The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Heri ya Christmas wadau.
Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amepiga marufuku Kuuza Madini ghafi yanayotoka Uganda akisema hataki kuwa sehemu ya Wasaliti wa Afrika..
Museveni amesema kuuza madini ghafi Ni kuwapelekea ajira watu wa Nje na hivyo Kutaka wanaotaka kuuza madini wahakikishe yameongezewa thamani..
My Take.
Tanzania hatujachelewa ,tuna la Kujifunza na ikibidi tuanze na Dhababu maana tayari tuna viwanda 3 vya kuchenjua dhahabu lakini Hakuna kinachofanyika..
Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amepiga marufuku Kuuza Madini ghafi yanayotoka Uganda akisema hataki kuwa sehemu ya Wasaliti wa Afrika..
Museveni amesema kuuza madini ghafi Ni kuwapelekea ajira watu wa Nje na hivyo Kutaka wanaotaka kuuza madini wahakikishe yameongezewa thamani..
My Take.
Tanzania hatujachelewa ,tuna la Kujifunza na ikibidi tuanze na Dhababu maana tayari tuna viwanda 3 vya kuchenjua dhahabu lakini Hakuna kinachofanyika..