Musoma mtabadilika lini?

Acha ushamba musoma ya wajita...

Wakurya kwetu Tarime mura
 
Kuna jamaa yangu yuko huko ulioyasema yote alinisimulia halafu mbaya zaidi wambeya ni wanaume
 
Mulisya wewe Wa Ntarahamwe uliyetoroka kwenye makambi ya wakimbizi. Jionee fahari unya Rwanda wako, acha kuzuga na kujidai wewe ni Mkurya
 
Hahaha sidhani kama mleta mada yuko normal. Nahisi ana mkia nyuma ndio maana aliona wanamuonea wivu. Haikuwa kawaida musoma.
Kwa mtu normal sidhani kuna jambo lisilopatikani popote humu duniani.
Utuletee mrejesho wa huko uliko sasa.
 
Mulisya wewe Wa Ntarahamwe uliyetoroka kwenye makambi ya wakimbizi. Jionee fahari unya Rwanda wako, acha kuzuga na kujidai wewe ni Mkurya

Mkuu yameshakuwa haya tena?
 
Hahahaa, Ogopa sana hao watu, wanatisha ila tabia za kike nyingi.
 
Kiufupi ukivuka mto mara tu! Kwenda upande ule mpaka sirari huwezi kuta mmasai eti! Anafuga kwanza sijawahi ona masai Tarime Sijui shida ni nini?
 
Hii itakuwa inawasu wajita maana Musoma Ndiyo kwao wakurya kwao ni tarime na vitongoji vyake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…