kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Anaongea kama mwenyekiti wa klabu, anaongea kama katibu mkuu wa klabu, anaongea kama kocha wa klabu na mbaya zaidi anaongea kama wale mashabiki wasiofuatilia soka ila ni mahili kupiga domo.jerry muro anaharibu zaidi cv yake yanga..yanga nayo inaharibiwa kwa kuonekana kama inaongozwa na afisa habari anayefoka bila sababu hata kwa hoja za kawaida kabisa. Ukweli yanga na jerry wote wamepatikana na wote wanaharibiana CV kwa kasi ya ajabu