Musiba amemponyoka Membe lakini Shangazi na mama wa hela ya mboga wamemng’ang’ania; hana pa kuchomokea, anadaiwa jumla ya Tsh bilioni 15.58!

Musiba amemponyoka Membe lakini Shangazi na mama wa hela ya mboga wamemng’ang’ania; hana pa kuchomokea, anadaiwa jumla ya Tsh bilioni 15.58!

Shida kubwa ya wote wanao mdai Musiba nikukosa kukumbuka wanamdai Mtu ambaye side sahihi. Pili nafsi zinawasuta why leo na sio jana? Mwisho ni kukumbuka JPM na jamuhuri huwezi kuwatenga JPM kaondoka Jamuhuri ipo sasa tusichoshane kwa maswali
Mkuu kwani uwepo wa jamhuri unazuia mahakama kufanya kazi yake? Sukuma Gang wanajidanganya sana aisee!
 
Sio wote ni waoga .

Inajulikana wazi lengo ni kuogofya lakini sio wote ni waoga.

Utashangaa kwa uchungu wa kifo cha utata cha BM watu wana hasira Na uchungu hawataacha kudai hadi mia.

Jamaa ako na watu wa system msizani itakuwa rahisi kiivyo!
Mkuu haki ya mtu haijawahi kupotea kwa sababu ya kutishwa na watu wa system. Hata Prof Tibaijuka na Shangazi ni watu wa sytem pia. Lazima Musiba alipe hela za watu; asilete janjajanja ya kuwatisha watu. Aliyekuwa anamkingia kifua kafa, hana pa kuchomokea.
 
Mahakama inaamua kulipa Hela yote hiyo hata Hawa majaji sidhani kama netwek Yao ipo vzr billion 18!!!!!!!
Sasa kama aliwakashifu watu watatu kwa mpigo na wote ameamuliwa awalipe unadhani atalipa gharama ya mtu mmoja tu? Ukiwakashfu watu wengi ujiandae kulipa kiasi kikubwa. Na hapo bado pesa atakazomlipa Zitto bado hazijajumlishwa.
 
Hizi kelele za kudaiana zitamalizwa na kauli ya msemaji wa family.

Msibani Kuna porojo nyingi sana, ila tukishazika, Kila Mmoja Ataendelea na harakati zake kuwatafutia watoto ugali.
 
Kutoka mwibala tunasema tunaomba list yawote wanaoyataka mabilioni yakijana wetu na uthibitisho wa kauli zao kua wanazitaka hizo hela.
Hakuna kitu kama hicho mkuu. Lazima huyu mhuni akaangwe ili liwe fundisho kwa wahuni wengine.
 
Hakuna kitu kama hicho mkuu. Lazima huyu mhuni akaangwe ili liwe fundisho kwa wahuni wengine.
Mkuu mbona unashadadia ishu zisizokuhusu, wahusika kama wana madai watayatoa kwa huyo wanayemdai.....tumechoka na hizi kelele.
 
Mkuu mbona unashadadia ishu zisizokuhusu, wahusika kama wana madai watayatoa kwa huyo wanayemdai.....tumechoka na hizi kelele.
Yes. Ndio maana tunakazia. Lazima alipe pesa za watu. Nashukuru hata wewe kumbe unafahamu hilo.
 
 
Back
Top Bottom