Museven : Makosa ya Rushwa yasiwe na dhamana.

Museven : Makosa ya Rushwa yasiwe na dhamana.

mhondo

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2011
Posts
968
Reaction score
354
Rais Yoweri Museven wa Uganda anapendekeza watu wanaofikishwa Mahakamani kwa makosa ya rushwa wasipewe dhamana ili kukabiliana na vitendo vya rushwa. Je na sisi tunaweza kuiga hilo?.
 
Back
Top Bottom