Murtaza Mangungu ashinda uchaguzi nafasi ya Mwenyekiti wa Klabu ya Dimba Sc. kwa kupata kura 1,311

Murtaza Mangungu ashinda uchaguzi nafasi ya Mwenyekiti wa Klabu ya Dimba Sc. kwa kupata kura 1,311

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Murtaza Mangungu ameshinda katika Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo kwa kupata kura 1,311 akimshinda Moses Kaluwa kwa tofauti ya kura 266 huku kura 7 zikiharibika.

Screenshot_20230130-051156_Twitter.jpg


Walioshinda nafasi ya ujumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ni;

1.Dr Seif Ramadhan Muba - kura 1636
2.Asha Baraka - kura 1564
3.CPA Issa Masoud Iddi - kura 1285
4. Rodney Chiduo - kura 1267
5. Seleman Harubu - kura 1250

Pia soma: https://www.jamiiforums.com/threads/mkutano-mkuu-simba.2060929/
 
Simba nguvu moja. Hata lingewekwa jiwe kwa katiba hii ni sawa tu. Nkwabi alikimbia mbio sababu ni katiba kumbana.... Huyu mwana ccm sijui kama atapambania mabadiliko ya katiba. NGOJA TUONE.
 
HAKUNA UMASIKINI MBAYA KAMA UMASIKINI WA FIKRA".
Julius Kambarage Nyerere.


YANI WAJUMBE MMENIANGUSHA MNO.
 
Back
Top Bottom