Musiba amemponyoka Membe lakini Shangazi na mama wa hela ya mboga wamemng’ang’ania; hana pa kuchomokea, anadaiwa jumla ya Tsh bilioni 15.58!

Musiba amemponyoka Membe lakini Shangazi na mama wa hela ya mboga wamemng’ang’ania; hana pa kuchomokea, anadaiwa jumla ya Tsh bilioni 15.58!

tpaul

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
24,225
Reaction score
22,632
Subiri kwanza, bado mapema. Cyprian Musiba Majura Muingereza popote alipo anaweza akawa anachekelea kuwa Membe kafariki, hivyo amenusurika kulipa mabilioni aliyokuwa anadaiwa. Anajidanganya sana. Hii ni sawa na kuchekelea kuruka majivu halafu ukatua motoni. Hii ngoma bado mbichi sana!

Hukumu ya kesi ya madai ya kashfa iliyofunguliwa na aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe dhidi ya Cyprian Musiba anayejitambulisha kama mwanaharakati huru, inafikisha jumla ya fidia anazotakiwa kulipa kuwa takriban Sh 18.58 bilioni.

Kiasi hicho anachotakiwa kuwalipa watu aliowakashfu kupitia vyombo vyake vya habari ndani ya miaka sita iliyopita kinamweka katika hatari ya kufungwa jela iwapo atashindwa kukilipa, mawakili wamesema.

Mahakama Kuu ilimwamuru Musiba kumlipa Membe jumla ya Sh 6 bilioni baada ya kumshinda katika kesi ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Mbali na Membe, wakili maarufu nchini, Fatma Karume (aka Shangazi) alisema Mahakama Kuu Zanzibar ilimwamuru Musiba amlipe Sh 12.5 bilioni kwenye kesi yake ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Vilevile, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilishamwamuru Musiba kumlipa waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka fidia ya Sh 80 milioni kutokana na kashfa alizozitoa dhidi yake.

Baadhi ya mawakili walisema endapo Musiba atashindwa kulipa fidia hiyo na hatakuwa na mali za kupigwa mnada kufidia kiasi hicho basi wanaomdai wanaweza kuomba mahakama imfunge kama mfungwa wa madai.

Akitoa maoni kuhusu hukumu hiyo, Wakili Fulgence Massawe alisema kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Madai (CPC), wanaomdai wanaweza kuiomba mahakama impeleke jela.

MAONI YANGU
Musiba aache kusherekea kifo cha Membe badala yake aendelee kulia kwani bado hajapata unafuu wowote. Kwanza kiasi cha fedha anachodaiwa na Shangazi ni kikubwa kuliko alichokuwa anadaiwa na Membe. Na hapo hapo bado hajamlipa mama wa hela ya mboga (Profesa Tibaijuka). Patamu hapo! Akae atulie atie kichwa maji asubiri kunyolewa bila shuruti.
 
Siku za kulipa zilizotolewa na mahakama zilipita muda mrefu,
kampuni ya udalali iliyotakiwa kupiga mnada ilipigwa stop na wadai hawajalipwa. Kwa maoni yangu hii inaonesha kuna watu wapo juu ya sheria nchi hii so sitegemei chochote kufuata.
 
Siku za kulipa zilizotolewa na mahakama zilipita muda mrefu,
kampuni ya udalali iliyotakiwa kupiga mnada ilipigwa stop na wadai hawajalipwa. Kwa maoni yangu hii inaonesha kuna watu wapo juu ya sheria nchi hii so sitegemei chochote kufuata.
Mkuu amri ya mahakama muda ukiisha unaweza kwenda ku-renew. Hakuna namna Musiba atakwepa kikombe hiki....lazima akinywe!
 
Mkuu amri ya mahakama muda ukiisha unaweza kwenda ku-renew. Hakuna namna Musiba atakwepa kikombe hiki....lazima akinywe!

ni kweli kwa mujibu wa sheria. Lakini kutokana na situation inaonekana kuna watu wapo juu ya sheria na mahakama nchi hii. Haki hakuna. Imagine sabaya kafungwa jela miaka 30 leo yupo uraiani, situation kama ya mbowe, covid 19, n.k bado unaamini kuna haki nchi hii? Mahakama ipo controlled na watu fulani.
 
