Museveni promotes his son Muhoozi to rank of Major General

Museveni promotes his son Muhoozi to rank of Major General

Ingekuwa Rais wa Tanzania ndo kam-promote his son kuwa Major General kungepigwa kelele humu mpaka basi.

Tujifunze kitu hapa,
Yes the guy is Musevens kid,je anastahili au la? Ili ndo swali la kujiuliza.

Tatizo ni ukingship watoto wa kimaskini watasubiri saana
 
Hakuna demokrasia Afrika,hasa hii yetu ya Mashariki.
Hapo baba akistaafu mtoto ataingia madarakani kinguvu.
Kwa utawala huu itabidi damu imwagike kupata uhuru kwa mara nyingine.
Na mtoto akistaafu mtoto wake ataingia madarakani
 
Mbona anatumia jina tofauti?
Ila jamaa kasoma mavyuo kibao

Mh. Rais Yoweri Museveni ana mdogo wake ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Nchi Microfinance ktk serikali ya Uganda na ambaye ana cheo cha juu jeshini anaitwa Jenerali Salim Saleh (Jina halisi ni Caleb Akandwanaho) .

Kuna mila na tamaduni za ki-Afrika ambapo pia utaona ndugu waliozaliwa na baba mmoja wanatumia jila la ukoo (second name) tofauti. Utamaduni huu haupo Afrika tu hata nchi za bara la Asia au Mashariki ya Kati utakuka mtu na kaka yake wanatumia ubini tofauti ni kawaia kabisa.

Mfano pia huko Bangladesh Mtoto wa kwanza anatakuwa na jila lenye ubini wa ukoo wa baba na mtoto wa pili ana jina la ukoo wa mama ingawa wote wamezaliwa kutoka kwa baba na mama mmoja lakini majina rasmi ktk vyeti vya kuzaliwa ya ubini yatafuata mkondo huo yaani kuwa tofauti.

Who is Gen. Salim Saleh:


Photo: Gen. Salim Saleh (right) of the UPDF

Gen. Salim Saleh whose real names Caleb Akandwanaho was born on January 14, 1960 is an adviser to President Yoweri Museveni on military matters. Most recently, minister of state for Microfinance and now holds the post of Operation Wealth Creation Commander.

Military Career
In 1976, aged 16, he left Kako Secondary School in Masaka to join the Front for National Salvation (Fronasa) based in Tanzania, a rebel group formed and led by his brother to fight against the regime of Idi Amin.

He trained together with his friend Fred Rwigyema and his brother Museveni in Mozambique with Samora Machel’s Frelimo rebels. It was there that he adopted Salim Saleh as his nom de guerre . In 1978, Fronasa merged with other anti-Amin groups in Tanzania and formed the Uganda National Liberation Army (UNLA), who together with Tanzanian forces captured Kampala on April 11, 1979, sending Idi Amin to exile.

Latest developments
In 2005, Saleh, then a Lt. Gen., was one of the pioneer classes to graduate from the new Uganda Senior Command and Staff College at Kimaka in Jinja. Following that course, he was promoted to the rank of General in the UPDF. Prior to the 2006 general elections , Saleh went back to school and obtained an A –level certificate , the minimum requirement to become a member of parliament in Uganda or President of Uganda Following the elections, he was appointed Minister of State for Microfinance and then subsequently Senior President5ial Adviser on Defence a post he holds today.

Saleh, a generally like-able person known to be popular with the common man and the rank and file in the army, left Cabinet in a huff protesting that he was being frustrated by the bureaucracy.

Saleh has also been pivotal in ongoing discussions behind-the-scenes negotiations between the government and Buganda Kingdom in the hope of reaching an understanding over the closed Central Broadcasting Service radio owned by the kingdom.

Source: Who is Gen. Salim Saleh? - Home
 
Na ampandishe tu,wanaotaka hako kwa mungi tu,wanaolalamika afrika hamna demokrasi kwani kwingine ipo?
Malkia elizabeth anatawala sehemu ngapi,australia,uingereza,ireland,scotland,kote huko watu hawaoni.
Dah we jamaa kiazi aisee. Malkia!!
 
