Ukiwa kwenye vijiwe vya Bangi usiwe unachangia katika Jamii Forum. Maana unamwaga pumba umu. Unga wa Ugali umewashinda kulima, mnang'ang'ania Standard gauge wapuuzi wakubwa nyinyi Kenya.Tullow hana ubavu huo kwetu maana sisi hela tunazo, kumbuka bomba tunalijenga wenyewe. Lakini Uganda hela hawana, hivyo Total anachimba na kugharamia usafirishaji wake na ndio mojawapo wa sababu za wao kuchagua Tanzania maana kwenu ardhi ni bure.
Haha wakenya kwa vihoja, siwawezi. Maji ya Turkana yanawashinda kuchimba mpaka mnaita wawekezaji, itakuwa mafuta. Kama mna hela si mgechimba tokea mlipopata Uhuru. Nimekuambia, Total atarudisha gharama yake kutokana na mauzo ya mwanzo ya mafuta baada ya hapo Waganda ndio wakubwa wenyewe.Tullow hana ubavu huo kwetu maana sisi hela tunazo, kumbuka bomba tunalijenga wenyewe. Lakini Uganda hela hawana, hivyo Total anachimba na kugharamia usafirishaji wake na ndio mojawapo wa sababu za wao kuchagua Tanzania maana kwenu ardhi ni bure.
Haya ya stima yasikupe homa, SGR ya Tanzania itakuwa na chanzo chake cha stima ....enough said, i zip my mouth.nchi yenye stima hafifu..1600 MW itaendesha treni zipi? .lol!..dont be surprised if it takes 20 years before the first trains start traveling...unless you want to buy electricity from ethiopia...
Uyo Jay hua anawasiwas sana sijui kwann hajiaminHaya ya stima yasikupe homa, SGR ya Tanzania itakuwa na chanzo chake cha stima ....enough said, i zip my mouth.
Kwa mwendo huu Kenya,Uganda,Rwanda watakamilisha ujenzi wa SGR huku sisi busy kupimana mikojo.
Wamo humu wanafanya udakuzi, hawataki kusubiri mchuzi uive.
Haha wakenya kwa vihoja, siwawezi. Maji ya Turkana yanawashinda kuchimba mpaka mnaita wawekezaji, itakuwa mafuta. Kama mna hela si mgechimba tokea mlipopata Uhuru. Nimekuambia, Total atarudisha gharama yake kutokana na mauzo ya mwanzo ya mafuta baada ya hapo Waganda ndio wakubwa wenyewe.
etiππ±Kwa mwendo huu Kenya,Uganda,Rwanda watakamilisha ujenzi wa SGR huku sisi busy kupimana mikojo.
mkuu hili bomba linapita juu kwa juu maana sijaona dalili yeyoteπMganda hana hela hivyo hana sauti ya wapi bomba lipitie.
Hao walikua ni watanzania wasio na akili siasa ruined their minds opposing even themselves.We welcome these development with open arms.M7 anatambua kuwa ako na majirani wawili wenye tabia tofauti sana,mmoja ni mchapa kazi mwengine ni mwanahadithi.I have read comments on kawe city project and am surprised,surely WaTz how do you develop by opposing such a project claiming that your earning power is low.Enemies of development.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitendo cha Tanzania kujenga electric trains kimekuuma mpaka unatia huruma sababu ni jambo ambalo hukulitegemea.nchi yenye stima hafifu..1600 MW itaendesha treni zipi? .lol!..dont be surprised if it takes 20 years before the first trains start traveling...unless you want to buy electricity from ethiopia...
nchi yenye stima hafifu..1600 MW itaendesha treni zipi? .lol!..dont be surprised if it takes 20 years before the first trains start traveling...unless you want to buy electricity from ethiopia...