Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
GENTAMYCINE hakugombea? Sasa nyie mashabiki wa Simba MSIMBAZI huwa mnatupigia kelele bure hapa jukwaani na sifa za kugombea uongozi hamna? Nyie ni mashabiki maandazi. Wapi OKW BOBAN SUNZU ?Murtaza Mangungu ameshinda katika Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo kwa kupata kura 1,311 akimshinda Moses Kaluwa kwa tofauti ya kura 266 huku kura 7 zikiharibika.
View attachment 2499774
Walioshinda nafasi ya ujumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ni;
1.Dr Seif Ramadhan Muba - kura 1636
2.Asha Baraka - kura 1564
3.CPA Issa Masoud Iddi - kura 1285
4. Rodney Chiduo - kura 1267
5. Seleman Harubu - kura 1250
Pia soma: https://www.jamiiforums.com/threads/mkutano-mkuu-simba.2060929/
Minne tena ya robo fainali CAF Champions League. Kila mtu ana malengo yake. Yanga ina malengo ya kuizuia Simba isishinde, wakati Simba ina malengo ya kuvuka hatua zaidi ya robo fainali CAF Champions League.Minne tena ya kupigwa na topolo?
Au hali itabadilika?
na wewe fikra zako zipo chini hizo za kushindana na utopolo badala ya Raja CasablancaHuyu fala anasababisha kila siku tunapigwa na utopolo
Inatakiwa tunapiga wotena wewe fikra zako zipo chini hizo za kushindana na utopolo badala ya Raja Casablanca
nani wa kufuatilia hizo b 20?Wamuunge Mkono Hamisi Kigwangallah kufuatilia bilioni 20 feki za Tapeli MO.
Apewe kazi mzee Kilomoni bila kubugudhiwanani wa kufuatilia hizo b 20?
HOW???????Huyu fala anasababisha kila siku tunapigwa na utopolo
ni ngumuApewe kazi mzee Kilomoni bila kubugudhiwa
Yes wajumbe kama wajumbe ndio waamuzi [emoji23][emoji23]"HAKUNA UMASIKINI MBAYA KAMA UMASIKINI WA FIKRA".
YANI WAJUMBE MMENIANGUSHA MNO.
Wenye Simba yetu wala hatuna presha na hizo 20B, utopolo na walionyimwa mikopo ndio wanahangaikanani wa kufuatilia hizo b 20?
Sisi wajumbe ndio waamuzi wa nani tumpigie kura.jana wajumbe tuliamua nani anatufaaGENTAMYCINE hakugombea? Sasa nyie mashabiki wa Simba MSIMBAZI huwa mnatupigia kelele bure hapa jukwaani na sifa za kugombea uongozi hamna? Nyie ni mashabiki maandazi. Wapi OKW BOBAN SUNZU ?
ni kweliWenye Simba yetu wala hatuna presha na hizo 20B, utopolo na walionyimwa mikopo ndio wanahangaika
Huyo mpuuzi ccm licha ya kuwa kama choo cha site lakini ccm wanamuona mchafu kuzidi wao.Akapambane na doctor mwaka.Wamuunge Mkono Hamisi Kigwangallah kufuatilia bilioni 20 feki za Tapeli MO.
Kigwa ana hoja ,muonyesheni bilioni 20 ziliingia account gani.Huyo mpuuzi ccm licha ya kuwa kama choo cha site lakini ccm wanamuona mchafu kuzidi wao.Akapambane na doctor mwaka.
Nakwambia mkuu kuvitilia uzito vitu vya kitanzania hasa simba na yanga ni uzuzu.na kigwangala ni moja la mazuzu lilitoka kwenye ujambazi linatishia wezi.Kigwa ana hoja ,muonyesheni bilioni 20 ziliingia account gani.
Huna timu ya kumfunga Raja Casablanca hata iwejena wewe fikra zako zipo chini hizo za kushindana na utopolo badala ya Raja Casablanca
Nmemuona Mshana Jr hapoSisi wajumbe ndio waamuzi wa nani tumpigie kura.jana wajumbe tuliamua nani anatufaa View attachment 2499888