TAtizo hapo sio RAIS dada yangu as you can see yeye anazungukwa na washauri na wapambe. Kuna watu wanapenda tu Rais awe madarakani ili waweze kufaidi maisha yaani wawepo pale kunyenyekea na kujipendekeza baasii wanakuwa matajiri familia zao zinafaidi. Hawa watapenda Rais aishi milele Ikulu. Hilo ndilo linalofanyika Uganda. Mwanaye atakuwa Rais siku moja na atabaki na familia zile zile zilizopo sasa na Rais wakiimba aishi milele mfalme aishi milele mfalme..Bila mapinduz Uganda hakutakuwa na utawala nje ya familia ya Museveni kama ilivyo Korea.

Nawasilisha


Mapinduzi???????!!!!!!!!Libya nao walikuwa na mawazo hayo, walimwona Ghadafi ni dikteta, wakaimbishwa nyimbo na USA, Uingereza na nchi nyingine za magharibi kuwa Ghadafi ni mbaya na dikteta, mpindueni huyo...na kweli wakafanya hivyo wakasaidiwa kumpindua Ghadafi na wakamuua...sasa wanajuta, wakati wa Ghadafi walikuwa wanapata nyumba bure, wanalipiwa maji na umeme, maduka yote yalikuwa yamejaa bidhaa, walikuwa pia wanalipiwa mahari wakati wa kuoa...sasa Ghadafi hayupo, na wanajuta, wanakumbuka Enzi za asali na maziwa, hakuna serikali moja kule Libya, wababe ndio watawala kila mmoja na jeshi lake, Marekani naye anajuta kwa kumuondoa Ghadafi, Islamic State wanatamba... iona ,,
 
Habari za jioni wana jamvi,

Rais Museveni baada ya kuapishwa kushika madaraka ya uRais wa Uganda tayari ameanza maandalizi ya kumwachia mwanae wa Kwanza Major General Muhoozi Kainerugaba kiti cha uRais mara baada ya muda wake kumalizika kwakuwa katba ya Uganda haitaruhusu M7 kugombea tena muhula mwingine.

Maj Gen Muhoozi amekuwa akipandishwa vyeo kwa kasi ya ajabu kiasi cha kuwashinda maveterani waliosaidia kumwingiza Baba yake madarakani mwaka 1986.Hii ni ishara Mheshimiwa M7 anaandaa mazingira ya mtoto wake kuongoza taifa la Uganda mara baada ya kipindi chake kumalizika mwaka 2021.Inatarajiwa Maj General Muhoozi atakuwa 4 star General ifikapo mwaka 2020 cheo kikubwa katika jeshi la Uganda na hivyo kutoa nafasi nzuri ya kushika hatamu za uongoz wa taifa hilo linalotarajiwa kuanza kuuza mafuta katika soko la dunia 2018 - 2019.

Reason for Muhoozi promotion leaks
 
Bado mke wake alikuwa waziri,shemeji yake waziri mtoto Major General.
 
Laana ya Maraisi wa Afrika ni kugoma kutoka madarakani...na sijui ni nani aliwaachia hii laana.
 
Poa tu wacha apande cheo. Kama ana sifa kwa nini asipande? Na kwa nini raisi aogope kumpandisha chao mwanae kwa sababu ya macho ya watu wakati mamlaka anayo? Hata mimi ningekuwa M7 ningempandisha dogo
 
Sio mbaya kama mtoto atafuata nyayo za baba yake na isitoshe akafanya vizuri na kufaulu vizuri.
Kama mwanae asingeipenda jeshi angejishughulisha na kazi tofauti.

Wazazi wengi wanapenda watoto wao wafuate footstep, nakumbuka aliekuwa Chief of staff USA Gen Creighton Abrams mwanae pia akaja kuwa General

Kuhusu kumweka mwanae elite ni sawa kabisa ana uwezo na amesoma sana mambo ya jeshi sio lazima awe Rais baadae lakini anamlinda na kusimamia mambo ya usalama hata kale kajamaa ka North Korea ni wadogo zake wa kike ndio wanamfanyia shughuli zake nyingi ofisini
 
Back
Top Bottom