Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
GENTAMYCINE hakugombea? Sasa nyie mashabiki wa Simba MSIMBAZI huwa mnatupigia kelele bure hapa jukwaani na sifa za kugombea uongozi hamna? Nyie ni mashabiki maandazi. Wapi OKW BOBAN SUNZU ?Murtaza Mangungu ameshinda katika Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo kwa kupata kura 1,311 akimshinda Moses Kaluwa kwa tofauti ya kura 266 huku kura 7 zikiharibika.
View attachment 2499774
Walioshinda nafasi ya ujumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ni;
1.Dr Seif Ramadhan Muba - kura 1636
2.Asha Baraka - kura 1564
3.CPA Issa Masoud Iddi - kura 1285
4. Rodney Chiduo - kura 1267
5. Seleman Harubu - kura 1250
Pia soma: https://www.jamiiforums.com/threads/mkutano-mkuu-simba.2060929/