Musiba aombe msamaha kabla hajakaangwa

Musiba aombe msamaha kabla hajakaangwa

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Katika dunia hii watu tunapaswa kuishi kwa upendo na kuhurumiana. Musiba amefanya kosa kwa hiyo aombe msamaha.

Unaukumbuka ule wimbo wa zamani,ulikuwa wimbo wa Western au Jamhuri Jazz Band,au sijui nani,walikuwa wanaimba,"Ingawaje wewe ndie mwenye makosa lakini naomba unisamehe". Watu wa zamani walikuwa wastaarabu kuliko sisi.

Wakati wa Nyerere ule watu walikuwa wastaarabu.

Kwa hiyo, Musiba amuombe Membe msamaha.
 
Alikuwa ana tutukana wote. Hata hii JF alikuwa anainanga sana nashangaa taarifa za yye kuomba msamaha zilipiti hapa
Alipe kwanza
 
Ndio kakutuma?

Chapeni Lapa huko. Alipe kwanza Kisha ndo aombe msamaha.

Mlikuwa wapi wakati anajiona kamungu mtu? Kwann hamkumkanya au kuwasaidia aliyowaumiza. Kwahiyo mnataka yeye malengo yake yawe yamefanikiwa ila malengo ya kina Membe na wengine aliowaumiza yasifanikiwe?

Kwann mnakuwa selfish hivi. Kila mtu ainjoi na alipe kwa wakati wake. Kina membe walishaumia acheni nao wainjoi sasa
 
Katika dunia hii watu tunapaswa kuishi kwa upendo na kuhurumiana. Musiba amefanya kosa kwa hiyo aombe msamaha. Unaukumbuka ule wimbo wa zamani...
Atajua hajui!! Mpaka Mex alimsema kua ni mmoja wa maadui wa utawala wao kwa kumsema mtukufu wao, na mikesi ya hovyo wakampa!!! Leo hii walinda legacy humu ndan wanamtetea m'siba!!
 
Atajua hajui!! Mpaka Mex alimsema kua ni mmoja wa maadui wa utawala wao kwa kumsema mtukufu wao, na mikesi ya hovyo wakampa!!! Leo hii walinda legacy humu ndan wanamtetea m'siba!!
Sijawahi kuona wala kusikia popote watu wakijitangaza kwamba wanalinda legacy ya JULIUS KAMBARAGE NYERERE Pamoja na mambo yote makubwa aliyofanya sembuse huyu aliyependelea kwao na kutugawa?
 
Sijawahi kuona wala kusikia popote watu wakijitangaza kwamba wanalinda legacy ya JULIUS KAMBARAGE NYERERE Pamoja na mambo yote makubwa aliyofanya sembuse huyu aliyependelea kwao na kutugawa?
JKN alikua mzalendo wa kweli pa si na shaka!! Hawa wengine ni wapiga dili tu kweny kivuli cha uzalendo uchwara!!
 
Katika dunia hii watu tunapaswa kuishi kwa upendo na kuhurumiana. Musiba amefanya kosa kwa hiyo aombe msamaha.

Unaukumbuka ule wimbo wa zamani,ulikuwa wimbo wa Western au Jamhuri Jazz Band,au sijui nani,walikuwa wanaimba,"Ingawaje wewe ndie mwenye makosa lakini naomba unisamehe". Watu wa zamani walikuwa wastaarabu kuliko sisi.

Wakati wa Nyerere ule watu walikuwa wastaarabu.

Kwa hiyo, Musiba amuombe Membe msamaha.
Huyu ndiye wa kusamehe, bladifaken


 
Katika dunia hii watu tunapaswa kuishi kwa upendo na kuhurumiana. Musiba amefanya kosa kwa hiyo aombe msamaha.

Unaukumbuka ule wimbo wa zamani,ulikuwa wimbo wa Western au Jamhuri Jazz Band,au sijui nani,walikuwa wanaimba,"Ingawaje wewe ndie mwenye makosa lakini naomba unisamehe". Watu wa zamani walikuwa wastaarabu kuliko sisi.

Wakati wa Nyerere ule watu walikuwa wastaarabu.

Kwa hiyo, Musiba amuombe Membe msamaha.
Acha akaangwe akili zimrejee kichwani mwake 😂
 
Back
Top Bottom