Museveni na Kagame, heko!

Museveni na Kagame, heko!

Hivi wamekuwa hodari kuliko Italy, Spain hata Us?

Sent using Jamii Forums mobile app
Muungwana, uanzia nyumbani kwake kisha kwa jirani yake na mwisho, masikio yake utua ng'ambo. Itazame Afrika mashariki, ufanye uchanganuzi katika ubora na siyo katika wingi. Ng'ombe akivujika marishoni ujikongoja na kutibiwa zizini mwake.
 
Hivi wamekuwa hodari kuliko Italy, Spain hata Us?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa viongozi wametumia uzoefu wa China, makosa ya US na Italy, kuwalinda raia wao. Siku zote mtu mwerevu hutumia makosa ya watangulizi wake ili kuzuia makosa.

Trump amekiri kuwa Wamarekani wasingkufa kiaisi cha sasa kama wangekuwa wamejua mapema uzito wa tatizo. Hii ina maana anakiri kuna makosa wamefanya kutokana na kitokujua uziro wa Tatizo.

Mataifa ya Afrika hayana cha kusingizia. Wamejua kilichotokea China. Wanaona kinachoendelea Ulaya na America. Wanajua makosa yaliyofanywa na mataifa haya. Wao nao kupita kwenye njia ile ile, au ni kukosa akili au kiburi cha ujinga.
 
Kusali tunasali kila siku bila kupangiana simu ngapi? Ukiwa kiongozi unapaswa kuzama kisayansi zaidi unaweka mbele utaalamu sia sala! Kama nihivyo tungesali basis ukimwi uishe,ama tusali uchumi ukuwe!! Hii vita ya korona tuipambanie kitaalamu tuchukuwe hatua kubwa lakini bila kupaniki lasivyo tutaja juta.
- ibada zisimame tusalie nyumbani
- mabaa gauze tunywee nyumbani
- vyakula isisitizwe take away tusikaekae hotelini
- vifaa tiba viongezwe elimu pia
- misibani waende wachache sherehe ziahirishwe
- tupime watu wengi iwezekanavyo na idadi itajwe
- solo la kariakoo na mengine yenye msongamano yadhibitiwe biashara ifanyike kwa deliveries zaidi.
Tujipange maisha ya kila RAIA ni muhimu kwake na kwa taifa kiujumla! Let's get serious sio mpaka wafe wengi ndipo tushtuke... Ile kinga nibora kuliko tiba ni hakika sio kajimsemo!!!
 
Msichokijua mliowataja Wana uzoefu katika nafasi zao, mwingine ndo kwanza yuko darasani. Na alishawahi kusema kuwa alishitukizwa hakuwa amejiandaa kuwa Kiongozi katika nafasi hiyo.


Huu ndo ubaya wa kufanya majaribio katika nafasi nyeti. Huu ndo ubaya wa kushitukiza watu katika nafasi nyeti Kama hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusali tunasali kila siku bila kupangiana simu ngapi? Ukiwa kiongozi unapaswa kuzama kisayansi zaidi unaweka mbele utaalamu sia sala! Kama nihivyo tungesali basis ukimwi uishe,ama tusali uchumi ukuwe!! Hii vita ya korona tuipambanie kitaalamu tuchukuwe hatua kubwa lakini bila kupaniki lasivyo tutaja juta.
- ibada zisimame tusalie nyumbani
- mabaa gauze tunywee nyumbani
- vyakula isisitizwe take away tusikaekae hotelini
- vifaa tiba viongezwe elimu pia
- misibani waende wachache sherehe ziahirishwe
- tupime watu wengi iwezekanavyo na idadi itajwe
- solo la kariakoo na mengine yenye msongamano yadhibitiwe biashara ifanyike kwa deliveries zaidi.
Tujipange maisha ya kila RAIA ni muhimu kwake na kwa taifa kiujumla! Let's get serious sio mpaka wafe wengi ndipo tushtuke... Ile kinga nibora kuliko tiba ni hakika sio kajimsemo!!!
Hii ndiyo siri kuu ya ushindi katika mapambano makali vitani, na wala siyo sauti za maombolezo.
 
Ungeleta faida za mpango wao,kifo hamna mtu anaweza zuia,kama wagonjwa wapo basi hamna walichokifanya cha maana ila ni bahati

Sent using Jamii Forums mobile app
Wahenga walisema kinga ni bora kuliko tiba, hata sisi tulikuwa na nafasi ya kuzuia vifo vya kizembe kama wao ila tulijifanya tunajua sana wacha tupambane na hali yetu, rate ya maambukizi inapanda kwa speed ya treni ya umeme, kweli hapa kazi tuu..
 
