Music makes us feel good


Mary J katalikiana na mumewe si muda mrefu ulopita.

Huwa wanasema akiwa kwenye hali ya huzuni huzuni huwa anatoa vitu vikali sana.

Hivyo naisubiri kwa hamu kubwa albamu yake ijayo.

Naamini hatoniangusha kama ambavyo hajaniangusha kwa miaka 24 iliyopita.

But this is my mood today...Magic City Saturday. Finna go make it rain before all the big ballers come in😀.

 
Reactions: BAK
Ni kweli niliona hiyo ya kuachana kwao, wengi walishangaa sana maana penzi lao nwalidhani kwamba halina matatizo. Na hakukuwa na rumors zozote zile kuhusu kutoelewana kati ya wanandoa hawa.

 
Ni kweli niliona hiyo ya kuachana kwao, wengi walishangaa sana maana penzi lao nwalidhani kwamba halina matatizo. Na hakukuwa na rumors zozote zile kuhusu kutoelewana kati ya wanandoa hawa.
Wakina nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…