Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu, anasema kwamba historia inadhihirisha tofauti kati ya timu za soka, akitaja Simba kuwa na wachezaji wenye akili huku akieleza kuwa timu iliyoongozwa na Malofa wanawezaje kusaidia mapambano makubwa katika kuleta uhuru.
"Tumesoma vitabu vya historia na klabu yao wao ilikuwa inaongozwa na Watu malofa sasa Malofa wanawezaje kutusaidia kupigania uhuru?"
"Tumesoma vitabu vya historia na klabu yao wao ilikuwa inaongozwa na Watu malofa sasa Malofa wanawezaje kutusaidia kupigania uhuru?"