We're on the same page on this. Kuna kisegment cha Beyonce kuanzia 3.16 minute nakipenda sana ningependa kingerefushwa japo kwa a minute lol! ππ
Nimekumbuka mbali sana mkuu, ninakumbuka class mate alikuwa ajiita MC Hammer, sidhani kama atapenda nimuite hivyo leo lol.Sky thanks for this, umenikumbusha mbali mweh!..
Memories, Interesting memories!. π
Nimekumbuka mbali sana mkuu, ninakumbuka class mate alikuwa ajiita MC Hammer, sidhani kama atapenda nimuite hivyo leo lol.
LOL! Ujue Mungu anakuona Kui. πππ BIO!
Ok lol! ya kweli hayo Kui bila "vishughuli" dunia si itasimama! Haya ngoja tuone.
Msalimie Bi Hillary kokote alipo![emoji1]πππ
Nasubiria thread yenu ya [emoji7]Later!, na leo naweka 'vishughuli' pembeni...lol
Ok lol! ya kweli hayo Kui bila "vishughuli" dunia si itasimama! Haya ngoja tuone.