Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Murtaza Mangungu ameshinda katika Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo kwa kupata kura 1,311 akimshinda Moses Kaluwa kwa tofauti ya kura 266 huku kura 7 zikiharibika.
Walioshinda nafasi ya ujumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ni;
1.Dr Seif Ramadhan Muba - kura 1636
2.Asha Baraka - kura 1564
3.CPA Issa Masoud Iddi - kura 1285
4. Rodney Chiduo - kura 1267
5. Seleman Harubu - kura 1250
Pia soma: https://www.jamiiforums.com/threads/mkutano-mkuu-simba.2060929/
Walioshinda nafasi ya ujumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ni;
1.Dr Seif Ramadhan Muba - kura 1636
2.Asha Baraka - kura 1564
3.CPA Issa Masoud Iddi - kura 1285
4. Rodney Chiduo - kura 1267
5. Seleman Harubu - kura 1250
Pia soma: https://www.jamiiforums.com/threads/mkutano-mkuu-simba.2060929/