Musiba siku hizi husikiki umejichimbia wapi?

Musiba siku hizi husikiki umejichimbia wapi?

Huyu mtu ,enzi zile nilikuwa sikosi kupitapita kwenye akaunti yake twitani au channel kumi na Tanzanite TV, kiukweli hata kama niwe nimeboleka au wife kanichanganya, basi nikipita kwa bwana musiba, sikosi kukuta kitu cha kunifanya nipoteza mawazo.

Mala ya mwisho ,kuonekana kwenye media ,alisikika akiomba ndg zake tumuombee kwani anapita kwenye mapito makubwa!!

Mwenye taarifa zake,amejichimbia wapi huyu ndugu yetu!?
Mara ya mwisho alipitisha bakuli la mchongo mtandaoni akiomba mwenye chochote amsaidie ili aweze kulipa madeni ya shangazi na jasusi mbobezi
 
Nimeboleka.. mala.... HAPO NIMEJUA WEEE NI MSUKUMA NA MZOGA WA PALE CHA .... UNAWAANDAMA...
 
Huyu mtu ,enzi zile nilikuwa sikosi kupitapita kwenye akaunti yake twitani au channel kumi na Tanzanite TV, kiukweli hata kama niwe nimeboleka au wife kanichanganya, basi nikipita kwa bwana musiba, sikosi kukuta kitu cha kunifanya nipoteza mawazo.

Mala ya mwisho ,kuonekana kwenye media ,alisikika akiomba ndg zake tumuombee kwani anapita kwenye mapito makubwa!!

Mwenye taarifa zake,amejichimbia wapi huyu ndugu yetu!?
Huwa kuna mida anaonekana chini ya daraja la Ubungo.
 
Tena sasa hivi hao ndio watamuua kabisa. Namshauri aanze masomo ya upadri akae zake misheni tu ndio pona yake [emoji2][emoji2]
[emoji28].kwa umli ule mpaka avae mkanda atakuwa anatembelea bakora.
 
Mara ya mwisho alipitisha bakuli la mchongo mtandaoni akiomba mwenye chochote amsaidie ili aweze kulipa madeni ya shangazi na jasusi mbobezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. jasus mbobez na shangazi ,sio watu wazuri aise,wanataka jamaa arukwe na akili aise,hiyo mi.bil.ataweza kuilipa kweli.
 
Huyu mtu ,enzi zile nilikuwa sikosi kupitapita kwenye akaunti yake twitani au channel kumi na Tanzanite TV, kiukweli hata kama niwe nimeboleka au wife kanichanganya, basi nikipita kwa bwana musiba, sikosi kukuta kitu cha kunifanya nipoteza mawazo.

Mala ya mwisho ,kuonekana kwenye media ,alisikika akiomba ndg zake tumuombee kwani anapita kwenye mapito makubwa!!

Mwenye taarifa zake,amejichimbia wapi huyu ndugu yetu!?
huy huku nimemkuta anatoa michozi
 
Kulkoni wote waliotaka upinzani ufe wamekufa wao
 
Huyu mtu ,enzi zile nilikuwa sikosi kupitapita kwenye akaunti yake twitani au channel kumi na Tanzanite TV, kiukweli hata kama niwe nimeboleka au wife kanichanganya, basi nikipita kwa bwana musiba, sikosi kukuta kitu cha kunifanya nipoteza mawazo.

Mala ya mwisho ,kuonekana kwenye media ,alisikika akiomba ndg zake tumuombee kwani anapita kwenye mapito makubwa!!

Mwenye taarifa zake,amejichimbia wapi huyu ndugu yetu!?
Kila Enzi na Zama zake
 
Back
Top Bottom