Musa Zungu aibu yako kuhusu tozo za miamala


Nakuja, kujibu hoja napitia vifungu kadha wa kadha hapa!
 
Tozo imeondolewa kwenye kutuma na kutoa au kwenye kutuma tu?
 
Usisahau imehamishiwa kwenye cement na mafuta
 
Tunatengeneza tatizo kisha tinalitatua wenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…