Muro kakosea kwenda Yanga, Yanga nayo imekosea kumpata Muro

Muro kakosea kwenda Yanga, Yanga nayo imekosea kumpata Muro

grafani11

Rage aliondolewa madarakani???? Acha uongo
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • Salute to Katavi.jpg
    Salute to Katavi.jpg
    6.3 KB · Views: 141
  • Salute to Katavi2.png
    Salute to Katavi2.png
    17.3 KB · Views: 123
  • Salute to Katavi3.jpg
    Salute to Katavi3.jpg
    8.1 KB · Views: 116
Rage aliondolewa madarakani???? Acha uongo
Kama hajaondolewa na wanachama wa Simba sema hapa nani ni mwenyekiti wa Simba leo hii? Sikushangai mara mbili vipigo vya Simba bado vinazunguka kwenye mijicho yako hata kuona mbele huoni.
 
kalagabaho

wewe umetumwa nini? mbona huongelei timu yenu mbovu ni hakuna mfano kinacho kutekenya kitu gani we manji au sanga?. muro yuko makini sana ndo maana kaitwa mkurugenzi wa habari ww ulitaka aongelee simba?

Muro yuko makini? Na jana ametoa amri ya kutopekeka timu uwanjani ole wenu msitii amri yake!
 
Last edited by a moderator:
Kweli wewe mbumbumbu,kwa hiyo alitoka madarakani kabla muda wake haujaisha?
 
Anaongea kama mwenyekiti wa klabu, anaongea kama katibu mkuu wa klabu, anaongea kama kocha wa klabu na mbaya zaidi anaongea kama wale mashabiki wasiofuatilia soka ila ni mahili kupiga domo.jerry muro anaharibu zaidi cv yake yanga..yanga nayo inaharibiwa kwa kuonekana kama inaongozwa na afisa habari anayefoka bila sababu hata kwa hoja za kawaida kabisa. Ukweli yanga na jerry wote wamepatikana na wote wanaharibiana CV kwa kasi ya ajabu

ngoja kesho nasikia wanamfungia soka kidogo
 
vieira77

Kinywa kina uhuru wa kuzungumza chochote lakini mtu wa PR anachagua lugha na maneno ya kutamka mbele ya hadhira, ndio maana TFF wakavitaka vilabu kuajiri wasemaji wenye taaluma zao ambao wana technics na good PR.

Kwa hiyo hatutegemei PR Officer azungumze kama wanavyozungumza Hanspope na Jamhuri Kihwelo.
Jamhuri Kiheelo anapoxungumza ni kwa nafasi yake ya ukocha kwa mujibu wa taratibu za kimpira, Hans Poppe yeye aongee kwa nafasi ipi ndani ya taratibu za kimpira?
 
Anaongea kama mwenyekiti wa klabu, anaongea kama katibu mkuu wa klabu, anaongea kama kocha wa klabu na mbaya zaidi anaongea kama wale mashabiki wasiofuatilia soka ila ni mahili kupiga domo.jerry muro anaharibu zaidi cv yake yanga..yanga nayo inaharibiwa kwa kuonekana kama inaongozwa na afisa habari anayefoka bila sababu hata kwa hoja za kawaida kabisa. Ukweli yanga na jerry wote wamepatikana na wote wanaharibiana CV kwa kasi ya ajabu

Bora Steve.
 
Mdomo mchafu umeshafungwa kwa mwaka mmoja na faini ya mil 3 kuanzia Jul, 07.
 
Mdomo mchafu umeshafungwa kwa mwaka mmoja na faini ya mil 3 kuanzia Jul, 07.

Sasa amebaki kujizushia eti kateuliwa kuwa afisa habari ikulu..anataka abaki midomoni mwa watu wakati watu wameshachoka kusikia pumba zake
 
Back
Top Bottom