Nakumbuka wewe ndiye ulishikia bango la tozo za miamala ya simu. Ukashawishi serikali na bunge kuanzisha tozo hizo bila kujali maisha duni ya Watanzania wengi huku ukiweka mbele maslahi yako binafsi! Hivi ulidhani wote wanauza madawa ya kulevya na kupata vipato haramu kama wewe.
Sasa serikali imegundua unafiki wako na kuamua kuifuta kuanzia leo. Maana serikali imegundua kuwa tozo hizo hazijaleta manufaa yo yote zaidi ya kuwaumiza walala hoi!
Aibu yako Zungu!
Usisahau imehamishiwa kwenye cement na mafutaNakumbuka wewe ndiye ulishikia bango la tozo za miamala ya simu. Ukashawishi serikali na bunge kuanzisha tozo hizo bila kujali maisha duni ya Watanzania wengi huku ukiweka mbele maslahi yako binafsi! Hivi ulidhani wote wanauza madawa ya kulevya na kupata vipato haramu kama wewe.
Sasa serikali imegundua unafiki wako na kuamua kuifuta kuanzia leo. Maana serikali imegundua kuwa tozo hizo hazijaleta manufaa yo yote zaidi ya kuwaumiza walala hoi!
Aibu yako Zungu!
Sheria haijasainiwaMbona nimefanya muamala naona makato ni Yale Yale
warudi kwao Asiaπππ
Zungu ni baniani siyo Mwarabu π!
Ujinga unao wewe! Kwani Rais hashawishiki na hasa unapokuwa na Rais mbumbumbu wa uchumi!Yeye ndio Raisi wa nchi? Acheni ujinga mface Raisi hii inamuhusu yeye na sio Zungu
CCM ni janga la Taifa!Usisahau imehamishiwa kwenye cement na mafuta
Kwa mujibu wa Nape Nauye ni kuwa tozo zote za serikali zimefutwa katika miamala ya simu.Tozo imeondolewa kwenye kutuma na kutoa au kwenye kutuma tu?
Kwa mujibu wa Nape Nauye ni kuwa tozo zote za serikali zimefutwa katika miamala ya simu.
Tunaomba hii taarifa tuioneKwa mujibu wa Nape Nauye ni kuwa tozo zote za serikali zimefutwa katika miamala ya simu.