Musiba mpaka Sasa hajaomba msamaha, Membe Shikilia hapohapo

Musiba mpaka Sasa hajaomba msamaha, Membe Shikilia hapohapo

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Kwa mara nyingine tena, Dhalimu baada ya kutenda udhalimu wake badala ya kuukabili uovu wake na kutake responsibility yeye anakimbilia kwa maaskofu ili wamsaidie kubeba udhalimu wake.

Iko hivi, Hakuna anayepaswa kubeba uovu wa Mwingine. Hata Kanisani mtu anapoungama, hakuna anayeungama kwa niaba ya mtu mwingine.

Leo hii Musiba pengine kwa kiburi au Jeuri anashindwa hata kuitisha press conference na kumuomba radhi ndugu Membe na wengine wote aliowakwaza, ila anakimbilia kwa maaskofu ili eti wao ndo wambebee ujinga wake.

Nawashangaa hata maaskofu, badala ya kumwambia mkosaji atake responsibility ya makosa yake, wao wanataka Mkosaji ago away kirahisi rahisi tu.

Hebu tujiulize, kwa Nini Musiba kakimbilia kwa maaskofu na siyo wazee wengine wenye heshima, ni kwa sababu anataka KUTUMIA DINI kugo away na makosa yake. Ni gemu ileile ya bosi wake wa zamani kujifanya kuwa karibu na viongozi wa dini pindi akishaharibu ili kupata huruma ya jamii.

Kitu kingine cha kujiuliza, Askofu Mwamakula huwa anawaombea laana viongozi au watu wenye kutaka kuharibu haki nchini. Aliomba hivyo wakati wa uchaguzi mkuu, kuwa atakaye iba, vuruga uchaguzi mkuu apate mapigo, Ameomba hivyo kwa atakayekwamisha katiba mpya. Leo hii kwa nini anadhani kuwa Membe shuruti awe wa rehema kwa mtu aliyemuumiza kiasi kile?


Kwa upande wa Askofu Pengo. Huyu hakuwahi kukemea ujinga na udhalimu ambao Musiba alikuwa akiufanya wakati ule. Na hajawahi kumtaka Musiba aache ujinga wake. Leo hii ana moral authority gani ya kumtaka Membe asamehe?.

Iko hivi, Tusimlazimishe Membe kusamehe au kutosamehe. Kusamehe ni haki yake na wala siyo wajibu wake.

Na mimi namshauri Membe kuwa, Mali alizopata Musiba, part ya mali hizo ni Mapesa aliyokuwa analipwa ili kuwachafua. Kwa hiyo ni jambo jema kabisa kuchukua mali hizo kama fidia.

Na hii ni muhimu kwa sababu itasaidia kutoa somo kwa watu wengine, mosi waache kutegemea binadamu aliyetoka kwa mavumbi na badala yake wamtegemee Mungu. Na pili Ubaya una consequences, Utavuna ulichopanda.

Niwakumbushe tu akina baba Askofu Pengo, kuwa huwa mnatufundisha kuwa TUTII MAMLAKA. Sasa ni wakati Muafaka wa Wao kwenda na kumwambia Musiba atii mamlaka ambayo ni Mahakama. ALIPE!
 
Haingii akilini kwamba badala mtuhumiwa kuomba msamaha kwamba watu back ndo wamuombee msamaha!!

Hii ni dharau na kiburi, membe ashikilie hapo hapo!!

Na tena akiomba msamaha, masharti yawepo atoke hadharani kwenye vyombo vya habari tena vikubwa vinavyoeleweka aombe msamaha, na aseme nani alikuwa yupo nyuma ya huo uozo,!!
 
Lakini pia vitabu vya dini vina sema
"Samehe Saba mara sabini" Yesu Kristu alitufundisha kusamehe hata kama umeumizwa kiasi gani mara ngapi.

Nahisi Musiba aliwatuma viongozi hawa wa kidini wakamuombee msamaha lakini huenda vigezo na masharti havikuzingatiwa, huenda akivizingatia atasamehewa.
 
Yaani ikitokea Membe amesamehe ghafla tu, nitamuona mtu wa ajabu sana!
Labda nyuma ya pazia yawezekana kuna mchezo unachezwa na hawa tissss!!

Hii nchi ina mambo acha kabisa!
Yapo mambo yanatengenezwa na watu wanaamini ndio hivyo yalivyo, kumbe kanyaboya tu!

Hivi ule mnada wa zile nyumba za Lugumi ulipoishia inajulikana wazi?
Zile pesa zilizotakiwa kulipwa zilipatikana na kulipwa zote...!?!!
 
