Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Ni vizuri kama hao watu wangepatana, kwa sababu they are on the same side. Inaoŋyesha kwamba makachero wanagombana wenyewe kwa wenyewe.
Mimi napinga hili ambalo naliona kama jaribio la kuwatisha whistleblowers. It is an attempt to frighten the public. Halafu it is not clear who exactly it is meant to frighten.
Musiba hajawahi kumsingizia mtu yoyote. Watu wanatumia influence yao katika mahakama kuwatisha raia.
Watu wanataka kuibinafsisha nchi sasa baada ya Magufuli kufariki.
Nasema wajirekebishe upesi before the window of opportunity closes.
They want to expropriate a whole nation.
Taifa limeingia katika ujinga mkubwa. Watu waliopata ajira kwa kutoa rushwa ya ngono,wanaitwa vinara wa ushoga.
Kwa hiyo sasa taifa limeingia katika frenzy ya watu kukashifiana,kuchafuliana majina.
Hebu tuwe serious. Yule Membe alipokuwa waziri analipwa shilingi ngapi sijui kwa mwezi:sijui milioni tano,sijui milioni kumi. Sasa asipotumia hizo hela hata senti tano,inamchukua muda gani kuamass shilingi bilioni tisa?
Kwa sababu thamani ya mtu ni mshahara wake. Thamani unaicalculate vipi? Mshahara wa mtu ndio thamani yake.
Mimi napinga hili ambalo naliona kama jaribio la kuwatisha whistleblowers. It is an attempt to frighten the public. Halafu it is not clear who exactly it is meant to frighten.
Musiba hajawahi kumsingizia mtu yoyote. Watu wanatumia influence yao katika mahakama kuwatisha raia.
Watu wanataka kuibinafsisha nchi sasa baada ya Magufuli kufariki.
Nasema wajirekebishe upesi before the window of opportunity closes.
They want to expropriate a whole nation.
Taifa limeingia katika ujinga mkubwa. Watu waliopata ajira kwa kutoa rushwa ya ngono,wanaitwa vinara wa ushoga.
Kwa hiyo sasa taifa limeingia katika frenzy ya watu kukashifiana,kuchafuliana majina.
Hebu tuwe serious. Yule Membe alipokuwa waziri analipwa shilingi ngapi sijui kwa mwezi:sijui milioni tano,sijui milioni kumi. Sasa asipotumia hizo hela hata senti tano,inamchukua muda gani kuamass shilingi bilioni tisa?
Kwa sababu thamani ya mtu ni mshahara wake. Thamani unaicalculate vipi? Mshahara wa mtu ndio thamani yake.