Pressure - PleasureThanks my pressure!
DJ sepetu
Awali ya yote niwapongeze wadada warembo wote Wa jf kwa ukarimu Na ucharming wao!Naomba kujua kwanini umejiita muosha rungu
DuhWajanja tunabandua live we una bandua kwenye keyboard
Wa kishua
Kiufupi ulikuwa player?Awali ya yote niwapongeze wadada warembo wote Wa jf kwa ukarimu Na ucharming wao!
Pili niupingeze uongozi Wa jf kwa kunikubalia Ku host show zangu hapa
Nilijiita hili jina kutokana Na historia ya mwalimu wangu mmoja ambaye alikuwa akinitania"hausomi kazi kuosha rungu tu" basi nikalipenda sana
DJ sepetu
Wajanja tunabandua live we una bandua kwenye keyboard
Wa kishua
Nikiwa jkt kamanda wetu tukikosea alikuwa akichagua watu wachache akiita kipangata basi mtaadhibiwa kinoma kuliko achukue group loteTangu uanze kufanya interview humu hujawahi kuifanya kwa wanaume...
Kwanini?
Not in such ila nilikuwa sijinyimi raha za waremboKiufupi ulikuwa player?
inaonesha una ubaguzi wa jinsiaNikiwa jkt kamanda wetu tukikosea alikuwa akichagua watu wachache akiita kipangata basi mtaadhibiwa kinoma kuliko achukue group lote
Basi Mimi pia nimechagua tu Ku deal Na warembo!
DJ sepetu
Mmmh!Thanks my pressure!
DJ sepetu
Bado nakula ujana kwanza pressure za ndoa baadae[emoji12]Umeoa?
Teh teh teh..... Wewe kweli mchochezi na mchokozi.Mkuu kwa siku hua unaosha marungu ya watu mangapiii