Kwetu sisi tunataka aondoke, kukaa meza moja nae ni kujinajisi
Waganda wana uwezo wakumondoa Museven mda wowote zaidi ya 70% hawamtaki, anatumia nguvu nyingi kuendelea kutawala hiyo nchi.....lakini siku zake zina hesabika, watamondoa tu.
Hiyo kotapini imeshapata kutu itatoka tu kwa kutikisa basikeli kwanguvu tu.Kotapini uondolewa kwa nyundo
Hanusuriki, waganda watamsulubu tu.....kafanya Mengi hasa kuchoma royal tombs za Clan ya waganda hawawezi kumsamahe labda afe tu.Na ndiyo maana kaamua kukubali yaishe ili hata akitoka wasimtie kitanzini
Ulimsikia aliyowaabia wapinzani wake?Kufuatia mbinyo mkali wa wapinzani mataifa makubwa nchini uganda kumemfanya rais Museni kukubali kukaa meza moja na wapinzani kuamua jinsi ya kuitawala Uganda.
Duuh...! Amsemaje mnyika mkuu? Au niifuate wapi hiyo?Kwa jinsi Magufuli alivyo panic leo kwa hoja ya dakika 2 tu ya Mnyika, nimeelewa kwa nini watawala wengi wanaogopa siasa za ushindani!
Maana imebidi wote waliosimama, Ndungayi, Makonda, Waitara na waziri wa ujenzi watetee kuokoa jahazi.
Nahisi Mheshimiwa hatapata usingizi vizuri leo!
Uzinduzi barabara Kimara-Kibaha: Rais Magufuli asema hakuna atakayelipwa fedha za fidia kwa kubomolewa nyumba - JamiiForumsDuuh...! Amsemaje mnyika mkuu? Au niifuate wapi hiyo?
Boss hawa wamejiandaa kuliko unavyofikiri mtoto wa museveni aliemzalia hapa dar anaitwa mohoozi Kainerugaba ni meja general trained in sandhurst uingereza na mwenzake Slim wakwake anaitwa Ivan ame train west point marekani hivyo ni vyuo bora vya kijeshi duniani.hao wanapooza mambo yakiwa joto ila kwa kugeuka hawakawiiMuseveni anazidi kuchoka physically, jua naona linamzamia. Sio muda mrefu ataiacha Uganda.
Walijiandalia watu wa kuwashika mkonoBoss hawa wamejiandaa kuliko unavyofikiri mtoto wa museveni aliemzalia hapa dar anaitwa mohoozi Kainerugaba ni meja general trained in sandhurst uingereza na mwenzake Slim wakwake anaitwa Ivan ame train west point marekani hivyo ni vyuo bora vya kijeshi duniani.hao wanapooza mambo yakiwa joto ila kwa kugeuka hawakawii
Tena wanajeshi boss!!!Walijiandalia watu wa kuwashika mkono
Kusoma Sandhurst sijui West point sio hoja, hata watoto wa Saddam, Gaddafi na Mubarak nao waliandaliwa vile vile lkn yaliyotokea tunafahamu. History favours nobody forever.Boss hawa wamejiandaa kuliko unavyofikiri mtoto wa museveni aliemzalia hapa dar anaitwa mohoozi Kainerugaba ni meja general trained in sandhurst uingereza na mwenzake Slim wakwake anaitwa Ivan ame train west point marekani hivyo ni vyuo bora vya kijeshi duniani.hao wanapooza mambo yakiwa joto ila kwa kugeuka hawakawii