Subiri kwanza, bado mapema. Cyprian Musiba Majura Muingereza popote alipo anaweza akawa anachekelea kuwa Membe kafariki, hivyo amenusurika kulipa mabilioni aliyokuwa anadaiwa. Anajidanganya sana. Hii ni sawa na kuchekelea kuruka majivu halafu ukatua motoni. Hii ngoma bado mbichi sana!
View attachment 2619196
Hukumu ya kesi ya madai ya kashfa iliyofunguliwa na aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe dhidi ya Cyprian Musiba anayejitambulisha kama mwanaharakati huru, inafikisha jumla ya fidia anazotakiwa kulipa kuwa takriban Sh 18.58 bilioni.
View attachment 2619199
Kiasi hicho anachotakiwa kuwalipa watu aliowakashfu kupitia vyombo vyake vya habari ndani ya miaka sita iliyopita kinamweka katika hatari ya kufungwa jela iwapo atashindwa kukilipa, mawakili wamesema.

Mahakama Kuu ilimwamuru Musiba kumlipa Membe jumla ya Sh 6 bilioni baada ya kumshinda katika kesi ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Mbali na Membe, wakili maarufu nchini, Fatma Karume (aka Shangazi) alisema Mahakama Kuu Zanzibar ilimwamuru Musiba amlipe Sh 12.5 bilioni kwenye kesi yake ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Vilevile, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilishamwamuru Musiba kumlipa waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka fidia ya Sh 80 milioni kutokana na kashfa alizozitoa dhidi yake.

Baadhi ya mawakili walisema endapo Musiba atashindwa kulipa fidia hiyo na hatakuwa na mali za kupigwa mnada kufidia kiasi hicho basi wanaomdai wanaweza kuomba mahakama imfunge kama mfungwa wa madai.

Akitoa maoni kuhusu hukumu hiyo, Wakili Fulgence Massawe alisema kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Madai (CPC), wanaomdai wanaweza kuiomba mahakama impeleke jela.

MAONI YANGU
Musiba aache kusherekea kifo cha Membe badala yake aendelee kulia kwani bado hajapata unafuu wowote. Kwanza kiasi fedha anachodaiwa na Shangazi ni kikubwa kuliko alichokuwa anadaiwa na Membe. Na hapo hapo bado hajamlipa mama wa hela ya mboga (Profesa Tibaijuka). Patamu hapo! Akae atulie atie kichwa maji asubiri kunyolewa bila shuruti.
Atawafyeka wote hao
 
Subiri kwanza, bado mapema. Cyprian Musiba Majura Muingereza popote alipo anaweza akawa anachekelea kuwa Membe kafariki, hivyo amenusurika kulipa mabilioni aliyokuwa anadaiwa. Anajidanganya sana. Hii ni sawa na kuchekelea kuruka majivu halafu ukatua motoni. Hii ngoma bado mbichi sana!
View attachment 2619196
Hukumu ya kesi ya madai ya kashfa iliyofunguliwa na aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe dhidi ya Cyprian Musiba anayejitambulisha kama mwanaharakati huru, inafikisha jumla ya fidia anazotakiwa kulipa kuwa takriban Sh 18.58 bilioni.
View attachment 2619199
Kiasi hicho anachotakiwa kuwalipa watu aliowakashfu kupitia vyombo vyake vya habari ndani ya miaka sita iliyopita kinamweka katika hatari ya kufungwa jela iwapo atashindwa kukilipa, mawakili wamesema.

Mahakama Kuu ilimwamuru Musiba kumlipa Membe jumla ya Sh 6 bilioni baada ya kumshinda katika kesi ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Mbali na Membe, wakili maarufu nchini, Fatma Karume (aka Shangazi) alisema Mahakama Kuu Zanzibar ilimwamuru Musiba amlipe Sh 12.5 bilioni kwenye kesi yake ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Vilevile, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilishamwamuru Musiba kumlipa waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka fidia ya Sh 80 milioni kutokana na kashfa alizozitoa dhidi yake.

Baadhi ya mawakili walisema endapo Musiba atashindwa kulipa fidia hiyo na hatakuwa na mali za kupigwa mnada kufidia kiasi hicho basi wanaomdai wanaweza kuomba mahakama imfunge kama mfungwa wa madai.

