Museveni: sijakanyaga jikoni kwa miaka 45 sasa, Winnie Byanyima amjia juu

Huyu mama jinga sana sasa Museveni kwani yeye paka hata akae jikoni. πŸ˜‰πŸ˜‚πŸ˜‚


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
100% he must be lying.
β€œSick politicians”
 
Ila wanaume wajanja jamani!!!!!. Mungu alipowaumba, akaona wapweke akaamuwa awaletee msaidizi. Sasa msaidizi anaambiwa shughuli ndo zimekuwa za kwake mazima. Wanaume............Mungu anawaona!! Dah!!!
 
Waafrika wanaonaga sifa kukacha tamaduni zao, wanaona za kishamba.

By the way siku hizi watu wanakasirishwa kwa vitu vidogo,

Sasa suala la hobby ya mtu ,kupenda kuingia jikoni au kutoingia, linamtoaje mkurugenzi wa Oxfam povu?

Ni utaratbu ambao yeye binafsi kajiwekea, na tusiforce tufanane.
 
Mke wa adui yako namba nae ni adui namba Moja.
 
Huyo mama anamjia juu rais hata kwa vitu vidogo kama hivo....!!!!??? Huku mtaani tu wanaume wengi hawaingii jikoni.....sasa ndo ikawe kwa mzee mwenye majukumu chungu nzima kama musevev?
 
Marais wa Afrika ni vituko, sasa hilo ndo la kujisifia?
 
Kwa hiyo mi nikiingia jikoni badala ya wife ndo tutaendelea? Mi sitaingia jikoni kamwe , maana kwa akili za huyu mwanamke itafikia kipindi atataka kunipangia zamu ya kupika, maana kama sa hv naenda kazini saa 12 asubuhi eti bado anataka nimsaidie kufanya usafi, nikirudi nimechoka nimekaa napumzika anataka nikamnunulie kitu dukani huwa namwangalia tu, simjibu kitu na wala sifanyi chochote anachotaka, inafikia kipindi ananiona mimi kama simjali

Hapa sa hivi anaongea peke yake kama chizi hivi natamani kumpiga makofi,

Wacha nijiandae niende kwenye mishe zangu
 
Mwanaume kupika sio kuendelea[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mwanaume kupika sio kuendelea[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hats uarabuni mwanamke kuendesha gari wameruhusu juzi ,wajukuu wako watakuja elewa we bado ni kawaida zamani mwanaume wa kikulya kupika ilikuwa mkosi Leo wanamigahawa tena wanapika biliani la ngamia usijali hata posta mpya waliwahi ishi nyani wakati ukifika nyani wataondoka kichwani utakuwa na maghorofa
 
Hata
Mkuu mseveni ni kioo cha jamii ungesem wewe funding viatu tungesema illiterate kaongea ,mkuu jamii zote duniani zilikuwa na tamaduni nzuri na mbaya ,kitu inaitwa sayansi na civilisation ilizibadili zote mfano wazungu walikunakula watu ,wanamtupa MTU mwenye ukoma etc walojicheck kisayansi waacha ,mila zetu ni kutailaili watoto wakike so tuendelee?
 
Sasa unaanzaje kukanyaga jikoni, mkiungua mtamlilia nani πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Naunga mkono msimamo wa Presidaa. Mwanaume hutakiwi kumbwelambwela jikoni bila sababu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…