Mbona anatumia jina tofauti?
Ila jamaa kasoma mavyuo kibao
Mh. Rais Yoweri Museveni ana mdogo wake ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Nchi Microfinance ktk serikali ya Uganda na ambaye ana cheo cha juu jeshini anaitwa Jenerali Salim Saleh (Jina halisi ni Caleb Akandwanaho) .
Kuna mila na tamaduni za ki-Afrika ambapo pia utaona ndugu waliozaliwa na baba mmoja wanatumia jila la ukoo (second name) tofauti. Utamaduni huu haupo Afrika tu hata nchi za bara la Asia au Mashariki ya Kati utakuka mtu na kaka yake wanatumia ubini tofauti ni kawaia kabisa.
Mfano pia huko Bangladesh Mtoto wa kwanza anatakuwa na jila lenye ubini wa ukoo wa baba na mtoto wa pili ana jina la ukoo wa mama ingawa wote wamezaliwa kutoka kwa baba na mama mmoja lakini majina rasmi ktk vyeti vya kuzaliwa ya ubini yatafuata mkondo huo yaani kuwa tofauti.
Who is Gen. Salim Saleh:
Photo: Gen. Salim Saleh (right) of the UPDF
Gen. Salim Saleh whose real names Caleb Akandwanaho was born on January 14, 1960 is an adviser to President Yoweri Museveni on military matters. Most recently, minister of state for Microfinance and now holds the post of Operation Wealth Creation Commander.
Military Career
In 1976, aged 16, he left Kako Secondary School in Masaka to join the Front for National Salvation (Fronasa) based in Tanzania, a rebel group formed and led by his brother to fight against the regime of Idi Amin.
He trained together with his friend Fred Rwigyema and his brother Museveni in Mozambique with Samora Machel’s Frelimo rebels. It was there that he adopted Salim Saleh as his nom de guerre . In 1978, Fronasa merged with other anti-Amin groups in Tanzania and formed the Uganda National Liberation Army (UNLA), who together with Tanzanian forces captured Kampala on April 11, 1979, sending Idi Amin to exile.
Latest developments
In 2005, Saleh, then a Lt. Gen., was one of the pioneer classes to graduate from the new Uganda Senior Command and Staff College at Kimaka in Jinja. Following that course, he was promoted to the rank of General in the UPDF. Prior to the 2006 general elections , Saleh went back to school and obtained an A –level certificate , the minimum requirement to become a member of parliament in Uganda or President of Uganda Following the elections, he was appointed Minister of State for Microfinance and then subsequently Senior President5ial Adviser on Defence a post he holds today.
Saleh, a generally like-able person known to be popular with the common man and the rank and file in the army, left Cabinet in a huff protesting that he was being frustrated by the bureaucracy.
Saleh has also been pivotal in ongoing discussions behind-the-scenes negotiations between the government and Buganda Kingdom in the hope of reaching an understanding over the closed Central Broadcasting Service radio owned by the kingdom.
Source:
Who is Gen. Salim Saleh? - Home