Akitoa maoni kuhusu hukumu hiyo, Wakili Fulgence Massawe alisema kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Madai (CPC), wanaomdai wanaweza kuiomba mahakama impeleke jela.

MAONI YANGU
Musiba aache kusherekea kifo cha Membe badala yake aendelee kulia kwani bado hajapata unafuu wowote. Kwanza kiasi fedha anachodaiwa na Shangazi ni kikubwa kuliko alichokuwa anadaiwa na Membe. Na hapo hapo bado hajamlipa mama wa hela ya mboga (Profesa Tibaijuka). Patamu hapo! Akae atulie atie kichwa maji asubiri kunyolewa bila shuruti.
Musiba aache kusherekea kifo cha Membe badala yake aendelee kulia kwani bado hajapata unafuu wowote. Kwanza kiasi fedha anachodaiwa na Shangazi ni kikubwa kuliko alichokuwa anadaiwa na Membe. Na hapo hapo bado hajamlipa mama wa hela ya mboga (Profesa Tibaijuka). Patamu hapo! Akae atulie atie kichwa maji asubiri kunyolewa bila shuruti.[emoji818][emoji817]
 
Subiri kwanza, bado mapema. Cyprian Musiba Majura Muingereza popote alipo anaweza akawa anachekelea kuwa Membe kafariki, hivyo amenusurika kulipa mabilioni aliyokuwa anadaiwa. Anajidanganya sana. Hii ni sawa na kuchekelea kuruka majivu halafu ukatua motoni. Hii ngoma bado mbichi sana!
View attachment 2619196
Hukumu ya kesi ya madai ya kashfa iliyofunguliwa na aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe dhidi ya Cyprian Musiba anayejitambulisha kama mwanaharakati huru, inafikisha jumla ya fidia anazotakiwa kulipa kuwa takriban Sh 18.58 bilioni.
View attachment 2619199
Kiasi hicho anachotakiwa kuwalipa watu aliowakashfu kupitia vyombo vyake vya habari ndani ya miaka sita iliyopita kinamweka katika hatari ya kufungwa jela iwapo atashindwa kukilipa, mawakili wamesema.

Mahakama Kuu ilimwamuru Musiba kumlipa Membe jumla ya Sh 6 bilioni baada ya kumshinda katika kesi ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Mbali na Membe, wakili maarufu nchini, Fatma Karume (aka Shangazi) alisema Mahakama Kuu Zanzibar ilimwamuru Musiba amlipe Sh 12.5 bilioni kwenye kesi yake ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Vilevile, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilishamwamuru Musiba kumlipa waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka fidia ya Sh 80 milioni kutokana na kashfa alizozitoa dhidi yake.

Baadhi ya mawakili walisema endapo Musiba atashindwa kulipa fidia hiyo na hatakuwa na mali za kupigwa mnada kufidia kiasi hicho basi wanaomdai wanaweza kuomba mahakama imfunge kama mfungwa wa madai.

Akitoa maoni kuhusu hukumu hiyo, Wakili Fulgence Massawe alisema kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Madai (CPC), wanaomdai wanaweza kuiomba mahakama impeleke jela.

MAONI YANGU
Musiba aache kusherekea kifo cha Membe badala yake aendelee kulia kwani bado hajapata unafuu wowote. Kwanza kiasi fedha anachodaiwa na Shangazi ni kikubwa kuliko alichokuwa anadaiwa na Membe. Na hapo hapo bado hajamlipa mama wa hela ya mboga (Profesa Tibaijuka). Patamu hapo! Akae atulie atie kichwa maji asubiri kunyolewa bila shuruti.
Shida kubwa ya wote wanao mdai Musiba nikukosa kukumbuka wanamdai Mtu ambaye side sahihi. Pili nafsi zinawasuta why leo na sio jana? Mwisho ni kukumbuka JPM na jamuhuri huwezi kuwatenga JPM kaondoka Jamuhuri ipo sasa tusichoshane kwa maswali
 
Kuna atakaethubutu kudai baada ya yaliyotokea?
Imeisha hiyoooo



Sio wote ni waoga .

Inajulikana wazi lengo ni kuogofya lakini sio wote ni waoga.

Utashangaa kwa uchungu wa kifo cha utata cha BM watu wana hasira Na uchungu hawataacha kudai hadi mia.

Jamaa ako na watu wa system msizani itakuwa rahisi kiivyo!
 
