machungu .

Nikaweka ndani ya bahasha nikampa kijana akaenda nayo mpk kwenye soko la kiwira maarufu Tandale nikampa namba ya simu wakawasiliana
Walivyofika akamkabidhi na gari ikaondoka kulekekea kyela

Walivyofika kyela nikamwambia nendeni pale kwenye mtaa ambao Kuna mashine za kukoboa mpunga Kuna dogo anakuja kiwachukua
Na hapo muda ulikua ushaenda Sana.

Nikazima simu kwanza baada ya dk 5 wakampigia yule kulijana aliewapa bahasha hakupokea
Nikawasha simu yangu nikawapigia jamaa alivyopokea tu nkamwambia bro ile bahasha unayo? Akajibu ndio nikamwambia fungua uisome inamaelekezo
Baada ya dk 2 jamaa ananipigia simu analia
Hapo roho yangu ikawa nyeupeee
Nyie watu wa Pwani mnaua mtu huku mnamchekea. 4R
 
Habari muda wadau bila shaka mko salama na wenye udhaifu Mungu awape wepesi
Leo nawaletea mkasa ambao uliniumiza Sana Moyo .
Miaka kadhaa iliopita nilikuepo mkoani Mbeya
Shughuli zangu zilikua ufugaji samaki na kilimo cha strawberry
Nikakutana na mdau mmoja hapa jamii forum akahitaji mbegu za samaki

Tukakubaliana gharama nikaandaa mzigo nikapanda Costa mpk Uyole hapo nakea kiwira
Na hapo uyole ndo sehem tuopatana kuonana
Badda ya kufika na kumpa Taarifa akasema sawa nakuja
Nilikaa kwa masaa manne hakupokea tena simu zangu wala kujibu ujumbe nika mcheki WhatsApp yupo online namtumia ujumbe unatia bluetick lkn hajibu. Kwa kifupi alinipotezea nilipata hasara ya laki moja lkn nikasema sawa
Nilipanga kulipa kisasi japo kwa kuchelewa lkn niliendelea kumtafuta hakunijibu
Baada ya miezi sita nikampigia kwa namba nyengine nikamuuliza kama naweza kupata mbegu za samaki akasema zipo
Nilimuuliza kwasababu ktk kipindi alichonitia hasara niligundua naye ni mtu anaefanya shughuli kama ya kwangu kwahio aliamua kunikomoa hakua na nia ya kuhitaji mbegu hizo

Kwahio baada ya kumuuliza akajibu ndio nikaweka oda ya vifaranga vya samaki 3000 . Sawa na laki tisa(900,000)
Nikamwambia nipo kyela nikamtumia 15,000 hii kwaajili ya mifuko ya kubebea hao viumbe. Hapo ndo akazidi kuingia laini
Nkamwambia akodishe Noah ntalipa Mimi ili mbegu hizo na chakula cha kuanzia vikae vzr akasema sawa
Siku inayofuata saa saa tisa mchana akanipa Taarifa kua washaanza Safari
Na gharama za gari nilishazikubali kwa maelewano wakifika ntalipa pesa yao
Sasa ili kuthibitisha kuwa ni kweli anakuja nikamuambia ukifika kiwira Kuna bahasha yangu utaichukua uje nayo akasema sawa
Nikaandaa karatasi iliosemeka hivi

MIMI ni yule jamaa ulieniambia unataka mbegu za samaki nkaja uyole halafu ukanipotezea nawewe onja machungu .

Nikaweka ndani ya bahasha nikampa kijana akaenda nayo mpk kwenye soko la kiwira maarufu Tandale nikampa namba ya simu wakawasiliana
Walivyofika akamkabidhi na gari ikaondoka kulekekea kyela

Walivyofika kyela nikamwambia nendeni pale kwenye mtaa ambao Kuna mashine za kukoboa mpunga Kuna dogo anakuja kiwachukua
Na hapo muda ulikua ushaenda Sana.

Nikazima simu kwanza baada ya dk 5 wakampigia yule kulijana aliewapa bahasha hakupokea
Nikawasha simu yangu nikawapigia jamaa alivyopokea tu nkamwambia bro ile bahasha unayo? Akajibu ndio nikamwambia fungua uisome inamaelekezo
Baada ya dk 2 jamaa ananipigia simu analia
Hapo roho yangu ikawa nyeupeee
Una akili sana sana. Naamini akili hii kubwa ingetumika katika level za kisector, taasisi, au Mamlaka za umma ingenufaisha Wa Tz wenzio wengi. Kuliko kukunufaisha ww tuu. Na mie nitakutafuta kwa mechi zangu pia mkuu, maana watusikuiz hawajui kujali viatu na mapito ya wengine.
 
Deni Halilipwi kwa Deni

Nilimpenda sana, kwa moyo wangu wote. Alikuwa mwanafunzi, maisha yake yalitegemea hela za wazazi na mara chache alipopata pesa za matumizi, zilikwisha haraka. Lakini kila mara alipokuwa na shida, mimi ndiye niliyemsaidia.

“Mpenzi, naomba nishikie elfu tano tu, nitakurudishia nikitumiwa hela na mzazi,” alisema siku moja. Nilimpa. Lakini siku zikapita, miezi ikapita, hakurudisha.

