Waliotolewa kwenye champions league wanakutana kwenye confederation cup. Kwa ufupi haya mashindano ni ya walioshindwa, yaani kombe la washindwa. Akina Zamalek, Al Ahly na ASEC wapo kule kwa wababe. Hili ni kama kombe alilochukua Sevilla (eti fainali Sevila vs Liverpool)!