Lakini pia vitabu vya dini vina sema
"Samehe Saba mara sabini" Yesu Kristu alitufundisha kusamehe hata kama umeumizwa kiasi gani mara ngapi.

Nahisi Musiba aliwatuma viongozi hawa wa kidini wakamuombee msamaha lakini huenda vigezo na masharti havikuzingatiwa, huenda akivizingatia atasamehewa.
Unaruka aisee. Yesu huyo hakusema tuu samehe saba mara sabini. Ni ikiwa ndugu mkosaji ataomba msamaha mwenyewe. Halafu kwani wote waliza waamini hayo maandiko?
 
Unaruka aisee. Yesu huyo hakusema tuu samehe saba mara sabini. Ni ikiwa ndugu mkosaji ataomba msamaha mwenyewe. Halafu kwani wote waliza waamini hayo maandiko?
Kama umesoma vizuri nimesema; endapo atazingatia vigezo na masharti huenda atasamehewa.

Hayo ni mafundisho ni hiyari kwa mtu kuyafuata na kuyatekeleza.
 
Kama umesoma vizuri nimesema; endapo atazingatia vigezo na masharti huenda atasamehewa.

Hayo ni mafundisho ni hiyari kwa mtu kuyafuata na kuyatekeleza.
Ibaki kuwa hiyari na sisi tusiweke shinikizo
 
Sioni kama suala la msingi hapa ni mkosaji kuombewa msamaha, au nani amewatuma kumuombea huo msamaha, swali la msingi ni kama mkosaji ameonesha namna yoyote ya kujutia makosa yake?

Kama jibu ni ndio ameonesha nia hiyo, basi anastahili msamaha bila kujali ameombewa na nani, lakini kama hajaonesha nia hiyo, basi hastahili huo msamaha hata kama atakuwa amefanya jitihada za chini chini kutafuta suluhu.

Hapa sioni udini unaingiaje kwenye jambo linalohusisha watu wote wa dini moja, kama ingetokea upande mmoja kwenye mgogoro uwe wa dini tofauti kisha akawatumia maaskofu, hapo ningeielewa dhana yako ya udini... au ulitaka Musiba awaache maaskofu aende kwa masheikh?

Nikupe mfano mwingine, tuseme kwasababu Musiba ni CCM na Membe ni CCM mwenzie, kama angeamua kuwatumia viongozi wake chamani kumuombea msamaha, napo ungesema analeta itikadi za kisiasa kwenye issue yake, kwamba ungetaka akawatumie wapinzani kumuombea msahama?!

Hiyo dhana uliyotumia ya udini kwangu haina maana.
 
Sioni kama suala la msingi hapa ni mkosaji kuombewa msamaha, au nani amewatuma kumuombea huo msamaha, swali la msingi ni kama mkosaji ameonesha namna yoyote ya kujutia makosa yake?

Kama jibu ni ndio ameonesha nia hiyo, basi anastahili msamaha bila kujali ameombewa na nani, lakini kama hajaonesha nia hiyo, basi hastahili huo msamaha hata kama atakuwa amefanya jitihada za chini chini kutafuta suluhu.

Hapa sioni udini unaingiaje kwenye jambo linalohusisha watu wote wa dini moja, kama ungetokea upande mmoja kwenye mgogoro uwe wa dini tofauti kisha ukawatumia maaskofu, hapo ningeielewa dhana yako ya udini...

Au mfano mwingine tuseme kwasababu Musiba ni CCM, na Membe ni CCM mwenzie, kama angeamua kuwatumia viongozi wake chamani kumuombea msamaha, napo ungesema analeta itikadi za kisiasa kwenye issue yake, kwamba ungetaka akawatumie wapinzani kumuombea msahama?!

Hiyo dhana kwangu haina maana.
Alipokuwa anatukana aliwatumia akina Nani kufikisha matusi yake? Ilipoingilia ndipo itokee hapohapo. Ni kama kotapini tuu
 
Alipokuwa anatukana aliwatumia akina Nani kufikisha matusi yake? Ilipoingilia ndipo itokee hapohapo. Ni kama kotapini tuu
Sioni kama umeielewa mantiki ya kile nilichokiandika, kwako naiona mihemko tu ya Musiba asulubiwe!.
 
Sioni kama suala la msingi hapa ni mkosaji kuombewa msamaha, au nani amewatuma kumuombea huo msamaha, swali la msingi ni kama mkosaji ameonesha namna yoyote ya kujutia makosa yake?