Mara nyingine tena, “Naomba unisaidie nauli, niko mbali na sina hata senti.” Nikampa tena. Ilikuwa kawaida sasa—alikopa, akaahidi kulipa, lakini hakuwahi kurudisha hata shilingi.

Siku moja alinifuata akiwa na jambo la dharura. Alikuwa na simu aliyotaka kuiuza, akaniomba nimtafutie mteja haraka. Kwa kuwa nilimpenda, sikuona tabu. Nikahangaika, nikazunguka, hatimaye nikampata mtu aliyekubali kununua simu hiyo.

Nilipopokea pesa kutoka kwa mnunuzi, nilizihisi mkononi mwangu na akili yangu ikarudi kwenye madeni yote aliyoniwekea. Nikamwangalia na tabasamu la maana.

“Hizi pesa sizikupi,” nilimwambia kwa utulivu.

Alinitazama kwa mshangao. “Unamaanisha nini?”

“Namaanisha nakudai pesa nyingi sana. Hizi ndio malipo yangu kwa kila hela uliyokopa na hukuwahi kurudisha.”

Uso wake ulibadilika. Alionekana kushangaa, kisha akatikisa kichwa huku akitabasamu kwa huzuni. “Nilifikiri unanisaidia kwa sababu unanipenda.”

“Ndio, nilikupenda. Lakini deni siyo sehemu ya mapenzi.”

Alinyamaza kwa muda, kisha akaondoka bila kusema neno jingine. Tangu siku hiyo, simu zake zilipungua, meseji hazikuja tena.

Na hapo ndipo nilipojifunza somo moja kubwa—dawa ya moto ni moto.
 
Habari muda wadau bila shaka mko salama na wenye udhaifu Mungu awape wepesi
Leo nawaletea mkasa ambao uliniumiza Sana Moyo .
Miaka kadhaa iliopita nilikuepo mkoani Mbeya
Shughuli zangu zilikua ufugaji samaki na kilimo cha strawberry
Nikakutana na mdau mmoja hapa jamii forum akahitaji mbegu za samaki

Tukakubaliana gharama nikaandaa mzigo nikapanda Costa mpk Uyole hapo nakea kiwira
Na hapo uyole ndo sehem tuopatana kuonana
Badda ya kufika na kumpa Taarifa akasema sawa nakuja
Nilikaa kwa masaa manne hakupokea tena simu zangu wala kujibu ujumbe nika mcheki WhatsApp yupo online namtumia ujumbe unatia bluetick lkn hajibu. Kwa kifupi alinipotezea nilipata hasara ya laki moja lkn nikasema sawa
Nilipanga kulipa kisasi japo kwa kuchelewa lkn niliendelea kumtafuta hakunijibu
Baada ya miezi sita nikampigia kwa namba nyengine nikamuuliza kama naweza kupata mbegu za samaki akasema zipo
Nilimuuliza kwasababu ktk kipindi alichonitia hasara niligundua naye ni mtu anaefanya shughuli kama ya kwangu kwahio aliamua kunikomoa hakua na nia ya kuhitaji mbegu hizo

Kwahio baada ya kumuuliza akajibu ndio nikaweka oda ya vifaranga vya samaki 3000 . Sawa na laki tisa(900,000)
Nikamwambia nipo kyela nikamtumia 15,000 hii kwaajili ya mifuko ya kubebea hao viumbe. Hapo ndo akazidi kuingia laini
Nkamwambia akodishe Noah ntalipa Mimi ili mbegu hizo na chakula cha kuanzia vikae vzr akasema sawa
Siku inayofuata saa saa tisa mchana akanipa Taarifa kua washaanza Safari
Na gharama za gari nilishazikubali kwa maelewano wakifika ntalipa pesa yao
Sasa ili kuthibitisha kuwa ni kweli anakuja nikamuambia ukifika kiwira Kuna bahasha yangu utaichukua uje nayo akasema sawa
Nikaandaa karatasi iliosemeka hivi

MIMI ni yule jamaa ulieniambia unataka mbegu za samaki nkaja uyole halafu ukanipotezea nawewe onja machungu .

Nikaweka ndani ya bahasha nikampa kijana akaenda nayo mpk kwenye soko la kiwira maarufu Tandale nikampa namba ya simu wakawasiliana
Walivyofika akamkabidhi na gari ikaondoka kulekekea kyela

Walivyofika kyela nikamwambia nendeni pale kwenye mtaa ambao Kuna mashine za kukoboa mpunga Kuna dogo anakuja kiwachukua
Na hapo muda ulikua ushaenda Sana.

Nikazima simu kwanza baada ya dk 5 wakampigia yule kulijana aliewapa bahasha hakupokea
Nikawasha simu yangu nikawapigia jamaa alivyopokea tu nkamwambia bro ile bahasha unayo? Akajibu ndio nikamwambia fungua uisome inamaelekezo
Baada ya dk 2 jamaa ananipigia simu analia
Hapo roho yangu ikawa nyeupeee
Watu wa mbeya ni wakarimu ila ni wa visasi sanaa
 
Back
Top Bottom