Museveni: I am ready to shoot Kiiza Besigye if he impede my 5th term

Museveni: I am ready to shoot Kiiza Besigye if he impede my 5th term

poly.jpg
 
Kagame stated it very well: Preaching democracy is one thing, practising democracy is another thing...!! Africa is still the DARK CONTINENT... but am not...!!
 
Kwa viongozi wa Afrika yupo sahihi kabisa aliposema only God will come btn him and his dream for a fifth term...waombaji pigeni maombi japo apewe ka zawadi ka stroke tu
 
Kama hii habari ni kweli na haya maneno aliyasema M7 haina budi Dr.Besigye ajipe 'exile',yaani aihame Uganda,miaka hii mitano inayokuja itakuwa ya hatari kwake.Ila asidhubutu kuja Kenya.Wakenya wanampenda M7 si siri,pia inajulikana wazi kuwa serikali ya UKenyatta ina muunga mkono M7.
 
Kama hii habari ni kweli na haya maneno aliyasema M7 haina budi Dr.Besigye ajipe 'exile',yaani aihame Uganda,miaka hii mitano inayokuja itakuwa ya hatari kwake.Ila asidhubutu kuja Kenya.Wakenya wanampenda M7 si siri,pia inajulikana wazi kuwa serikali ya UKenyatta ina muunga mkono M7.
wakenya wanampenda museveni kwa lipi??
 
Back
Top Bottom