DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
Yalete
DJ sepetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yalete
Kwa nini Muosha rungu unapenda kufuatilia wengine lakini wewe hupendi kufuatiliwa?Team Dimples
Dimples oyeee!
Muosha rungu nashukuru kwa haya machache uliyonijibu...kiasi fulani watu wamekufahamu
Shukurani sana mkuu
Half half!'Wivu ni kipimo cha mapenzi' unaamini hii kauli?
Wewe dogo bange za chii..Ili teja la kinondon ltawaza nn Zaid ya kubwia unga
Wa kishua
Best wewe ni team kavu?Kawaida tu
DJ sepetu
Siwezi kula pipi kwenye ganda aisee bora nipime upime kabla ya mgegedoBest wewe ni team kavu?
Haa haahaaa! ! Vipi mabanda ya uwani ushawahi kupanga?Siwezi kula pipi kwenye ganda aisee bora nipime upime kabla ya mgegedo
DJ sepetu
Unakuta wananipa wenyewe!Haa haahaaa! ! Vipi mabanda ya uwani ushawahi kupanga?
Yaap naelew mkuuKuna kitu kinaitwa kupitiwa tu kimaandishi kama ilivyo kimaneno mtu anavyochapia
We all make mistakes...tuelewe tu mkuu
Kufuatilia kwangu ni hobby ila kunifuatiliwa napata wasiwasiKwa nini Muosha rungu unapenda kufuatilia wengine lakini wewe hupendi kufuatiliwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah! Na 3 some? ?Unakuta wananipa wenyewe!
Mademu wangu wawili walikuwa hivyo
DJ sepetu
Of course napiga with great care[emoji12] [emoji12]Kuna dalili ya kusalitiwa sasa kama humpi anachotamani kupewa
Kwa izi CFA mbn unaendan na yule mshkj anaejiita sepenga kweny kipnd cha FNL cha eatv ?????????VIP apo?Sio mfupi sio mrefu maji ya kunde
Sio mnene sio mwembamba Nina vijichimo mashavuni dimples sijui
Mwaya Wa juu.
DJ sepetu
Nimeshawafanya hivyo one time nakumbuka tuliwa tour Rwanda nililala Na mademu wawili kitanda kimoja mmoja alikuwa baby wangu mwingine rafiki yakeDaah! Na 3 some? ?
Kutokujua ila ukajaribu ni heri kuliko kutokujaribu kabisa,kama ipo nia ya kujua ni bora ukajaribu hata watu wakiona hujui sio caseYaap naelew mkuu
Ujue ukichapia iyo lugha unaonekan hujui kabs kulik ukichapia lugha yako coz unaonekan umepitiw,BT maan ang co kumkashifu ila cipend iyo uck na mchan naombea ata ife tu kwn ishawah nizaririsha kichiZ
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikitokea akakubadilishia gia angan utfny maamuz gan?Sipendi maana najua madhara yake
DJ sepetu