Kama jibu ni ndio ameonesha nia hiyo, basi anastahili msamaha bila kujali ameombewa na nani, lakini kama hajaonesha nia hiyo, basi hastahili huo msamaha hata kama atakuwa amefanya jitihada za chini chini kutafuta suluhu.

Hapa sioni udini unaingiaje kwenye jambo linalohusisha watu wote wa dini moja, kama ingetokea upande mmoja kwenye mgogoro uwe wa dini tofauti kisha akawatumia maaskofu, hapo ningeielewa dhana yako ya udini... au ulitaka Musiba awaache maaskofu aende kwa masheikh?

Nikupe mfano mwingine, tuseme kwasababu Musiba ni CCM na Membe ni CCM mwenzie, kama angeamua kuwatumia viongozi wake chamani kumuombea msamaha, napo ungesema analeta itikadi za kisiasa kwenye issue yake, kwamba ungetaka akawatumie wapinzani kumuombea msahama?!

Hiyo dhana uliyotumia ya udini kwangu haina maana.
Hiyo namna yakuonyesha anajutia kosa lake itaonekana vip?..alitakiwa aende kwanza mwenyewe akaombe msamaha alafu akikataliwa ndio atume watu wakaongezee nguvu ombi lake.sasa yeye ata kwenda hajaenda alafu anatuma watu.Hivi badae akiibuka alafu akakana kua hakuwatuma hao wazee wamejituma wenyewe itakuaje?.Dini imehusika ndio kwasababu ametumia viongozi wa dini ili kulegeza moyo wa membe wakati kesi inahusu mambo binafsi.Ata angetumia wanaccm wenzake tafsiri ni ile ile.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Akili yangu inanambia inawezekana musiba ana mali nyingi nyinginezo ambazo kaandika kwa majina tofauti ya umiliki, maana ni kama wamemtingisha but hajatetereka sana pengine kuna kitu kipo nyuma ngoja tuone
 
Ilipoingilia ndipo itokee.

Viongozi wa dini wanamuombea msamaha Musiba kwani yeye Musiba hana mdomo ya kusema au miguu ya kwenda kwa Membe?.
 
Hiyo namna yakuonyesha anajutia kosa lake itaonekana vip?..alitakiwa aende kwanza mwenyewe akaombe msamaha alafu akikataliwa ndio atume watu wakaongezee nguvu ombi lake.sasa yeye ata kwenda hajaenda alafu anatuma watu.Hivi badae akiibuka alafu akakana kua hakuwatuma hao wazee wamejituma wenyewe itakuaje?.Dini imehusika ndio kwasababu ametumia viongozi wa dini ili kulegeza moyo wa membe wakati kesi inahusu mambo binafsi.Ata angetumia wanaccm wenzake tafsiri ni ile ile.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sasa kuna ubaya gani dini kuhusika kama inawahusu wote? kwanini mshangazwe?!
 
Kwa mara nyingine tena, Dhalimu baada ya kutenda udhalimu wake badala ya kuukabili uovu wake na kutake responsibility yeye anakimbilia kwa maaskofu ili wamsaidie kubeba udhalimu wake.

Iko hivi, Hakuna anayepaswa kubeba uovu wa Mwingine. Hata Kanisani mtu anapoungama, hakuna anayeungama kwa niaba ya mtu mwingine.

Leo hii Musiba pengine kwa kiburi au Jeuri anashindwa hata kuitisha press conference na kumuomba radhi ndugu Membe na wengine wote aliowakwaza, ila anakimbilia kwa maaskofu ili eti wao ndo wambebee ujinga wake.

Nawashangaa hata maaskofu, badala ya kumwambia mkosaji atake responsibility ya makosa yake, wao wanataka Mkosaji ago away kirahisi rahisi tu.

Hebu tujiulize, kwa Nini Musiba kakimbilia kwa maaskofu na siyo wazee wengine wenye heshima, ni kwa sababu anataka KUTUMIA DINI kugo away na makosa yake. Ni gemu ileile ya bosi wake wa zamani kujifanya kuwa karibu na viongozi wa dini pindi akishaharibu ili kupata huruma ya jamii.

Kitu kingine cha kujiuliza, Askofu Mwamakula huwa anawaombea laana viongozi au watu wenye kutaka kuharibu haki nchini. Aliomba hivyo wakati wa uchaguzi mkuu, kuwa atakaye iba, vuruga uchaguzi mkuu apate mapigo, Ameomba hivyo kwa atakayekwamisha katiba mpya. Leo hii kwa nini anadhani kuwa Membe shuruti awe wa rehema kwa mtu aliyemuumiza kiasi kile?


