MUSEVENI: Uganda territory extends up to Nakuru, Mzee Kenyatta grabbed our land

MUSEVENI: Uganda territory extends up to Nakuru, Mzee Kenyatta grabbed our land

Tell him to write down whatever resentment he still has on paper, then roll the paper nicely and shove it up his alley ...
We can also speak mockingly too!
Mule east Somali wanadai border yao, mule northwest South sudan wanadai chao
Huku west Museveni mate....
Naona tukiendelea hivi mwishowe watakuja ungana watu undermine kisiri au watuvamie kwa pamoja... I know its hard to imajin it happening but you shiit happens and when it does it can happen pretty quickly, am sure Syrians never thought they would ever be refugees a decade ago
Si kwa ubaya Kenyan civialians alone have more weapons than the Ugandan Military nothing brings Kenyans together than an outsider interference Fam .....utaskia 20mn kenyans wanasign up KDF KWS KP AP NYS kupigania inchi ndio watuwatajua Kenya ni moto ya Mbali Buda!
 
Juzi juzi wametoka kuzuia maziwa na mayai ya Uganda. [emoji3] sisi hatujalalamika
Wewe na vituko lakini.Basi warwanda na warundi warejee tanganyika kulingana na hiyo map. Na ziwa nyasa lirudi kwa wenyewe.
 
the same Museveni just arrested a Ugandan scholar for this Facebook post

app-facebook

Stella Nyanzi
Museveni matako nyo! Ebyo byeyayogedde e Masindi yabadde ayogera lutako.

I mean, seriously, when buttocks shake and jiggle, while the legs are walking, do you hear other body parts complaining? When buttocks produce shit, while the brain is thinking, is anyone shocked? When buttocks fart, are we surprised?

That is what buttocks do. They shake, jiggle, shit and fart. Museveni is just another pair of buttocks. Rather than being shocked by what the matako said in Masindi, Ugandans should be shocked that we allowed these buttocks to continue leading our country. Matako butako.

3.3K

Uganda has thrown an academic in jail over a “buttocks” insult to president Museveni

Sasa huyu mtoto naye, aliwaza nini? Au ni misemo ya kwao? Kama ni misemo ya kwao kwa nini M7 anakasirika?

Ila ingelikuwa kwetu, mithali za hivyo huwa haziko. Pengine kweli ingechanganya kidogo.
 
Calm down now guys. This is a fake story, which first appeared in 2015. Surely, Museveni wouldnt be that reckless to make such a statement which would antagonize Kenya.
M7 used to harbor expansionist ambitions in the 80s, bt times hav changed.
 
Umeitafuta wapi ? Mbona ipo H.E. Yoweri Kaguta Mseveni meant this ma! Yaani hata Somalia mliwaibia!

cache_60108146.jpg

Historic Mombasa - Uganda


nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
A huge chuck of Somali Jubaland was also in Kenya. Na NAona Zanzibar was part of Kenya protectorate
 
Museveni is crazy...I think he wanted the whole of Lake Victoria being that Uganda is landlocked...
 
kama ni Uganda we only need to send GSU ama AP and they will be begging for forgiveness...dont play with our military power...
 
Ramani huwa zinaonyesha mpaka kati ya Malawi na Msumbiji huwa pasu, lakini kwenu upo kwenye fukwe.
image002.jpg
Hiyo ramani siyo tuliyofundishiwa sisi mashuleni, na ww unaona ni sawa kusema imepita katikati ya msumbiji na malawi alafu kwetu imechukua ziwa lote.
Na sheria ni kwamba mto au ziwa likitenganisha nchi, kila nchi huchukua nusu yake, same applied in lake tanganyika, victoria. Same applies kwa Malawi. Wacha wajambe jambe, wavuvi wetu watavua kule, extraction of anything in our half will be conducted if needed. Na walete fyoko fyoko.
 
East african dictators are busy looking for war with Kenya

Mara Somalia without an army Mara SS Ethiopia Uganda hehe

Dont wish for something u cant handle Kenya has collctively bought and stockpiled almost 70bn$ worth of weapons toka 1980s na the next 5yrs alone we will use 12bn$ on weapons alone

Alshabaab wasiwape morale muingilie Kenya

Kuna ma Psycho Kenya Hamuwezi wahandle wakianza war mongering and politics kwa mix

Muangalir Mau mau pekee wawape kionjo ya mkenya anaye pigania Ardhi yake ....msijione mumenunua ndege mbilo halafu mkadhani sasa Hata Kenya mtaiweza ...Kenya itawapakua na Propaganda Hata kabla vita yenyewe ianze ...By the time tunaanza vita mtakuwa wengine
Ha ha ha ha thanks for joking !
 
Wakati east african countries wanataka kuvunja mipaka, still museve wants to rise and wagombane na kenya sababu ya mipaka. This is nonsense again like wise amid didi in 1978 na tukantia adabu so uganda again will be defeated.

You are daydreaming.

East Africans do not want to dissolve their borders. We want them erected high and migjt. We are actually closing down some of the border posts. The EAC thing is an anathema.
 
I remember idd amin the last time he tried to concur part kagera, he end up being fucked by Nyerere...!!
Mkuu ha ha ha ha big up he ended being fucked by Nyerere! You've made my day.
 
Back
Top Bottom