Sera zetu sio nzuri kwani tuna mipango isiyotekelezeka kama wanakaa bungeni kujadili pesa ya bajet ambayo hawana unategemea nini zaid ya blah blah na ahadi kibao, Uhuru hii reli kaiplan mwaka jana tu na leo mambo yameiva huku anajaribu kuneutralize Sudan kusin ili kutulie kwani anajua tafanya nao biashara sana