Kuna tofauti kati ya Wao Kukataa kutoka Madarakani na Wananchi wao wa Uganda na Rwanda Kuwakubali na kuwa na Imani nao Kiuongozi. Je, Wewe unasimamia wapi hapa? Na je, hizo nchi zingine ambazo Marais wao ( wake ) hawang'ang'anii Madarakani na wanatoka Kikatiba katika Nyadhifa zao wao wana Maendeleo kivile na kuna Siasa zenye Tija na Demokrasia?
Kwenye hii comment umejaza points nyingi ambazo unazidi kuwapaka matope hawa marais wako bora.
Maendeleo yao,,yapo kawaida sana.
Demokrasia rwanda na uganda zina demokrasia ?
Hivi unaweza kaa mbele ya hadhara na kusema hawa marais,watu wao wanawakubali ?
Mbona sasa wakikosolewa na watu wao hao wanaowakubali wanawauwa ?
Ukosowaji wa wazi unaofanywa kwa serikali hapa tanzania ukifanya rwanda kwa mr butcher paul kagame anakula kichwa fasta,hatakagi jamu na makelele ya wakosoaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao marais walifanya lockdown mapema hata kabla walioambukizwa kupatikana,wamejitahidi sana heko kwao

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Kwenye hii comment umejaza points nyingi ambazo unazidi kuwapaka matope hawa marais wako bora.
Maendeleo yao,,yapo kawaida sana.
Demokrasia rwanda na uganda zina demokrasia ?
Hivi unaweza kaa mbele ya hadhara na kusema hawa marais,watu wao wanawakubali ?
Mbona sasa wakikosolewa na watu wao hao wanaowakubali wanawauwa ?
Ukosowaji wa wazi unaofanywa kwa serikali hapa tanzania ukifanya rwanda kwa mr butcher paul kagame anakula kichwa fasta,hatakagi jamu na makelele ya wakosoaji.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jitahidi Uimarishe Kwanza uwezo wako wa Kufikiri kwani huenda ndiyo maana umepata taabu Kuelewa nilichokuandikia hapa.
 
Hawa viongozi wametumia uzoefu wa China, makosa ya US na Italy, kuwalinda raia wao. Siku zote mtu mwerevu hutumia makosa ya watangulizi wake ili kuzuia makosa.

Trump amekiri kuwa Wamarekani wasingkufa kiaisi cha sasa kama wangekuwa wamejua mapema uzito wa tatizo. Hii ina maana anakiri kuna makosa wamefanya kutokana na kitokujua uziro wa Tatizo.

Mataifa ya Afrika hayana cha kusingizia. Wamejua kilichotokea China. Wanaona kinachoendelea Ulaya na America. Wanajua makosa yaliyofanywa na mataifa haya. Wao nao kupita kwenye njia ile ile, au ni kukosa akili au kiburi cha ujinga.
Mbona mnanung'unika na kulalamika sana kwani tatizo ni Nini?! Kila kukicha ni kulalamika to what is the problem?!
 
mahaba yamekuzidi mkuu, china, america, italia, spain kuna marais wabovu ndo maana kumekua na vifo vingi? au unawaza kwa kutumia makalio??

unapojenga hoja jitaidi kupunguza mahaba, hapo ndo akili itajenga hoja makini
Rwanda na Uganda ni nchi za kibabe kule watu wanakufa kwa corona na hata njaa kagame anaficha ili kuji overrate. Nonsense!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ni majemedari ambao wamehakikisha katika uwanja wa vita mpaka sasa hakuna kifo kwa mateka wao yoyote. Hakika kuishi kwingi kuona mengi. Acha watawale wanajua thamani ya roho za watu wao. Kagame amekomboa mateka 65 kati ya 143 bila matokeo ya kifo. Naye Museveni amekomboa mateka 20 kati ya mateka 55 bila matokeo ya vifo. Hakika kazi wanaiweza vizuri sana.

Wamekombolewa kivipi? Hakuna dawa ya Covid-19 hebu tupe somo kidogo.
 
Siku zote Marais waliopikwa vyema Kisiasa kisha wakapatiwa na Mafunzo mazuri ya Kijeshi na wakaja kuwa Wanajeshi ikitokea wakatawala nchi basi hiyo nchi itapiga mno hatua za Kimaendeleo kuliko wale Marais wanaotokea katika Maabara za Kikemia pekee huku wakiwa wamepita Jeshini kwa Miezi Mitatu tu. Hayati Baba wa Taifa Nyerere hakuwa Mjinga au Mpumbavu kuwapenda akina Museveni na Kagame kwani nje ya wao kuwa Wapambanaji wa Msituni lakini pia alishawaona kuwa wana Akili sana Vichwani mwao na wana Mapenzi ya Kweli na Wananchi wao.

Waganda wakiona hii comment yako wakushambulia hatari. Fika Kampala ndio ujione yaliyomo. Visa vya askari kuua watu hovyo ni zaidi kuliko inavyo dhaniwa na Coronavirus.
 
Wamekombolewa kivipi? Hakuna dawa ya Covid-19 hebu tupe somo kidogo.
Kwa mantiki hiyo hata wale 11 kati ya 147 na vifo 5 vya nchi ile ya muungano Afrika, takwimu zake hauzisadiki?
 
Back
Top Bottom