Wajinga zaidi ni wale walio lipokea hilo wazo na kulifanyia kazi...Mzee mjinga sana yule
akileta feedback... NitagMkuu....
Ebu achana na Zungu kwanza, leta hiyo habari kamili kuhusu kodi iliyofutwa na serikali rasmi kuanzia leo
wote wle ni waarabuNakumbuka wewe ndiye ulishikia bango la tozo za miamala ya simu. Ukashawishi serikali na bunge kuanzisha tozo hizo bila kujali maisha duni ya Watanzania wengi huku ukiweka mbele maslahi yako binafsi! Hivi ulidhani wote wanauza madawa ya kulevya na kupata vipato haramu kama wewe.
Sasa serikali imegundua unafiki wako na kuamua kuifuta kuanzia leo. Maana serikali imegundua kuwa tozo hizo hazijaleta manufaa yo yote zaidi ya kuwaumiza walala hoi!
Aibu yako Zungu!
Huyu hatakiwi kurudi BungeniNakumbuka wewe ndiye ulishikia bango la tozo za miamala ya simu. Ukashawishi serikali na bunge kuanzisha tozo hizo bila kujali maisha duni ya Watanzania wengi huku ukiweka mbele maslahi yako binafsi! Hivi ulidhani wote wanauza madawa ya kulevya na kupata vipato haramu kama wewe.
Sasa serikali imegundua unafiki wako na kuamua kuifuta kuanzia leo. Maana serikali imegundua kuwa tozo hizo hazijaleta manufaa yo yote zaidi ya kuwaumiza walala hoi!
Aibu yako Zungu!
CCM ni wahuni wanajadili jambo kwaumoja wao kwasiri halafu wanamteua mmoja kulianzisha, then wanalipitisha kana kwamba walikuwa hawalifahamu.Wajinga zaidi ni wale walio lipokea hilo wazo na kulifanyia kazi...
πππwote wle ni waarabu
Ni nan aliekwambia CCM hua wana aibu?Nakumbuka wewe ndiye ulishikia bango la tozo za miamala ya simu. Ukashawishi serikali na bunge kuanzisha tozo hizo bila kujali maisha duni ya Watanzania wengi huku ukiweka mbele maslahi yako binafsi! Hivi ulidhani wote wanauza madawa ya kulevya na kupata vipato haramu kama wewe.
Sasa serikali imegundua unafiki wako na kuamua kuifuta kuanzia leo. Maana serikali imegundua kuwa tozo hizo hazijaleta manufaa yo yote zaidi ya kuwaumiza walala hoi!
Aibu yako Zungu!
Yeye ndio Raisi wa nchi? Acheni ujinga mface Raisi hii inamuhusu yeye na sio ZunguNakumbuka wewe ndiye ulishikia bango la tozo za miamala ya simu. Ukashawishi serikali na bunge kuanzisha tozo hizo bila kujali maisha duni ya Watanzania wengi huku ukiweka mbele maslahi yako binafsi! Hivi ulidhani wote wanauza madawa ya kulevya na kupata vipato haramu kama wewe.
Sasa serikali imegundua unafiki wako na kuamua kuifuta kuanzia leo. Maana serikali imegundua kuwa tozo hizo hazijaleta manufaa yo yote zaidi ya kuwaumiza walala hoi!
Aibu yako Zungu!
Yeye ndio mkuu wa nchi?Mzee mjinga sana yule