Nasri A Kulemba
Member
- Oct 16, 2015
- 20
- 56
Na pia Manzoki alikuja Msimbazi kama wana Msimbazi walivyokuwa wakihitaji.Kutoka kwa Mwenyekiti wa Simba.
“Niliwaahidi mashabiki wa Simba, msimu huu lazima tumfunge Yanga na tumemfunga tukafurahi wote. Kwenye hilo mashabiki hawanidai”.
[emoji2788] Murtaza Mangungu, M/kiti wa Simba SCView attachment 2624187
Kiongozi kama huyu ni aibu kubwa kwa klabu kubwa kama Simba!Kutoka kwa Mwenyekiti wa Simba.
“Niliwaahidi mashabiki wa Simba, msimu huu lazima tumfunge Yanga na tumemfunga tukafurahi wote. Kwenye hilo mashabiki hawanidai”.
[emoji2788] Murtaza Mangungu, M/kiti wa Simba SCView attachment 2624187
Bado kivipi wakati mlienda uwanja wa ndege kuwapkea mashujaa wenu na mkatoa kauli kuwa hamuwadai. Sasa leo vipi mseme bado mnadai nusu fainali?Bado malengo ya kufika Nusu fainali Kablu Bingwa hayajatimia, nadhani tufocus huko kwasasa.
Otherwise, hakuna furaha kama Kumfunga Mtani [emoji123]
Na la kufa kiume, na la kiatu cha Mpole mwaka janaMnataka kombe la kumfunga Yanga?
Nimecheka sana hadi nimepatwa na kwikwi [emoji38]Na la kufa kiume, na la kiatu cha Mpole mwaka jana
Ile ilikuwa ni kauli ya kushusha tempter ila lengo ilikuwa nusu fainali MkuuBado kivipi wakati mlienda uwanja wa ndege kuwapkea mashujaa wenu na mkatoa kauli kuwa hamuwadai. Sasa leo vipi mseme bado mnadai nusu fainali?
AahaaaaKutoka kwa Mwenyekiti wa Simba.
“Niliwaahidi mashabiki wa Simba, msimu huu lazima tumfunge Yanga na tumemfunga tukafurahi wote. Kwenye hilo mashabiki hawanidai”.
[emoji2788] Murtaza Mangungu, M/kiti wa Simba SCView attachment 2624187
Hii ni aibu, malengo ni kuifunga yanga?Kutoka kwa Mwenyekiti wa Simba.
“Niliwaahidi mashabiki wa Simba, msimu huu lazima tumfunge Yanga na tumemfunga tukafurahi wote. Kwenye hilo mashabiki hawanidai”.
[emoji2788] Murtaza Mangungu, M/kiti wa Simba SCView attachment 2624187
Gentamycine alipomkataa alishambuliwa Sana hapa. Lakini kiongozi anatafuta Uongozi Madrid ahadi yake iwe kumfunga Barcelona?Simba hatuna viongozi wenye maono na dhamira ya dhati
Maskini 🤣🤣🤣wakiongea wanakaza hadi mishipa ya shingoNa la kufa kiume, na la kiatu cha Mpole mwaka jana