Kwa upande wa Askofu Pengo. Huyu hakuwahi kukemea ujinga na udhalimu ambao Musiba alikuwa akiufanya wakati ule. Na hajawahi kumtaka Musiba aache ujinga wake. Leo hii ana moral authority gani ya kumtaka Membe asamehe?.

Iko hivi, Tusimlazimishe Membe kusamehe au kutosamehe. Kusamehe ni haki yake na wala siyo wajibu wake.

Na mimi namshauri Membe kuwa, Mali alizopata Musiba, part ya mali hizo ni Mapesa aliyokuwa analipwa ili kuwachafua. Kwa hiyo ni jambo jema kabisa kuchukua mali hizo kama fidia.

Na hii ni muhimu kwa sababu itasaidia kutoa somo kwa watu wengine, mosi waache kutegemea binadamu aliyetoka kwa mavumbi na badala yake wamtegemee Mungu. Na pili Ubaya una consequences, Utavuna ulichopanda.

Niwakumbushe tu akina baba Askofu Pengo, kuwa huwa mnatufundisha kuwa TUTII MAMLAKA. Sasa ni wakati Muafaka wa Wao kwenda na kumwambia Musiba atii mamlaka ambayo ni Mahakama. ALIPE!
shikilia hapo hapo
 
ninachojua Mali za bwana msiba hazitapigwa mnada, Ninachojua jasus no.2 bwana membe atapotezea .itakuwa ni order from above !!
 
Kwa mara nyingine tena, Dhalimu baada ya kutenda udhalimu wake badala ya kuukabili uovu wake na kutake responsibility yeye anakimbilia kwa maaskofu ili wamsaidie kubeba udhalimu wake.

Iko hivi, Hakuna anayepaswa kubeba uovu wa Mwingine. Hata Kanisani mtu anapoungama, hakuna anayeungama kwa niaba ya mtu mwingine.

Leo hii Musiba pengine kwa kiburi au Jeuri anashindwa hata kuitisha press conference na kumuomba radhi ndugu Membe na wengine wote aliowakwaza, ila anakimbilia kwa maaskofu ili eti wao ndo wambebee ujinga wake.

Nawashangaa hata maaskofu, badala ya kumwambia mkosaji atake responsibility ya makosa yake, wao wanataka Mkosaji ago away kirahisi rahisi tu.

Hebu tujiulize, kwa Nini Musiba kakimbilia kwa maaskofu na siyo wazee wengine wenye heshima, ni kwa sababu anataka KUTUMIA DINI kugo away na makosa yake. Ni gemu ileile ya bosi wake wa zamani kujifanya kuwa karibu na viongozi wa dini pindi akishaharibu ili kupata huruma ya jamii.

Kitu kingine cha kujiuliza, Askofu Mwamakula huwa anawaombea laana viongozi au watu wenye kutaka kuharibu haki nchini. Aliomba hivyo wakati wa uchaguzi mkuu, kuwa atakaye iba, vuruga uchaguzi mkuu apate mapigo, Ameomba hivyo kwa atakayekwamisha katiba mpya. Leo hii kwa nini anadhani kuwa Membe shuruti awe wa rehema kwa mtu aliyemuumiza kiasi kile?


Kwa upande wa Askofu Pengo. Huyu hakuwahi kukemea ujinga na udhalimu ambao Musiba alikuwa akiufanya wakati ule. Na hajawahi kumtaka Musiba aache ujinga wake. Leo hii ana moral authority gani ya kumtaka Membe asamehe?.

Iko hivi, Tusimlazimishe Membe kusamehe au kutosamehe. Kusamehe ni haki yake na wala siyo wajibu wake.

Na mimi namshauri Membe kuwa, Mali alizopata Musiba, part ya mali hizo ni Mapesa aliyokuwa analipwa ili kuwachafua. Kwa hiyo ni jambo jema kabisa kuchukua mali hizo kama fidia.

Na hii ni muhimu kwa sababu itasaidia kutoa somo kwa watu wengine, mosi waache kutegemea binadamu aliyetoka kwa mavumbi na badala yake wamtegemee Mungu. Na pili Ubaya una consequences, Utavuna ulichopanda.

Niwakumbushe tu akina baba Askofu Pengo, kuwa huwa mnatufundisha kuwa TUTII MAMLAKA. Sasa ni wakati Muafaka wa Wao kwenda na kumwambia Musiba atii mamlaka ambayo ni Mahakama. ALIPE!
Naunga mkono hoja.
 
ni mjita au mkurya?! Maana nasika huwa Wana tabia ya kaujeuri kweli.
 
Back
Top Bottom