Museveni akubali kukaa meza moja na wapinzani

Museveni akubali kukaa meza moja na wapinzani

Na ndiyo maana kaamua kukubali yaishe ili hata akitoka wasimtie kitanzini
Waganda wana uwezo wakumondoa Museven mda wowote zaidi ya 70% hawamtaki, anatumia nguvu nyingi kuendelea kutawala hiyo nchi.....lakini siku zake zina hesabika, watamondoa tu.
 
Na ndiyo maana kaamua kukubali yaishe ili hata akitoka wasimtie kitanzini
Hanusuriki, waganda watamsulubu tu.....kafanya Mengi hasa kuchoma royal tombs za Clan ya waganda hawawezi kumsamahe labda afe tu.
 
Kufuatia mbinyo mkali wa wapinzani mataifa makubwa nchini uganda kumemfanya rais Museni kukubali kukaa meza moja na wapinzani kuamua jinsi ya kuitawala Uganda.
Ulimsikia aliyowaabia wapinzani wake?
 
Wacha alipe kwa aliyo yafanya kwa jeuri ya kulindwa na mizinga na vifaru
Hanusuriki, waganda watamsulubu tu.....kafanya Mengi hasa kuchoma royal tombs za Clan ya waganda hawawezi kumsamahe labda afe tu.
 
Kwa jinsi Magufuli alivyo panic leo kwa hoja ya dakika 2 tu ya Mnyika, nimeelewa kwa nini watawala wengi wanaogopa siasa za ushindani!

Maana imebidi wote waliosimama, Ndungayi, Makonda, Waitara na waziri wa ujenzi watetee kuokoa jahazi.

Nahisi Mheshimiwa hatapata usingizi vizuri leo!
Duuh...! Amsemaje mnyika mkuu? Au niifuate wapi hiyo?
 
Museveni anazidi kuchoka physically, jua naona linamzamia. Sio muda mrefu ataiacha Uganda.
Boss hawa wamejiandaa kuliko unavyofikiri mtoto wa museveni aliemzalia hapa dar anaitwa mohoozi Kainerugaba ni meja general trained in sandhurst uingereza na mwenzake Slim wakwake anaitwa Ivan ame train west point marekani hivyo ni vyuo bora vya kijeshi duniani.hao wanapooza mambo yakiwa joto ila kwa kugeuka hawakawii
 
Boss hawa wamejiandaa kuliko unavyofikiri mtoto wa museveni aliemzalia hapa dar anaitwa mohoozi Kainerugaba ni meja general trained in sandhurst uingereza na mwenzake Slim wakwake anaitwa Ivan ame train west point marekani hivyo ni vyuo bora vya kijeshi duniani.hao wanapooza mambo yakiwa joto ila kwa kugeuka hawakawii
Walijiandalia watu wa kuwashika mkono
 
Boss hawa wamejiandaa kuliko unavyofikiri mtoto wa museveni aliemzalia hapa dar anaitwa mohoozi Kainerugaba ni meja general trained in sandhurst uingereza na mwenzake Slim wakwake anaitwa Ivan ame train west point marekani hivyo ni vyuo bora vya kijeshi duniani.hao wanapooza mambo yakiwa joto ila kwa kugeuka hawakawii
Kusoma Sandhurst sijui West point sio hoja, hata watoto wa Saddam, Gaddafi na Mubarak nao waliandaliwa vile vile lkn yaliyotokea tunafahamu. History favours nobody forever.
 
Back
Top Bottom