Museveni the jig is up, anaenda sasa, Muzungu anamuacha aanguke!

Museveni the jig is up, anaenda sasa, Muzungu anamuacha aanguke!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Mwaka ujao 2021 Museveni anaenda, hatoboi Muzungu keshamchoka na sasa na hatomkingia kifua tena, color revolution imeingia Uganda, kutatokea maandamano makubwa nchini Uganda ambayo hayajawahi kuonekana na hakuna kitu Museveni atafanya, bye bye Mzee Kaguta.

Robert Kyagulanyi (38)

1609137786737.png
 
Wacha tuone.

Kwa jinsi navyomuona mzee Kaguta alivyo mbishi na mpenda madaraka sijui kama atatoka kirahisi rahisi
 
Mwaka ujao 2021 Museveni anaenda, hatoboi Muzungu ameshamchoka na sasa na hatomkingia kifua tena, color revolution imeingia Uganda, kutatokea maandamano makubwa nchini Uganda ambayo hayajawahi kuonekana na hakuna kitu Museveni atafanya, bye bye Mzee Kaguta , ...

Robert Kyagulanyi (38)View attachment 1661192
Nakubaliana na wewe kwa mwaka 2021 siasa za uganda zitabadilika sana...na kuna nafasi ndogo sana kwa museven kubakia madarakani natabili mtikisiko wa siasa uganda.
 
Wacha tuone.

Kwa jinsi navyomuona mzee Kaguta alivyo mbishi na mpenda madaraka sijui kama atatoka kirahisi rahisi

Anatoka siyo kwa kura bali kwa maandamano makubwa sana yatakayofanyika Kampala na sehemu nyinginezo, hakuna kitu atafanya, Muzungu ameshabadilisha upande isitoshe yeye na P.Kagame pia hazipandi tena hivyo ataenda 2021 color revolution imeingia Uganda, ...
 
Kuna muitikio wa maandamano ya wananchi kwa kiasi gani huko mkuu?? Maana bongoland huku huwa tunaandamania mtandaoni sio barabarani

Maandamano ya Uganda yanafadhiliwa na nje ya Uganda, ni wale wale waliofadhili maandamo Afrika Kaskazini, Latin Amerika, Ukraine na kwingineko, wanaita color revolution, ...
 
Maandamano ya Uganda yanafadhiliwa na nje ya Uganda, ni wale wale waliofadhili maandamo Afrika Kaskazini, Latin Amerika, Ukraine na kwingineko, wanaita color revolution, ...
Sasa mbona hawakufadhili maandamano na huku Tanzania kipindi Lissu alivyotaka tuandamane au tuseme Wazungu hawajaichoka Ccm?
 
Sasa mbona hawakufadhili maandamano na huku Tanzania kipindi Lissu alivyotaka tuandamane au tuseme Wazungu hawajaichoka Ccm?

Ndiyo jibu ni hilo, isitoshe CCM siyo mtu bali ni taasisi, hivyo hamna tatizo, ila Uganda ni Museveni sasa shida ipo hapo, ...
 
Nchi hii vitu vya vijinga kabisa ambavyo unaweza kudhani haviwezi kufanywa na binadamu mwenye akili timamu, wao ndio huwa wanafanya.

Hata kama wakitaka kufanya hawataweza, ni kama AK na akina Zuma walivyotaka kumuokoa Gadafi, walitaka ndiyo lkn hawakuweza, ...
 
Uchaguzi huu wa Jan 14 utaisha, kutakua na machafuko lakini nawaambia Museven haachii hii nchi, niko hapa naangalia upepo wa siasa hakuna dalili yeyote ya huyu mwanamuziki kupewa nchi kwa namna yeyote ile
 
Ndiyo jibu ni hilo, isitoshe CCM siyo mtu bali ni taasisi, hivyo hamna tatizo, ila Uganda ni Museveni sasa shida ipo hapo, ...
Taasisi inaongozwa na watu hivyo hakuna tofauti labda useme tu kwamba wazungu hawajaichoka hiyo taasisi.
 
Taasisi inaongozwa na watu hivyo hakuna tofauti labda useme tu kwamba wazungu hawajaichoka hiyo taasisi.

Ndiyo hivyo hata kama wakiichoka kwa sababu yoyote ile wanaweza tafuta mtu ndani ya Taasisi hiyo hiyo ni rahisi zaidi, kwani mwisho wa siku ni swala la maslahi tu, ...
 
Bobwine sio presidential material.

Subiri uone kitakachotokea 2021 Uganda hautaamini macho yako, kila kitu kiko set sasa hivi kama ni bunduki bado kufwatua tu, ...
 
Mwaka ujao 2021 Museveni anaenda, hatoboi Muzungu ameshamchoka na sasa na hatomkingia kifua tena, color revolution imeingia Uganda, kutatokea maandamano makubwa nchini Uganda ambayo hayajawahi kuonekana na hakuna kitu Museveni atafanya, bye bye Mzee Kaguta , ...

Robert Kyagulanyi (38)View attachment 1661192
Ukombozi umekaribia. Baada ya Uganda naamini Tanganyika utafunguliwa kutoka kwenye minyonyoro ya yule maovu
 
JF Mods msiufute uzi huu ili tuwaoneshe hawa jamaa wabishi like vile tuliwaambia ileeeeeeeeeeeeee Oktoba 28 mwaka jana (no, mwaka huu!!!)
 
Back
Top Bottom