Music makes us feel good

Music makes us feel good

Hahahahaha lol! Umenikumbusha mihogo ya kukaanga na pilipili ya unga mie kachumbari nilikuwa si mpenzi sana.

exactly mkuu with mihogo ya kukaanga na kachumbari.
 
Hahahahaha lol! Umenikumbusha mihogo ya kukaanga na pilipili ya unga mie kachumbari nilikuwa si mpenzi sana.
Unashushia na Fanta ya baridi, hapo kihandsome boy kikikulipia unaona umepata zinga la treat.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Umehongwa mihogo ya kukaanga na kachumbari lol! Pocket money yako umesave kwenda kula ice cream pale nanihii 🙂🙂

Unashushia na Fanta ya baridi, hapo kihandsome boy kikikulipia unaona umepata zinga la treat.
 
Umehongwa mihogo ya kukaanga na kachumbari lol! Pocket money yako umesave kwenda kula ice cream pale nanihii 🙂🙂
BAK wewe acha tu, si kuhongwa na yeye anataka kujionyesha kidume anajua ku take care, kibaya umshinde kwenye test darasani anaconda vibaya mno.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom