Musa Zungu aibu yako kuhusu tozo za miamala

Musa Zungu aibu yako kuhusu tozo za miamala

Nakumbuka wewe ndiye ulishikia bango la tozo za miamala ya simu. Ukashawishi serikali na bunge kuanzisha tozo hizo bila kujali maisha duni ya Watanzania wengi huku ukiweka mbele maslahi yako binafsi! Hivi ulidhani wote wanauza madawa ya kulevya na kupata vipato haramu kama wewe.

Sasa serikali imegundua unafiki wako na kuamua kuifuta kuanzia leo. Maana serikali imegundua kuwa tozo hizo hazijaleta manufaa yo yote zaidi ya kuwaumiza walala hoi!

Aibu yako Zungu!
1688216757140.png

Nakuja, kujibu hoja napitia vifungu kadha wa kadha hapa!
 
Nakumbuka wewe ndiye ulishikia bango la tozo za miamala ya simu. Ukashawishi serikali na bunge kuanzisha tozo hizo bila kujali maisha duni ya Watanzania wengi huku ukiweka mbele maslahi yako binafsi! Hivi ulidhani wote wanauza madawa ya kulevya na kupata vipato haramu kama wewe.

Sasa serikali imegundua unafiki wako na kuamua kuifuta kuanzia leo. Maana serikali imegundua kuwa tozo hizo hazijaleta manufaa yo yote zaidi ya kuwaumiza walala hoi!

Aibu yako Zungu!
Usisahau imehamishiwa kwenye cement na mafuta
 
Back
Top Bottom