Music makes us feel good

Music makes us feel good

Kui imebidi nikiangalie vizuri hicho kisegment actually ni kuanzia 3.03 to 3.39 minute B ananipa raha sana lol! Sijui kwa nini hawaimbi angalau nyimbo moja kwa mwaka. Nyimbo za hawa wawili zinakuwa zimetulia sana.

..kuanzia 3:16..(SMDH)!
Una bahati leo kuna simanzi JF. But am saving you for later. 🙂
 
  • Thanks
Reactions: kui
Kui imebidi nikiangalie vizuri hicho kisegment actually ni kuanzia 3.03 to 3.39 minute B ananipa raha sana lol! Sijui kwa nini hawaimbi angalau nyimbo moja kwa mwaka. Nyimbo za hawa wawili zinakuwa zimetulia sana.


Zimetulia sana tu si kidogo, kama hii Bone&Clyde wote wame flow vizuri sana, hadi raha.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Umeona eh! Mie nadhani hata Diamond na Zari wakiamua kutoa nyimbo itapata umaarufu mkubwa sana kama watatulia na kuja na kitu cha uhakika.

Zimetulia sana tu si kidogo, kama hii Bone&Clyde wote wame flow vizuri sana, hadi raha.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Sijui Mkuu ila nasikia nyimbo hii ilipotoka ilikuwa na umaarufu mkubwa sana duniani kote. Hivyo kuna uwezekano labda ilitumika katika movie zaidi ya moja.

mkuu hiyo instrument ya hiyo ngoma ya chaka khan ilitumika kama soundtrack ya movie ipi?
 
Umeona eh! Mie nadhani hata Diamond na Zari wakiamua kutoa nyimbo itapata umaarufu mkubwa sana kama watatulia na kuja na kitu cha uhakika.


Haha, umewaza mbali BAK, hivi Zari alishafanya music before?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom