Musiba alikuwa anapata habari za kikachero na Membe ni kachero, sasa wanagombana nini?

Musiba alikuwa anapata habari za kikachero na Membe ni kachero, sasa wanagombana nini?

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Ni vizuri kama hao watu wangepatana, kwa sababu they are on the same side. Inaoŋyesha kwamba makachero wanagombana wenyewe kwa wenyewe.

Mimi napinga hili ambalo naliona kama jaribio la kuwatisha whistleblowers. It is an attempt to frighten the public. Halafu it is not clear who exactly it is meant to frighten.

Musiba hajawahi kumsingizia mtu yoyote. Watu wanatumia influence yao katika mahakama kuwatisha raia.
Watu wanataka kuibinafsisha nchi sasa baada ya Magufuli kufariki.

Nasema wajirekebishe upesi before the window of opportunity closes.

They want to expropriate a whole nation.

Taifa limeingia katika ujinga mkubwa. Watu waliopata ajira kwa kutoa rushwa ya ngono,wanaitwa vinara wa ushoga.

Kwa hiyo sasa taifa limeingia katika frenzy ya watu kukashifiana,kuchafuliana majina.

Hebu tuwe serious. Yule Membe alipokuwa waziri analipwa shilingi ngapi sijui kwa mwezi:sijui milioni tano,sijui milioni kumi. Sasa asipotumia hizo hela hata senti tano,inamchukua muda gani kuamass shilingi bilioni tisa?

Kwa sababu thamani ya mtu ni mshahara wake. Thamani unaicalculate vipi? Mshahara wa mtu ndio thamani yake.
 
Ni vizuri kama hao watu wangepatana,kwa sababu they are on the same side. Inaoŋyesha kwamba makachero wanagombana wengewe kwa wenyewe.
Mimi napinga hili ambalo naliona kama jaribio la kuwatisha whistleblowers. It is an attempt yo frighten the public. Halafu it is mot clear who exactly it is meant to frighten.
Musiba hajawahi kumsingizia mtu yoyote. Watu wanatumia influence yao katika mahakama kuwatisha raia.
Maa a yake mahakana haikutenda haki basi kata rufaa
 
MLIPIE BIL.9 kama unaona ameonewa Vipi na BIL.za FATUMA KARUME nazo kaonewa? VIJANA hilo ni FUNDISHO Acheni kutumika kutukana Watu na kuwadhalilisha kwa kutumwa na VIONGOZI kwa kutafuta TEUZI au MALIPO
Anachopitia MUSIBA ni MAVUNO ya UCHAWA wake
 
Watu wanatumia influence yao katika mahakama

Watu wanataka kuibinafsisha nchi
Yanawezekana?, kibaya ni kwa mahakama kuwa chombo cha kulipiza kisasi.

Nauliza tu, kuna kesi ngapi za madai ambazo zishafika miaka zaidi ya , mathlani 30? ambazo zimepewa uzito na Mahakama kutoa amri kama ilivyotokea?

EAC, wapo wanotafuta haki zao, Mahakama zimeshafanya uwepesi kama huo? Ni maswali tu
 
Yanawezekana?, kibaya ni kwa mahakama kuwa chombo cha kulipiza kisasi.

Nauliza tu, kuna kesi ngapi za madai ambazo zishafika miaka zaidi ya , mathlani 30? ambazo zimepewa uzito na Mahakama kutoa amri kama ilivyotokea?

EAC, wapo wanotafuta haki zao, Mahakama zimeshafanya uwepesi kama huo? Ni maswali tu
Acha kutetea ujinga. Huyo Musiba acha avune alichopanda na liwe fundisho kwa wajinga wenzake wanaotumika vibaya
 
Ni vizuri kama hao watu wangepatana, kwa sababu they are on the same side. Inaoŋyesha kwamba makachero wanagombana wenyewe kwa wenyewe.

Mimi napinga hili ambalo naliona kama jaribio la kuwatisha whistleblowers. It is an attempt to frighten the public. Halafu it is not clear who exactly it is meant to frighten.

Musiba hajawahi kumsingizia mtu yoyote. Watu wanatumia influence yao katika mahakama kuwatisha raia.
Watu wanataka kuibinafsisha nchi sasa baada ya Magufuli kufariki.
Nasema wajirekebishe upesi before the window of opportunity closes.
They want to expropriate a whole nation.
Taifa limeingia katika ujinga mkubwa. Watu waliopata ajira kwa kutoa rushwa ya ngono,wanaitwa vinara wa ushoga.
Kwa hiyo sasa taifa limeingia katika frenzy ya watu kukashifiana,kuchafuliana majina.
Hebu tuwe serious. Yule Membe alipokuwa waziri analipwa shilingi ngapi sijui kwa mwezi:sijui milioni tano,sijui milioni kumi. Sasa asipotumia hizo hela hata senti tano,inamchukua muda gani kuamass shilingi bilioni tisa?
Kwa sababu thamani ya mtu ni mshahara wake. Thamani unaicalculate vipi? Mshahara wa mtu ndio thamani yake.
We jiangalie..!!! Kwa mitusi ile na kutishia kule, MUSIBA yamkute anayostahili.
 
Unatetea nini sasa.....Musiba alishiba ujasiri kwa kukingiwa kifua na Dola acha asikilizie hadi aje huku Buturi kuomba kibarua Cha kupalilia mtama.
 
Acha kutetea ujinga. Huyo Musiba acha avune alichopanda na liwe fundisho kwa wajinga wenzake wanaotumika vibaya
Ha ha ha
Kumbe mnajua kuwa hakuna haki iliyotendeka huko Mahakamani eh?

wewe Jibu hoja na sio kujitutumua....Kuna watu waliofanya Kazi EAC haki zao zipo wapi wakati watu wanateseka?


Nao hao wajinga unaodai wametumika, Je inawezekana mahakama imetumika?


Na kabla hujakuja kinyumenyume na makalio yako hayo uwe na adabu,pili sijamtaja huyo Musiba kwenye bandiko..langu qqmmmk.
 
Unatetea nini sasa.....Musiba alishiba ujasiri kwa kukingiwa kifua na Dola acha asikilizie hadi aje huku Buturi kuomba kibarua Cha kupalilia mtama.
20230419_165044.jpg
 
Ni vizuri kama hao watu wangepatana, kwa sababu they are on the same side. Inaoŋyesha kwamba makachero wanagombana wenyewe kwa wenyewe.

Mimi napinga hili ambalo naliona kama jaribio la kuwatisha whistleblowers. It is an attempt to frighten the public. Halafu it is not clear who exactly it is meant to frighten.

Musiba hajawahi kumsingizia mtu yoyote. Watu wanatumia influence yao katika mahakama kuwatisha raia.
Watu wanataka kuibinafsisha nchi sasa baada ya Magufuli kufariki.
Nasema wajirekebishe upesi before the window of opportunity closes.
They want to expropriate a whole nation.
Taifa limeingia katika ujinga mkubwa. Watu waliopata ajira kwa kutoa rushwa ya ngono,wanaitwa vinara wa ushoga.
Kwa hiyo sasa taifa limeingia katika frenzy ya watu kukashifiana,kuchafuliana majina.
Hebu tuwe serious. Yule Membe alipokuwa waziri analipwa shilingi ngapi sijui kwa mwezi:sijui milioni tano,sijui milioni kumi. Sasa asipotumia hizo hela hata senti tano,inamchukua muda gani kuamass shilingi bilioni tisa?
Kwa sababu thamani ya mtu ni mshahara wake. Thamani unaicalculate vipi? Mshahara wa mtu ndio thamani yake.
Kwani issue si ilikua Mahakaman na tayar hukumu imetoka, kachero anataka B tisaa? Nadhan mjadala umefungwa na YONO wazee wa auctions tayar wapo standby!! Ni vzr ungewah kukata rufaa!!
 
Ni vizuri kama hao watu wangepatana, kwa sababu they are on the same side. Inaoŋyesha kwamba makachero wanagombana wenyewe kwa wenyewe.

Mimi napinga hili ambalo naliona kama jaribio la kuwatisha whistleblowers. It is an attempt to frighten the public. Halafu it is not clear who exactly it is meant to frighten.

Musiba hajawahi kumsingizia mtu yoyote. Watu wanatumia influence yao katika mahakama kuwatisha raia.
Watu wanataka kuibinafsisha nchi sasa baada ya Magufuli kufariki.
Nasema wajirekebishe upesi before the window of opportunity closes.
They want to expropriate a whole nation.
Taifa limeingia katika ujinga mkubwa. Watu waliopata ajira kwa kutoa rushwa ya ngono,wanaitwa vinara wa ushoga.
Kwa hiyo sasa taifa limeingia katika frenzy ya watu kukashifiana,kuchafuliana majina.
Hebu tuwe serious. Yule Membe alipokuwa waziri analipwa shilingi ngapi sijui kwa mwezi:sijui milioni tano,sijui milioni kumi. Sasa asipotumia hizo hela hata senti tano,inamchukua muda gani kuamass shilingi bilioni tisa?
Kwa sababu thamani ya mtu ni mshahara wake. Thamani unaicalculate vipi? Mshahara wa mtu ndio thamani yake.
Musiba hakuwa whistle-blower ila alikuwa akitukana na kuchafua watu
 
Ni vizuri kama hao watu wangepatana, kwa sababu they are on the same side. Inaoŋyesha kwamba makachero wanagombana wenyewe kwa wenyewe.

Mimi napinga hili ambalo naliona kama jaribio la kuwatisha whistleblowers. It is an attempt to frighten the public. Halafu it is not clear who exactly it is meant to frighten.

Musiba hajawahi kumsingizia mtu yoyote. Watu wanatumia influence yao katika mahakama kuwatisha raia.
Watu wanataka kuibinafsisha nchi sasa baada ya Magufuli kufariki.
Nasema wajirekebishe upesi before the window of opportunity closes.
They want to expropriate a whole nation.
Taifa limeingia katika ujinga mkubwa. Watu waliopata ajira kwa kutoa rushwa ya ngono,wanaitwa vinara wa ushoga.
Kwa hiyo sasa taifa limeingia katika frenzy ya watu kukashifiana,kuchafuliana majina.
Hebu tuwe serious. Yule Membe alipokuwa waziri analipwa shilingi ngapi sijui kwa mwezi:sijui milioni tano,sijui milioni kumi. Sasa asipotumia hizo hela hata senti tano,inamchukua muda gani kuamass shilingi bilioni tisa?
Kwa sababu thamani ya mtu ni mshahara wake. Thamani unaicalculate vipi? Mshahara wa mtu ndio thamani yake.
tatizo lako hujui kitu,hebu fanya utafiti kwanza wa mambo ndio utoke hadharani kutoa maoni
 
Siyo Musiba pekee,wale woote wanaojijuwa walikuwa wakimtumikia Bwana yule,hakika watapata malipo yao papa hapa duniani
 
Ukaweka kiingereza kingi ili uonekane wa maana, huyo bwana alipe hela ya watu,alichokifanya alijua kabisa kitamrudia.
 
Mzee membe ni very humble person , niliwahi onana nae na kubadilishana mawil matatu

He is a polite man...musiba kalikoroga mwenyewe atalinywa
Kama humjui mtu kaa kimyaa kuficha upumbavu wako,kukutana nae mara moja au mbili katika kuongea kwa muda tu ukajua ni humble?,

"Rohoni kwa mtu ni mbali sana,"usiusemee moyo wa mtu,majambazi yana lugha za kiungwana sana

"Zilongwa mbali zitendwa mbali "
 
Back
Top Bottom