Subiri kwanza, bado mapema. Cyprian Musiba Majura Muingereza popote alipo anaweza akawa anachekelea kuwa Membe kafariki, hivyo amenusurika kulipa mabilioni aliyokuwa anadaiwa. Anajidanganya sana. Hii ni sawa na kuchekelea kuruka majivu halafu ukatua motoni. Hii ngoma bado mbichi sana!
View attachment 2619196
Hukumu ya kesi ya madai ya kashfa iliyofunguliwa na aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe dhidi ya Cyprian Musiba anayejitambulisha kama mwanaharakati huru, inafikisha jumla ya fidia anazotakiwa kulipa kuwa takriban Sh 18.58 bilioni.
View attachment 2619199
Kiasi hicho anachotakiwa kuwalipa watu aliowakashfu kupitia vyombo vyake vya habari ndani ya miaka sita iliyopita kinamweka katika hatari ya kufungwa jela iwapo atashindwa kukilipa, mawakili wamesema.

Mahakama Kuu ilimwamuru Musiba kumlipa Membe jumla ya Sh 6 bilioni baada ya kumshinda katika kesi ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Mbali na Membe, wakili maarufu nchini, Fatma Karume (aka Shangazi) alisema Mahakama Kuu Zanzibar ilimwamuru Musiba amlipe Sh 12.5 bilioni kwenye kesi yake ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Vilevile, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilishamwamuru Musiba kumlipa waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka fidia ya Sh 80 milioni kutokana na kashfa alizozitoa dhidi yake.

Baadhi ya mawakili walisema endapo Musiba atashindwa kulipa fidia hiyo na hatakuwa na mali za kupigwa mnada kufidia kiasi hicho basi wanaomdai wanaweza kuomba mahakama imfunge kama mfungwa wa madai.

Akitoa maoni kuhusu hukumu hiyo, Wakili Fulgence Massawe alisema kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Madai (CPC), wanaomdai wanaweza kuiomba mahakama impeleke jela.

MAONI YANGU
Musiba aache kusherekea kifo cha Membe badala yake aendelee kulia kwani bado hajapata unafuu wowote. Kwanza kiasi fedha anachodaiwa na Shangazi ni kikubwa kuliko alichokuwa anadaiwa na Membe. Na hapo hapo bado hajamlipa mama wa hela ya mboga (Profesa Tibaijuka). Patamu hapo! Akae atulie atie kichwa maji asubiri kunyolewa bila shuruti.
Subiri kwanza, bado mapema. Cyprian Musiba Majura Muingereza popote alipo anaweza akawa anachekelea kuwa Membe kafariki, hivyo amenusurika kulipa mabilioni aliyokuwa anadaiwa. Anajidanganya sana. Hii ni sawa na kuchekelea kuruka majivu halafu ukatua motoni. Hii ngoma bado mbichi sana!
View attachment 2619196
Hukumu ya kesi ya madai ya kashfa iliyofunguliwa na aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe dhidi ya Cyprian Musiba anayejitambulisha kama mwanaharakati huru, inafikisha jumla ya fidia anazotakiwa kulipa kuwa takriban Sh 18.58 bilioni.
View attachment 2619199
Kiasi hicho anachotakiwa kuwalipa watu aliowakashfu kupitia vyombo vyake vya habari ndani ya miaka sita iliyopita kinamweka katika hatari ya kufungwa jela iwapo atashindwa kukilipa, mawakili wamesema.

Mahakama Kuu ilimwamuru Musiba kumlipa Membe jumla ya Sh 6 bilioni baada ya kumshinda katika kesi ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Mbali na Membe, wakili maarufu nchini, Fatma Karume (aka Shangazi) alisema Mahakama Kuu Zanzibar ilimwamuru Musiba amlipe Sh 12.5 bilioni kwenye kesi yake ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Vilevile, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilishamwamuru Musiba kumlipa waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka fidia ya Sh 80 milioni kutokana na kashfa alizozitoa dhidi yake.

Baadhi ya mawakili walisema endapo Musiba atashindwa kulipa fidia hiyo na hatakuwa na mali za kupigwa mnada kufidia kiasi hicho basi wanaomdai wanaweza kuomba mahakama imfunge kama mfungwa wa madai.

