Muovu punguani hufanya uovu kila mmoja akajua ni uovu

Muovu punguani hufanya uovu kila mmoja akajua ni uovu

Hamatan

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2020
Posts
3,197
Reaction score
7,677
Kufanya uovu na kisha uovu ufanikiwe, ni lazima mwovu awe na akili yaani awe mwovu mwerevu. Ukiwa mwovu punguani, hakika hakuna uovu utakaoufanya ambao wenye akili hawataweza kuubaini.

Fikiria Mbowe kushindwa kufikishwa mahakamani, eti gari la kumpeleka mahakamani ni bovu! Na mama naye anaona ana watu makini wa kulinda uovu.

Ebu Fikiria Sabaya kuvamia maduka na hoteli za watu huku video camera zikimchukua picha, na utetezi wake ni kuwa aliagizwa toka juu kufanya uovu!! Mwenyewe anaona kwa utetezi huo, tayari ameshinda kesi.

Ebu Fikiria Musiba kumtukana kila aliyetaka kumtukana, na kudai kwamba hakuna hakimu wala jaji wa kumtia hatiani, labda Magufuli awe amekufa!
 
Lengai ole sabaya ni mpumbavu sana.

Yaani unaakili kwamba kweli nilifanya. Kisha unasema palikuwa na baraka za ABC pumbavu, mbona hawajifunzi hawa?

Kwenye case ya zombe.... bagen yupo wapi leo? Alitumwa na nanani?

Wale maaskar wa Hitler walifanywaje?
 
Mkuu tatizo ni moja huwezi panga ushahidi Baada ya tukio. Hapo ndiyo panaibuka muovu punguani. Sirbuyer sijui nani vilee. Alitumwa sijui so ameshakubali kosa Ila hakuwa peke yake siyo!!

Case ya kuwatoa watu kwa reli camoon.
 
Kufanya uovu na kisha uovu ufanikiwe, ni lazima mwovu awe na akili yaani awe mwovu mwerevu. Ukiwa mwovu punguani, hakika hakuna uovu utakaoufanya ambao wenye akili hawataweza kuubaini...
Tupuganie katiba mpya la sivyo ushenzi huu utaendelea siku zote.
 
Ukweli huu ni Uabunwasi kukata tawi alilokalia
Hatudaiwi fedha za chanjo ya Covid kama Kenya
Tuta daiwa tutengeneze katiba kwa kubanwa aibuuu!!!
 
Back
Top Bottom