Museveni atimka mbio ghafla na kuwaacha walinzi wake

Hivi ni aide gani angeweza kujitia umbeya wa 'kumpita' MKUU? It's all animation!

Hehehe!! umenikumbusha documentary fulani ya Idd Amin, jamaa alipenda sana kushindana na watu wake lakini kila mtu alikua na uwoga wa kumshinda, hadi hata kuogelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…