Akitoa maoni kuhusu hukumu hiyo, Wakili Fulgence Massawe alisema kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Madai (CPC), wanaomdai wanaweza kuiomba mahakama impeleke jela.

MAONI YANGU
Musiba aache kusherekea kifo cha Membe badala yake aendelee kulia kwani bado hajapata unafuu wowote. Kwanza kiasi fedha anachodaiwa na Shangazi ni kikubwa kuliko alichokuwa anadaiwa na Membe. Na hapo hapo bado hajamlipa mama wa hela ya mboga (Profesa Tibaijuka). Patamu hapo! Akae atulie atie kichwa maji asubiri kunyolewa bila shuruti.
Punguza kiherehere utakuja kufa kifo kisicho chako. Kama aliyekufa kakuuma sana nenda Mkazikwe wote.
 
Subiri kwanza, bado mapema. Cyprian Musiba Majura Muingereza popote alipo anaweza akawa anachekelea kuwa Membe kafariki, hivyo amenusurika kulipa mabilioni aliyokuwa anadaiwa. Anajidanganya sana. Hii ni sawa na kuchekelea kuruka majivu halafu ukatua motoni. Hii ngoma bado mbichi sana!
View attachment 2619196
Hukumu ya kesi ya madai ya kashfa iliyofunguliwa na aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe dhidi ya Cyprian Musiba anayejitambulisha kama mwanaharakati huru, inafikisha jumla ya fidia anazotakiwa kulipa kuwa takriban Sh 18.58 bilioni.
View attachment 2619199
Kiasi hicho anachotakiwa kuwalipa watu aliowakashfu kupitia vyombo vyake vya habari ndani ya miaka sita iliyopita kinamweka katika hatari ya kufungwa jela iwapo atashindwa kukilipa, mawakili wamesema.

Mahakama Kuu ilimwamuru Musiba kumlipa Membe jumla ya Sh 6 bilioni baada ya kumshinda katika kesi ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Mbali na Membe, wakili maarufu nchini, Fatma Karume (aka Shangazi) alisema Mahakama Kuu Zanzibar ilimwamuru Musiba amlipe Sh 12.5 bilioni kwenye kesi yake ya madai ya kashfa aliyomfungulia.

Vilevile, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilishamwamuru Musiba kumlipa waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka fidia ya Sh 80 milioni kutokana na kashfa alizozitoa dhidi yake.

Baadhi ya mawakili walisema endapo Musiba atashindwa kulipa fidia hiyo na hatakuwa na mali za kupigwa mnada kufidia kiasi hicho basi wanaomdai wanaweza kuomba mahakama imfunge kama mfungwa wa madai.

Akitoa maoni kuhusu hukumu hiyo, Wakili Fulgence Massawe alisema kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Madai (CPC), wanaomdai wanaweza kuiomba mahakama impeleke jela.

MAONI YANGU
Musiba aache kusherekea kifo cha Membe badala yake aendelee kulia kwani bado hajapata unafuu wowote. Kwanza kiasi fedha anachodaiwa na Shangazi ni kikubwa kuliko alichokuwa anadaiwa na Membe. Na hapo hapo bado hajamlipa mama wa hela ya mboga (Profesa Tibaijuka). Patamu hapo! Akae atulie atie kichwa maji asubiri kunyolewa bila shuruti.


Kwani Membe kufariki, deni nalo linafariki? Deni liko pale pale sababu hukumu ilishatoka ilitakiwa kulipa tu, hivyo deni linatakiwa kulipa, hakuna kitu Musiba amekwepa, tena itabidi alipe yote, sababu hana nafasi tena ya kuomba kupunguziwa deni.

Ingekuwa Mr. Membe kafariki kabla ya hukumu haijatoka, hapo case ingekufa automatically na hapo case ingekuwa closed.
 
Shida kubwa ya wote wanao mdai Musiba nikukosa kukumbuka wanamdai Mtu ambaye side sahihi. Pili nafsi zinawasuta why leo na sio jana? Mwisho ni kukumbuka JPM na jamuhuri huwezi kuwatenga JPM kaondoka Jamuhuri ipo sasa tusichoshane kwa maswali
[1]Kudaiwa kwake kwanini isiwe sahihi?.
[2]Utamdai vipi Musiba pasipo amri ya Mahakama?.
 
Back
Top Bottom