Nakumbuka wewe ndiye ulishikia bango la tozo za miamala ya simu. Ukashawishi serikali na bunge kuanzisha tozo hizo bila kujali maisha duni ya Watanzania wengi huku ukiweka mbele maslahi yako binafsi! Hivi ulidhani wote wanauza madawa ya kulevya na kupata vipato haramu kama wewe.
Sasa serikali imegundua unafiki wako na kuamua kuifuta kuanzia leo. Maana serikali imegundua kuwa tozo hizo hazijaleta manufaa yo yote zaidi ya kuwaumiza walala hoi!
Aibu yako Zungu!
Sasa serikali imegundua unafiki wako na kuamua kuifuta kuanzia leo. Maana serikali imegundua kuwa tozo hizo hazijaleta manufaa yo yote zaidi ya kuwaumiza walala hoi!
Aibu yako Zungu!