Museveni agomea ushauri wa Magufuli wa kukubali aliwe kwenye kodi na wadau wa mafuta

Museveni agomea ushauri wa Magufuli wa kukubali aliwe kwenye kodi na wadau wa mafuta

Kama Waafrika lazima tusimame kidete kulinda maslahi yetu.. Hii mijitu meupe umetuona sisi mdebwedo sana wanajipigia tu ***** zao
Museveni amefanya jambo la busara, hizo 'tax concessions' na 'exemptions' huwa wanazipata tu huku Afrika na Asia. Hii ndio mbinu ambayo hizi kampuni kupe huwa zinaitumia kufaidi kwa migongo yetu sisi waafrika. Alafu mjadala kwenye uzi huu nauona unaendelea kiustaarabu sana. Hamna cha matusi wala nini, offcourse the usual suspects bado hawajawasili.
 
Wewe ndiye umekosa umakini..Hakuna mradi ambao umepewa wakati mkubwa wa matayarisho kama huu..Kasi ya JPM haipo kama ya mzee Museveni, mradi wa $3bn miaka tatu bado mabishano? Mda huo huo JPM amesha anza miradi miwili ya jumla $7b (Stiglers + SGR)
Uzembe wa Uganda usifikirie ni umakini, wamezembea hadi wamepitwa na kenya kuuza Mafuta nje japo waliyagundua miaka 10 kabla ya kenya
Huyo jamaa mchukulie hivyo hivyo kama alivyo. Yeye anajifanya anajua kila kitu.
 
Back
Top Bottom