betty marandu
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 1,163
- 722
Siamini kama mishen wanataka watu type ya musiba.Huyo mwache abaki na msiba wakeTena sasa hivi hao ndio watamuua kabisa. Namshauri aanze masomo ya upadri akae zake misheni tu ndio pona yake [emoji2][emoji2]
Mara ya mwisho alipitisha bakuli la mchongo mtandaoni akiomba mwenye chochote amsaidie ili aweze kulipa madeni ya shangazi na jasusi mbobeziHuyu mtu ,enzi zile nilikuwa sikosi kupitapita kwenye akaunti yake twitani au channel kumi na Tanzanite TV, kiukweli hata kama niwe nimeboleka au wife kanichanganya, basi nikipita kwa bwana musiba, sikosi kukuta kitu cha kunifanya nipoteza mawazo.
Mala ya mwisho ,kuonekana kwenye media ,alisikika akiomba ndg zake tumuombee kwani anapita kwenye mapito makubwa!!
Mwenye taarifa zake,amejichimbia wapi huyu ndugu yetu!?
Huwa kuna mida anaonekana chini ya daraja la Ubungo.Huyu mtu ,enzi zile nilikuwa sikosi kupitapita kwenye akaunti yake twitani au channel kumi na Tanzanite TV, kiukweli hata kama niwe nimeboleka au wife kanichanganya, basi nikipita kwa bwana musiba, sikosi kukuta kitu cha kunifanya nipoteza mawazo.
Mala ya mwisho ,kuonekana kwenye media ,alisikika akiomba ndg zake tumuombee kwani anapita kwenye mapito makubwa!!
Mwenye taarifa zake,amejichimbia wapi huyu ndugu yetu!?
Kwa Id gani, mbona sijawahi iona hiyo mada?Mara ya mwisho alipitisha bakuli la mchongo mtandaoni akiomba mwenye chochote amsaidie ili aweze kulipa madeni ya shangazi na jasusi mbobezi
[emoji28].kwa umli ule mpaka avae mkanda atakuwa anatembelea bakora.Tena sasa hivi hao ndio watamuua kabisa. Namshauri aanze masomo ya upadri akae zake misheni tu ndio pona yake [emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. jasus mbobez na shangazi ,sio watu wazuri aise,wanataka jamaa arukwe na akili aise,hiyo mi.bil.ataweza kuilipa kweli.Mara ya mwisho alipitisha bakuli la mchongo mtandaoni akiomba mwenye chochote amsaidie ili aweze kulipa madeni ya shangazi na jasusi mbobezi
Hapana sio hapa JF nadhani ilikuwa Tweeter ama InstagramKwa Id gani, mbona sijawahi iona hiyo mada?
Au ni nje ya Jf?
Hapana sio hapa JF nadhani ilikuwa Tweeter ama InstagramKwa Id gani, mbona sijawahi iona hiyo mada?
Au ni nje ya Jf?
huy huku nimemkuta anatoa michoziHuyu mtu ,enzi zile nilikuwa sikosi kupitapita kwenye akaunti yake twitani au channel kumi na Tanzanite TV, kiukweli hata kama niwe nimeboleka au wife kanichanganya, basi nikipita kwa bwana musiba, sikosi kukuta kitu cha kunifanya nipoteza mawazo.
Mala ya mwisho ,kuonekana kwenye media ,alisikika akiomba ndg zake tumuombee kwani anapita kwenye mapito makubwa!!
Mwenye taarifa zake,amejichimbia wapi huyu ndugu yetu!?
Masikini wee hivi hakujua matendo ya Mungu si ya mwanadamu?Tujikumbushe kidogo enzi Taifa lilipokuwa linatawaliwa na mfalme[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2159082
Kila Enzi na Zama zakeHuyu mtu ,enzi zile nilikuwa sikosi kupitapita kwenye akaunti yake twitani au channel kumi na Tanzanite TV, kiukweli hata kama niwe nimeboleka au wife kanichanganya, basi nikipita kwa bwana musiba, sikosi kukuta kitu cha kunifanya nipoteza mawazo.
Mala ya mwisho ,kuonekana kwenye media ,alisikika akiomba ndg zake tumuombee kwani anapita kwenye mapito makubwa!!
Mwenye taarifa zake,amejichimbia wapi huyu ndugu yetu!?