Umeanza vizuri ukamaliza vibaya sana aisee akiri za nyumbu hizi.Mods mnamwacha huyu mpumbavu analeta Uzi wa kijinga hapa?kwa hiyo unataka Tanzania ipeleke jeshi kuua raia wanaodai haki zao? jinga kweli wewe boya,nguvu ya umma inazidi jeshi la nyuklia,museveni ataondoka kisha atafuatia Dikteta Magufuli.
Huna akili wewe walahi!Hayatuhusu hata wakiling'oa Leo.
wewe ndiyo unaweza ukawa mpuuzi nafanya biashara kati ya south africa na uganda nipo uganda mwaka wa kumi sasa amin nikuambiacho, uganda yatawakuta yaliyo wakuta walibya itakuwa ni tela tu, vita ya ukabila itapigwa sana hapa wanyankole wote watapata tabu sana acha wasamia walulu na wadamaHebu ficha upuuz wako basi....
ok mimi nipo hapa chuoni mutesa royal collegNiko Masaka pia!
lipi hilo la amani mkuuHuoni kama mamilioni ya wakimbizi wataingina kwenye taifa letu la amani.
hahahaah aisee...Tatizo la nyinyi wanachuo huwa hamtofautishi kati kati ya shida zenu binafsi na amani kwa mfano pedi zimeisha hapo dukani unaanza kusema nchii hii bhana haina amani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo la nyinyi wanachuo huwa hamtofautishi kati kati ya shida zenu binafsi na amani kwa mfano pedi zimeisha hapo dukani unaanza kusema nchii hii bhana haina amani.
IDD AMIN huyu huyuYAANI BORA YA IDD AMIN, MUSEVEN NI HATARI SANA!!!!